Inasemekana wakubwa huko TPA wamejipanga kuruhusu kontena nyingi zielekezwe kwenye bandari kavu ICDs kama kabla ya utawala wa Magufuli

Wenye ICDs inasemekana wameshaanzisha ushirika na wakubwa huko TPA ili makontena yawe yanaelekezwa kwao kama zamani kabla ya Utawala wa JPM kuzuia makasha mengi kuelekezwa ICDs hadi pale tu Bandarini kutakuwa kumejaa.

Sasa inasemekana hali imerejea kama zamani na tayari wenye ICDs wameanza kutamba tena!

Ifahamike wizi wa makontena ni rahisi sana kama mzigo umefikia ICDs.
Ndani ya miezi kadhaa nchi ishamshinda, watu hawana uoga wa kuiba, tena sasa wataiba mara dufu kwa sbb ya aiba ya kiafrika ya kudharau jinsia ile!
 
Kutwa kulalamika
Unajipunguzia umri
Wa kuishi tu!
Tulia fanya kazi
Kuna mambo ukiyafatilia
Utaishia kuwa mwendawazimu tu

Ova
 
Nyie watu wa Jiwe ni weupe hadi mnaboa!! Kwani hizo ICD zilifungwa lini?! Au bado upo Kolomije na mambo ya mjini huyajui?! Na ndo maana wala hufahamu kwamba container terminal inaendeshwa na TICTS!! Na ndo maana wala hufahamu kwamba ICDs kwa sasa haziepukiki unless mizigo ipungue sana bandarini.
Kilichoikuta TICTS unakuja kweli?
 
Aliwachukia matajiri lakini akakosa cha kufanya akaishia kuwakomoa, akisahau kuwa tajiri mmoja akigeuka kuwa shetani wale maelfu aliowaajiri wanakufa na njaa.
Sawa kabisa. Chukua mfano wa Yusuf Manji. Babu yake alikuwa ndiye mmiliki wa Quality Garage pale Pugu Road ilivyokuwa inachonga mabodi ya mabasi yote nchini kuanzia UDA, KAMATA, SCANDINAVIA nk.

Mpaka mwaka 2015 makampuni ya Yusuf Manji chini ya Quality Group yalikuwa yanaajiri Watanzania zaidi ya 3,000. Na alikuwa ndiye mnunuzi na exporter mkubwa wa mbaazi na ufuta.

Kama alikuwa na matatizo Basi yalipaswa yatatuliwe kwa maongezi na siyo kwa kumuundia kesi FAKE ili tu aishi rumande.

Unam traumatize Manji, anaondoka, wafanyakazi 3,000 wanapoteza kazi, wakulima wanashindwa kuuza mbaazi, unakosa Kodi hata kama ni Kodi kiduchu. Je hiyo ni akili au mavi?

Hizi chuki za Mwendazake dhidi ya matajiri ndizo zimemkasirisha MUNGU wetu, ndiyo maana Mwendazake amekufa licha ya kuwa chini ya ulinzi wa hali ya juu na Madaktari full-time.
 
Wenye ICDs inasemekana wameshaanzisha ushirika na wakubwa huko TPA ili makontena yawe yanaelekezwa kwao kama zamani kabla ya Utawala wa JPM kuzuia makasha mengi kuelekezwa ICDs hadi pale tu Bandarini kutakuwa kumejaa.

Sasa inasemekana hali imerejea kama zamani na tayari wenye ICDs wameanza kutamba tena!

Ifahamike wizi wa makontena ni rahisi sana kama mzigo umefikia ICDs.
Mizigo ndiyo inakwenda icd
Magari yanaishia bandarini

Ova
 
Kilichoikuta TICTS unakuja kweli?
Taja wewe unayejua lakini wasiojua wanajua TICTS wapo bukheri wa afya wakiendelea kufaidi matunda ya mkataba wa ovyo chini ya Utawala wa Hayati Ben! Sana sana huenda hivi sasa wanahaha huku na kule kuhonga watu ili hatimae mkataba wao unaoisha mwakani uwe extended kama hujakuwa extended kinyemela kabla ya kwisha kwake!!
 
Taja wewe unayejua lakini wasiojua wanajua TICTS wapo bukheri wa afya wakiendelea kufaidi matunda ya mkataba wa ovyo chini ya Utawala wa Hayati Ben! Sana sana huenda hivi sasa wanahaha huku na kule kuhonga watu ili hatimae mkataba wao unaoisha mwakani uwe extended kama hujakuwa extended kinyemela kabla ya kwisha kwake!!

Mwanzoni nilidhani kwamba jiwe ndio alikua kikwazo kwa TICTS.

Nikaendelea kuamini baada ya hapo TICTS wataendelea kula maisha kama ilivyokua hapo awali.

Ila inaonekana mkuu una mengi kuhusu hili, embu tujuze kidogo.
 
