Inakuwaje mwekezaji anageuka kuwa mwagizaji? Sukari imekuwa dili kwa wakubwa

Dabil

JF-Expert Member
Sep 30, 2021
5,885
13,263
Inashangaza mwekezaji Kilombero Sugar kugeuka kuwa mwagizaji,ameshindwa uzalishaji halafu anaagiza halafu ndo aanze kusupply yeye.

Kweli Tanzania tunahitaji wawekezaji wa aina hiyo kama siyo dili ya wachache ni nini? Bei inapanda kwa sababu mwekezaji hana mzigo huku sheria ikimlinda wengine wasiagize nje.

Mbona vitu vingine haihitaji akili kubwa, kama sukari hamna matajiri waruhusiwe wafanye biashara walete toka nje kuwe na soko huria ,huyo mwekezaji uchwara atajua mwenyewe au aache uzalishaji au ashindane na wengine sokoni.

Sasa mnampa uwanja mpana mwekezaji kucheza michezo yake sukari hamna na bei iko juu anafaida gani huyo mwekezaji wakati anayeumia ni mlaji.
 
Inashangaza mwekezaji Kilombero Sugar kugeuka kuwa mwagizaji,ameshindwa uzalishaji halafu anaagiza halafu ndo aanze kusupply yeye.

Kweli Tanzania tunahitaji wawekezaji wa aina hiyo kama siyo dili ya wachache ni nini? Bei inapanda kwa sababu mwekezaji hana mzigo huku sheria ikimlinda wengine wasiagize nje.

Mbona vitu vingine haihitaji akili kubwa, kama sukari hamna matajiri waruhusiwe wafanye biashara walete toka nje kuwe na soko huria ,huyo mwekezaji uchwara atajua mwenyewe au aache uzalishaji au ashindane na wengine sokoni.

Sasa mnampa uwanja mpana mwekezaji kucheza michezo yake sukari hamna na bei iko juu anafaida gani huyo mwekezaji wakati anayeumia ni mlaji.
Ni sahihi kuwa na kibali ili anaposimama uzalishaji kwasababu mbalimbali aweze kutosheleza soko kwa wateja wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza mwekezaji Kilombero Sugar kugeuka kuwa mwagizaji,ameshindwa uzalishaji halafu anaagiza halafu ndo aanze kusupply yeye.

Kweli Tanzania tunahitaji wawekezaji wa aina hiyo kama siyo dili ya wachache ni nini? Bei inapanda kwa sababu mwekezaji hana mzigo huku sheria ikimlinda wengine wasiagize nje.

Mbona vitu vingine haihitaji akili kubwa, kama sukari hamna matajiri waruhusiwe wafanye biashara walete toka nje kuwe na soko huria ,huyo mwekezaji uchwara atajua mwenyewe au aache uzalishaji au ashindane na wengine sokoni.

Sasa mnampa uwanja mpana mwekezaji kucheza michezo yake sukari hamna na bei iko juu anafaida gani huyo mwekezaji wakati anayeumia ni mlaji.
Inashangaza sukari ya Morogoro ina bei kubwa kuliko Sukari ya Brazili inayosafirishwa kilomita Maelfu kwa gharama kubwa Baharini
 
Niko K/mbero na nina mashamba ya miwa.. kwa hali iliyoko shambani tangu mvua za mwaka jana na hizi zinazo endelea, huwezi kuvuna miwa. Sababu kubwa ni
:- kabla miwa kuvunwa shamba linachomwa moto ili kufukuza wanyama kama nyoka, nyuki nk.
Kuondoa majani yasiyo takiwa (trash) katika shamba.
Ila kubwa ni kwamba kwa hali ya mvua hakuna gari inayoweza kuingia shama bila kutitia na kukwama. Miwa ikikatwa inapangwa kwenye mafungu kisha cane loader hupakia kwenye magari (semi truck). Kwa sasa mashamba yamejaa maji kuliko kawaida, na miwa iliyo vunwa ikipigwa na mvua inachacha kwa muda mfupi hivyo haifai tena kwa sukari. msimu uliopita kuna mashamba hayakuvunwa kutokana na hali ya hewa, mwaka huu nadhani hali ni mbaya.
Kwa bahati mbaya sana kuna sheria inayo bana ujenzi wa kiwanda kipya ndani ya 80km za mraba kutoka viwanda vilivyopo.
 
Niko K/mbero na nina mashamba ya miwa.. kwa hali iliyoko shambani tangu mvua za mwaka jana na hizi zinazo endelea, huwezi kuvuna miwa. Sababu kubwa ni
:- kabla miwa kuvunwa shamba linachomwa moto ili kufukuza wanyama kama nyoka, nyuki nk.
Kuondoa majani yasiyo takiwa (trash) katika shamba.
Ila kubwa ni kwamba kwa hali ya mvua hakuna gari inayoweza kuingia shama bila kutitia na kukwama. Miwa ikikatwa inapangwa kwenye mafungu kisha cane loader hupakia kwenye magari (semi truck). Kwa sasa mashamba yamejaa maji kuliko kawaida, na miwa iliyo vunwa ikipigwa na mvua inachacha kwa muda mfupi hivyo haifai tena kwa sukari. msimu uliopita kuna mashamba hayakuvunwa kutokana na hali ya hewa, mwaka huu nadhani hali ni mbaya.
Kwa bahati mbaya sana kuna sheria inayo bana ujenzi wa kiwanda kipya ndani ya 80km za mraba kutoka viwanda vilivyopo.
Asante kwa taarifa yenye ufafanuzi.
Labda utusaidie kujua kiwanda hiki kinazalisha tani ngapi kwa mwaka pale hali ya hewa inapokuwa rafiki?
 
Inashangaza mwekezaji Kilombero Sugar kugeuka kuwa mwagizaji,ameshindwa uzalishaji halafu anaagiza halafu ndo aanze kusupply yeye.

Kweli Tanzania tunahitaji wawekezaji wa aina hiyo kama siyo dili ya wachache ni nini? Bei inapanda kwa sababu mwekezaji hana mzigo huku sheria ikimlinda wengine wasiagize nje.

Mbona vitu vingine haihitaji akili kubwa, kama sukari hamna matajiri waruhusiwe wafanye biashara walete toka nje kuwe na soko huria ,huyo mwekezaji uchwara atajua mwenyewe au aache uzalishaji au ashindane na wengine sokoni.

Sasa mnampa uwanja mpana mwekezaji kucheza michezo yake sukari hamna na bei iko juu anafaida gani huyo mwekezaji wakati anayeumia ni mlaji.
Bongo Kuna deal nzito za watu, mtapiga kelele mtalala wataendelea kuwapiga tu.

  • Sukari
  • Vitenge
  • Mafuta.
 
ila bongo ipigaji mwingi imagine nchi ina almost ya idadi ya watu 66mil eneo la mraba laki 9 wote hawa wanategemea viwanda vi3 ambavyo hata uzalishaji wake ni wakusua kwanini tusiseme hiii ni monopolism?CCM inaweka sera ya kuwabana wawekezaji ili wale wenyewe tu.
 
Niko K/mbero na nina mashamba ya miwa.. kwa hali iliyoko shambani tangu mvua za mwaka jana na hizi zinazo endelea, huwezi kuvuna miwa. Sababu kubwa ni
:- kabla miwa kuvunwa shamba linachomwa moto ili kufukuza wanyama kama nyoka, nyuki nk.
Kuondoa majani yasiyo takiwa (trash) katika shamba.
Ila kubwa ni kwamba kwa hali ya mvua hakuna gari inayoweza kuingia shama bila kutitia na kukwama. Miwa ikikatwa inapangwa kwenye mafungu kisha cane loader hupakia kwenye magari (semi truck). Kwa sasa mashamba yamejaa maji kuliko kawaida, na miwa iliyo vunwa ikipigwa na mvua inachacha kwa muda mfupi hivyo haifai tena kwa sukari. msimu uliopita kuna mashamba hayakuvunwa kutana na hali ya hewa, mwaka huu nadhani hali ni mbaya.
Kwa bahati mbaya sana kuna sheria inayo bana ujenzi wa kiwanda kipya ndani ya 80km za mraba kutoka viwanda vilivyopo.
Kama wanalifahamu Hilo hakuna namna au hatua wanazoweza chukua ili kukabiliana na hilo na Hilo kama kuboresha miundombinu au kupewa uwezo zaidi wa kuzalisha vya kutosha na ziada msimu wao wa uzalishaji!!Fikra za ulaji na ubinafsi uliopitiliza unasababisha huu upuuzi
 
Kuna muda wa service na kipindi cha mvua uzalishaji husimama

Sent using Jamii Forums mobile app

Service ya mitambo huwa ni planned, na kama ni shutdown haiwezi kuwa mwezi maana naamini wanafanya preventive maintenance za mara Kwa mara kwenye baadhi ya pieces zao.

Kama ni Plant failure na wanafanya problem fixing lazima huko nyuma kuna mahala walikuwa kwenye optimum performance ya plant na kufanya surplus production ambayo kunapokuwa na breakdown inaweza kucover hata 1 month.

Linapofika suala la spare parts management na plant maintenance hawa watu wako makini sana na hawawezi kuwa na breakdown ya mwezi nzima maana kukaa na downtime Kwa muda mrefu ni hasara pia kwao.

Mvua nayo ni seasonal na hilo wanalijua ndio maana kuna maintenance planning plus production planning ambazo zote zinaconsider rain season mara nyingi huwa either mnafanya surplus production wakati everything is ok, au mnaandaa mazingira yote na kuhakikisha kiwanda kina raw material za kuendesha mitambo kwenye rainseasons zote.
 
Kama wanalifahamu Hilo hakuna namna au hatua wanazoweza chukua ili kukabiliana na hilo na Hilo kama kuboresha miundombinu au kupewa uwezo zaidi wa kuzalisha vya kutosha na ziada msimu wao wa uzalishaji!!Fikra za ulaji na ubinafsi uliopitiliza unasababisha huu upuuzi
Mkuu wa kuilaumu hapa ni serikali,maana una uhaba wa sukari ila hawaruhusu wafanyabiashara binafsi kutoka nje, imagine mpaka tunduma 1kg ni sh 2300-2600, sasa unazuia kukomoa wananchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini vibali visitolewe, maana hata hapo Uganda kuna sukari ya kutosha........unalinda mwekezaji asiyejielewa kwa kuwabebesha wananchi maskini mzigo, hopeless!!​
 
Back
Top Bottom