Inakuwaje bei ya mafuta Tanzania inakuwa ghali kuliko nchi ambazo zinapitisha bidhaa hiyo bandari ya Tanzania?

jitombashisho

JF-Expert Member
Jun 11, 2020
667
2,242
Ni aibu kama nchi!

Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000.

Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi.
-
Hapo zambia tu ni buku mia saba lita 1740 ila sijui sisi tumelogwa na nani.Tunapiga kodi mpaka aibu maana mafuta ni bidhaa muhimu sana .Hata kama tunataka maendeleo tuende taratibu maana hatuwezi ijenga Tanzania kwa siku kuna vizazi vinakuja nao watajenga .Inafika mahali unaona kama tunakomoana ww uagize gari hiyo kodi mpaka inataka kuzidi bei ya gari sasa huu si uchizi.
 
Nchi IPO chini ya mzanzibari hii tusitegemee uongozi Bora hata siku moja.
JK ndiye raisi WA nchi hii huyu mama ni kama remote control
Wazanzibari na watu wa pwani ni rojorojo sana.

Sasa magenge ya wauza mafuta wameshakamata nchi wanajiamilia wanavyotaka.

Usikae ukategemea bei ya mafuta itakuja kushuka hii nchi tena.

Leo watu kama Manji wanazurula uraiani huku ana kesi lukuki za kukwepa kodi, kuzurumu taasisi za umma zilizompa pesa azipatie huduma akatokomea na pesa na ushahidi upo lakini anadunda mtaani. TRA kila siku anawawekea court injunction kwa kodi wanazomdai halipi. Halafu anaitwa muwekezaji.
 
Mafuta mapaka yanafika bandarini Tanzania bei na wastani wa TZS 1,162.00 Kodi inachukua sehemu kubwa mapaka kuyafikisha shs.2,275.00 baada ya hapo ni usafirishaji na faida za wauzaji. So tatizo ni serekali yetu haiwezekani kodi na tozo ziwe karibu 100% ya bei ya CIF.
1625202210097.png

1625202121800.png
 
Back
Top Bottom