Wenye ICDs inasemekana wameshaanzisha ushirika na wakubwa huko TPA ili makontena yawe yanaelekezwa kwao kama zamani kabla ya Utawala wa JPM kuzuia makasha mengi kuelekezwa ICDs hadi pale tu Bandarini kutakuwa kumejaa.

Sasa inasemekana hali imerejea kama zamani na tayari wenye ICDs wameanza kutamba tena!

Ifahamike wizi wa makontena ni rahisi sana kama mzigo umefikia ICDs.
Kama taratibu zote zinafatwa Hakuna shaka,Hii ipo duniani pote.
Kota za tazara zimebomolewa kunawekwa ICD,bonde lote la mchicha limepigwa ukuta kunawekwa ICD.
 
Mtu yeyote anayeamini kuwa Magufuli alikuwa anauchukia ufisadi kwa dhati ninamdharau sana. Yeye alikuwa anachukia watu wenye fedha zao bila kujua wamepataje.

Hizi ICD ni logistically accepted worldwide kama namna ya ku decongest Port operations na kuongeza efficiency. Ila yeye alidanganywa na akina Renatus Mkinga akasema ni wizi
Yule mzee hakuwahi kupambana na ufisadi bali alipambana na waliogoma kumsujudia kwa kuwachapa fimbo ya ufisadi, huwezi ukapambana na ufisadi ukiwa fisadi.
 
Sawa kabisa. Chukua mfano wa Yusuf Manji. Babu yake alikuwa ndiye mmiliki wa Quality Garage pale Pugu Road ilivyokuwa inachonga mabodi ya mabasi yote nchini kuanzia UDA, KAMATA, SCANDINAVIA nk.

Mpaka mwaka 2015 makampuni ya Yusuf Manji chini ya Quality Group yalikuwa yanaajiri Watanzania zaidi ya 3,000. Na alikuwa ndiye mnunuzi na exporter mkubwa wa mbaazi na ufuta.

Kama alikuwa na matatizo Basi yalipaswa yatatuliwe kwa maongezi na siyo kwa kumuundia kesi FAKE ili tu aishi rumande.

Unam traumatize Manji, anaondoka, wafanyakazi 3,000 wanapoteza kazi, wakulima wanashindwa kuuza mbaazi, unakosa Kodi hata kama ni Kodi kiduchu. Je hiyo ni akili au mavi?

Hizi chuki za Mwendazake dhidi ya matajiri ndizo zimemkasirisha MUNGU wetu, ndiyo maana Mwendazake amekufa licha ya kuwa chini ya ulinzi wa hali ya juu na Madaktari full-time.
Manji ni mmoja tu. Nenda Arusha uone shule za kimataifa zilivyofungwa kwa sababu za kipuuzi tu. Watu wanajitolea kusomesha watoto wa kitanzania, na kuendeleza vipaji vyao, serikali kila siku inawatuma TRA waende wakawasumbue.

Wazungu wanabakia wakishangaa namna wanavyosumbuliwa pasipo sababu za msingi. Wakaona isiwe taabu waondoke zao waende nchi jirani. Fikiria watu wanajitolea kuwasomesha watoto wa kitanzania kwa kugharamia kila kitu, lakini mamlaka za kodi zinawasumbua kila kukicha!.

Kuna wafanyabiashara wa maua kule chekereni, wamejikuta wakifunga biashara zao kwa sababu ya usumbufu wa TRA usio na ulazima.

Alipomtesa Manji hakufikiria impact yake itakuwa vipi, alidhani anamkomoa yeye kama yeye kumbe anaua biashara nyingi zinazotegemeana na uwekezaji wa tangia baba yake mzazi.
 
Judy amelewa hadi Mbuzi anamuita Mbushiiii, na ana demu anaitw Suzy atamuita.........

Tz ndio hii hii,, wote wanaolalamika ni kwa vile hawajapata tu hio fursa.
 
Manji ni mmoja tu. Nenda Arusha uone shule za kimataifa zilivyofungwa kwa sababu za kipuuzi tu. Watu wanajitolea kusomesha watoto wa kitanzania, na kuendeleza vipaji vyao, serikali kila siku inawatuma TRA waende wakawasumbue.

Wazungu wanabakia wakishangaa namna wanavyosumbuliwa pasipo sababu za msingi. Wakaona isiwe taabu waondoke zao waende nchi jirani. Fikiria watu wanajitolea kuwasomesha watoto wa kitanzania kwa kugharamia kila kitu, lakini mamlaka za kodi zinawasumbua kila kukicha!.

Kuna wafanyabiashara wa maua kule chekereni, wamejikuta wakifunga biashara zao kwa sababu ya usumbufu wa TRA usio na ulazima.

Alipomtesa Manji hakufikiria impact yake itakuwa vipi, alidhani anamkomoa yeye kama yeye kumbe anaua biashara nyingi zinazotegemeana na uwekezaji wa tangia baba yake mzazi.
Ni sawa na mtu ambaye baada ya kuona kuna panya anasumbua ndani ya nyumba, anaamua kuchoma nyumba ili amuue panya.
 
Back
Top Bottom