Nimekusoma Mkuu, maana sisi wengine hatutaki ushahidi.Sasa mkuu unadhani hiyo mada aliyoanzisha jamaa inaumuhim wowote, kama ni chamsha genge sawa tu
Umesahau Mwakatrump mkuu!Jina la.babu si jina la.ukoo
Makabila mengi tz hutumia
First name_jina lako
Middle name_jina la baba
Last name_ jina la ukoo
Na sivyo ulivyo eleza kwamba jina la babu hutumika kama la Ukoo
Ambao hutumia majina manne hutumia na jina la babu km alivyo eleza mkuu juu happ
Na ndio mana kuna Ukoo
Km wachaga
Mushi
Temba
Temu
Minja nk
Wanyakyusa kuna
Mwakyembe
Mwakabuku
Mwakabuta
Mwalukasa
Nk
Haya sio majina ya babi niya ukoo