Inaniumiza sana

Inaniumiza sana

Uko kwenye kuvaa ndio changamoto sababu kwa umbo langu navaa magaun marefu mapana au sketi ndefu Pana Sasa yeye halend ivyo
Sasa siuvae anazozipenda besti,kama ni mwili siunafanya tu mazoezi na dayati.dunia hii hakuna kibonge wala kimbaumbau,kuna warefu ,na wafupi na wakatikati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jipendezeshe uwe kama binti wa miaka 18,usijiweke kizee zee.
 
Back
Top Bottom