Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,475
- 33,038
Hahahahha sasa Rebby hayo manguo ya shape wakati wa kulala ukifika si ndio yaleyale tena anakuwa wogorowogoro,mchana beyonce usiku mwanahawa...wooiii ajipende tuu na abadili lifestyle yake,.hakuna mtu mbaya ni mtu mwenyewe unavyojiweka
mnhhh mie nimeshauri vitu vya kumfanya ajiamini,ukivaa nguo inayoendana na mwili wako ukapendeza,itakuboost confidence na confidence ya mumeo kwako,hiki ndicho kinachokosekana kwenye hii ndoa,sidhani kama mumeo ana shida na muonekano wako wa ndani,otherwise asingekuoa,(muonekano wa nje+ muonekano wa ndani,zote ziwe mbaya then kwa nini kakuoa???...
