Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,496
- 3,233
bado ipo barabara yake tu kule mzizima
Hivi sam nujoma bado yupo
Hivi sam nujoma bado yupo
Wanaifahamu kwanza hiyo nchi?Jamaa alizingua sana Wamarekani hata salamu za pole hawajatoa
Hata huyu wa intebe nae anaenda
Lakin roho iko mikonon
Anaongelea maraisi sio wakuu wa mikoaVipi kuhusu Dr. Shein yeye hahudhurii?
Ndo maana kagame kashitukiaIkitokea likapigwa bomu hapo kati..... Africa yote itazizima hakuna wa kumpa pole mwenzake.... Nipe kwenye ndoto mwenzenu uku
Anawakilsha mshanaVipi humu JF hatuna mwakilishi
Kuna sehemu inaitwa sinza mugabe sijui anamjengo hukobado ipo barabara yake tu kule mzizima
Nategemea mmoja wao atapewa nafasi yakutoa hotuba. Kama ikitokea hiyo chance aachiwe yule kwa sababu yuko vizuri zaidi kwenye kutoa speech na kuhadithia. Watu wa bara siyo wazuri sana kwenye kupiga maneno.Ningeshangaa na hata Kusikitika sana tu kama Rais wetu na Marais wote Wastaafu wasingeenda Kumzika ' Comrade ' wetu Marehemu Robert Mugabe ambaye aliipenda, aliiheshimu na pia alikua ni Rafiki mkubwa sana na Mtiifu kwa Tanzania hasa kwa kupitia Rafiki yake Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Najua Mzee Mwinyi ( Rais mstaafu wa Awamu ya Pili ) ameshindwa Kuandamana na Wenzake akina Mkapa na Kikwete pengine kutokana na sababu za Kiafya. Hata hivyo watakaokwenda watamuwakilisha vizuri na hata kuiwakilisha vyema kabisa nchi yetu nzuri ya Tanzania.
Nayo siyo Ulaya hivyoUlaya naona Belarus tu.
UingerezaSorry, hivi Former President (Zambia) Guy Scott anayo asili ya wapi?
Aaamin!Kuongea Kiswahili imekuwa tatizo sasa. Naona tuna safari ndefu ya kujitambua. Mataifa mengine yakiongea lugha zao ni poa ila Tanzania wakiongea Kiswahili ni tatizo. Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
V.I Lennin hospital unguja zanzibar.Tupe mfano mmoja tu ambao Mrusi alishasaidia Afrika zaidi ya kuuza mabomu na silaha za kuua watu. At least mchina amejitahidi anachukua na kuwekeza kidogo.
Ridia tena kusoma list ya mahudhurioSingapore je
yellow and chocolate but not whiteWell, ni white, yellow au coffee / chocolate?
Atawakilishwa na viongozi wa comoro
Nategemea mmoja wao atapewa nafasi yakutoa hotuba. Kama ikitokea hiyo chance aachiwe yule kwa sababu yuko vizuri zaidi kwenye kutoa speech na kuhadithia. Watu wa bara siyo wazuri sana kwenye kupiga maneno.
Anaogopa tu kutoka atapinduliwaNkurunziza atafuatulia kwenye Tv?