manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,606
- 2,055
2020 inakuja, tutaona picha hadi za kuwapigia magoti wananchi.
2020 inakuja, tutaona picha hadi za kuwapigia magoti wananchi.
Na jinsi asivyo na mazoea na mkeka, kaukanyaga na viatu vyake. Kweli hawa ni wawakilishi wa walalahoi!Sawa, Naona Hadi Mkeka ulinunuliwa mpya kabisa kwa ajili ya kufanyika maigizo
Watu warefu kuvua viatu halafu ukalishe kwenye mkeka huwa tunateseka sana wakati wa kuvivaaNa jinsi asivyo na mazoea na mkeka, kaukanyaga na viatu vyake. Kweli hawa ni wawakilishi wa walalahoi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wenu huyo 2025, jiandaeni
Watu warefu kuvua viatu halafu ukalishe kwenye mkeka huwa tunateseka sana wakati wa kuvivaa
Umri umeenda 58 ageLabda huna mazoezi. Na pia si heshima kwa wenye mila zao kukanyaga na viatu sehemu wanayo kula au kulala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umri umeenda 58 age
Dogo acha porojo jamvini
Mkuu umeshaenda Iran?Dogo acha porojo jamvini
Bado mkuu nasitasitaMkuu umeshaenda Iran?
Hizi picha muwe mnaangalia na angle ya kuzipiga wajameni
View attachment 1047124
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa