Roho mbaya umeionaje mkuu na stress umezionaje?stress na roho mbaya ndio viashilia
Vipi mkuu huko kuna road toll?Mkuu juzi nilikua Burundi lita1700
Hahahaha 😂😂😂Si kipenzi chako huyo?
Na jk ulimmiss hadi ukatamani arudi awe rais?
Mama anaupiga mwingi
Tumeingia chaka Kwa huyu mama yetuWazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.
Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.
Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.
Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.
Labda wewe sisi wengine tupo vizuri ndio maana tunahoji.Wasomi wetu wamebaki na vyeti tu... Taaluma ni zero
Nenda kawahiji waliopitisha bajeti usitupigie kelele huku.Acha ujinga mkuu, jitambue umeshakua mtu mzima saivi. Yapasa kuzitambua haki zako. Kuhoji ni moja ya haki yako.
bahati nzuri hao wanaotobia hayo mabomba asilimia 60% waliwekea na mwendazake. Alipigwa akiwa hai sijui sasa itakuwajeMwendazake kaenda wewe pambana na hali yako hakuna wa kukusikiliza.
Mafuta yenyewe unakuta yanaingia kwa maghumashi hayapiti kwenye machine utasikia machine imeharibiki wabongo wameichezea.
Kama unaona bei ya mafuta ni ghali acha kununua. Mondi chini kashapigwaWakat Mwigulu anasema watu walikuwa bize na petition ya kumdisqualify mondi leo kelele zishaanza
Kuna shida katika itaratibu wa kutafuta vyanzo vya mapato na ukokotoaji.Mafuta mapaka yanafika bandarini Tanzania bei na wastani wa TZS 1,162.00 Kodi inachukua sehemu kubwa mapaka kuyafikisha shs.2,275.00 baada ya hapo ni usafirishaji na faida za wauzaji. So tatizo ni serekali yetu haiwezekani kodi na tozo ziwe karibu 100% ya bei ya CIF.
View attachment 1837383
View attachment 1837382
HNi aibu kama nchi!
Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.
Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga
Huko pia kwani wanaongozwa na CCM?Ni aibu kama nchi!
Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.
Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi.
-