Huyu jamaa huwa yuko smart sana sema kiranja mkuu ndiyo anaharibu2020 inakuja, tutaona picha hadi za kuwapigia magoti wananchi.
Matatizo ya simu yako au laptop yako picha zote zinaonekana full.simu Ni sumsung,Nokia au apple
Anastahili msamaha mkuu😂😂Matatizo ya simu yako au laptop yako picha zote zinaonekana full.simu Ni sumsung,Nokia au apple
Alishataka kuwaraza vibogoHuyu jamaa huwa yuko smart sana sema kiranja mkuu ndiyo anaharibu
Mkuu umemaanisha nini?
Mkuu umemaanisha nini?
ukiacha kuchagua umechagua kuacha
Huyu jamaa huwa yuko smart sana sema kiranja mkuu ndiyo anaharibu
AiseeeNdio Siasa
Hata mliomkodisha kugombea Urais 2015 alitoka Masaki akaenda Tandale Soko la Ndizi kwa 'Rafiki zake' kina Mama akanywa uji wa Mchele kwa Kikombe kile kile anachokunywa 'juma Mlevi' kikiwa kimetoka kuoshwa Kwenye beseni la Mimaji michafu
Halafu mlivyokuwa Wahuni mkakataa kulinda kura zake mita 200
Wahuni sio watu wazuri
😀😀😀😀2020 inakuja, tutaona picha hadi za kuwapigia magoti wananchi.