Inaniumiza sana

Inaniumiza sana

Yuko vzur mno anakipato kizur tu...binafsi pia najishughurisha....nisaidie
Kama ni hvo suluhisho ni moja tu... Kama kweli uzur unautaka kweli kwa moyo wote....

Najua umewai kupitia kujipodoa na kupaka vitu mbali mbali kwenye ngozi...
Sasa anza kutumia mafuta ambayo hayana chemical nying kama mafuta ya nazi
Pia kikubwa zaidi anza kufanya mazoezi kila siku na kula matunda kwa wingi hasa mapalachichi ni mazur kwa kutengeneza ngozi yako

Kula chakula kidogo na matunda mengi kisha fanya mazoez kwa wingi, utaona mwenye utakavo kuwa mrembo.

Ndivo wanavo fanya wana mitindo, kma Mange kimambi, mwenzio anaenda jim kila siku.


Usijali nan atakushangaa, kulikon na mazoez.
Bila hivo kuna kuachika siku izi mama pita.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi sio mnene ninamwil kiasi tu...mi mrefu, maziwa makubwa kiac, tumbo kubwa miguu miembamba alafu Shep hamna....hua navaa nguo za vitenge gaun ndefu au sket ndefu Sasa mwenzangu anakeleka...leo kwenye sherehe kakagua nguo kasema leo unavaa yale magaun yako nikamwambia mi siendi ndio kapata aman

im sure mumeo anakujua undani kuwa uko hivyo na bado akakuoa sasa kwa nini unakosa Amani?? mbona wengi wanavaa vitenge virefu kama wewe tu na wanapendeza? kama unaona nguo unazovaa hazikupendezi badilisha fundi..au anza kutembelea ma boutique ya masister doo mjini,tafuta nguo zinazoendana na mwili wako mpaka ukivaa unahisi umependeza,kama hujipendi muonekano wako badilisha ndugu,ukipita mjini kuna nguo za shape zote,ni wewe hujazitafuta...
 
Pamoja ya kuwa una majukumu ya kifamilia ya hapa na pale jaribu kubadili lifestyle! Tenga ratiba ya mazoezi,badili style ya mavazi,pia jali mambo yako,yaani muda unaowaza kutoka na mumeo wewe tumia kujiweka sawa kimazoezi.mavitenge hayapendezi kwakweli mbaya zaidi ukiwa shapeless, hukumuendea kwa mganga kweli? Mbona anaonyesha hakukubali ,and yet mmefunga ndoa,hiyo ndoa ndungu na marafiki hawakuwepo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nae hueleweki mra yeye ndio anajishtukia mara ww ndio hujiamini eti yeye mzuri kushinda wewe...mwanamke toka lini akaanza kujishindanisha uzuri na mumewe?!

Au wewe ni wale wanawake wenye miili mikubwa mpkaka ukivaa nguo nyekundu unaonekana kama kibanda cha M-PESA


Sent using Jamii Forums mobile app
baba umeuwa ila nikushauri kitu kimoja wanawake wengi wanapata miili ambayo hawakuitarajia baada ya kujifungua maana mwili unaongezeka ni kwa muonekano wa nje anonekana mzuri wa kuvutia ila kitu wengi wasichokijua ndyo wanatengeneza ubovu wa miili yao.

Maana wengi wakijifungua wanaanzia kula kupita kiasi kwa kisingizio cha kunyonyesha na ili wapate maziwa mengi, kweli inasaidi upatikanaji wa maziwa kwa mtto ila wengi baada ya kipindi flani hujikuta imekuwa desturi na mwili unazoea kupata chakula kila baada ya mda mfupi kitu ambacho kinakuja kuufanya mwili kuwa mnene sana na vile wanawake wa saivi hasa wa mijini unakuta huna shughuli nyingi bc unanenepa kupita maelezo na ww hujali maana unene unakuja na mwili kujazia sehemu mbalimbali hasa nyuma na ukisifiwa bc raha mwenyewe.

Kwaiyo jitaidi kupenda mwili wako siyo kuupenda kwa kukubali ulivyo ila jitaidi kuufanya mwili wako kuwa vile ulivyokuwa kipindi cha usichana wako fanya mazoezi, punguza kula wanga, fanya diet wee Anza polepole uku ukijizoesha ongea na mmeo muanze kufanya mazoezi pamoja inaleta sana hisia zenu pamoja na kufanya mjiani ata kutoka pamoja.
Mm mwanzo ilinisumbua sana ata kutoka naye ckuwa nataka ila now i fell good to stay beside her.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nn umeingia kwenye ndoa na mtu usiekua na furaha naye?

Ukishakua mume na mke, matatizo na furaha ni vyenu sio matatizo ni yako furahani yake,

Yeye kama mumeo alipaswa akwambie anavojisikia na akusaidie uwe vile anataka sababu tu amekuchagua kati ya wale wote kushare naye future, tena angekwambia kabisa me bana hebu fanya diet mke wangu upungue kidogo ukae vizur, au hayo magauni hayanivutii ukiyavaa na sivyo hivyo mnaishi

Nendeni sehem hivi mkae nyie tu mjadili mstakabali wa ndoa yenu na nyie kama participants kwa pamoja jadilini mambo yanayiwasibu jitahidi kua wazi usichoke itasaidia
 
Fanya mazoezi, kula balance diet, jitahidi usafi na kuvaa vizuri, pengine hapendi unavyojiweka, be smart be clean alaf jipende jiamini acha au punguza kujipodoa kupita kiasi. Muulize mumeo anapenda uvaeje hii inaweza kukusaidia kuwa kimuonekano yeye anavyohitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
im sure mumeo anakujua undani kuwa uko hivyo na bado akakuoa sasa kwa nini unakosa Amani?? mbona wengi wanavaa vitenge virefu kama wewe tu na wanapendeza? kama unaona nguo unazovaa hazikupendezi badilisha fundi..au anza kutembelea ma boutique ya masister doo mjini,tafuta nguo zinazoendana na mwili wako mpaka ukivaa unahisi umependeza,kama hujipendi muonekano wako badilisha ndugu,ukipita mjini kuna nguo za shape zote,ni wewe hujazitafuta...
Hahahahha sasa Rebby hayo manguo ya shape wakati wa kulala ukifika si ndio yaleyale tena anakuwa wogorowogoro,mchana beyonce usiku mwanahawa...wooiii ajipende tuu na abadili lifestyle yake,.hakuna mtu mbaya ni mtu mwenyewe unavyojiweka
 
Una chura?? Maana kwq sura huna kwa maelezo yako.. Je chura unayo??
 
Back
Top Bottom