Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Naomba niwaulize wakuu,
Inakuaje mtu anakuwa anamajina manne. Mi naelewa kwa mfumo wa kawaida huwa mtu anakuwa na majina matatu. Yani jina la kwanza, la kati na la mwisho, kwa kienglish ni First name, middle name na last name.
Wengine huwa ni jina la ukoo au lakuzaliwa, la ubatizo au la dini na la mzazi yani Baba. Kwa mfano Julius Kambalage Nyerere au Jakaya Mrisho Kikwete.
Sasa huwa napata kizunguzungu unakuta mtu anamajina manne. Yote ayo anakuwa kayatolea wapi?
Au kuwa na majina manne nacho ni cheo?
Kwa mafano: John Pombe Joseph Magufuli, Nduli Iddi Amini Dada.
Sasa apo nachanganikiwa sielewi la dini au ubatizo ni lipi, la ukoo ni lipi na la baba yake ni lipi. Maana yapo dabble dabble tu.
Kisheria na ki official Ni majina matatu ndyo yanatambulika. Haya mengine ni kutaka kutuchangaya sasa.
Nitegulieni hiki kitendawili wakubwa.
Inakuaje mtu anakuwa anamajina manne. Mi naelewa kwa mfumo wa kawaida huwa mtu anakuwa na majina matatu. Yani jina la kwanza, la kati na la mwisho, kwa kienglish ni First name, middle name na last name.
Wengine huwa ni jina la ukoo au lakuzaliwa, la ubatizo au la dini na la mzazi yani Baba. Kwa mfano Julius Kambalage Nyerere au Jakaya Mrisho Kikwete.
Sasa huwa napata kizunguzungu unakuta mtu anamajina manne. Yote ayo anakuwa kayatolea wapi?
Au kuwa na majina manne nacho ni cheo?
Kwa mafano: John Pombe Joseph Magufuli, Nduli Iddi Amini Dada.
Sasa apo nachanganikiwa sielewi la dini au ubatizo ni lipi, la ukoo ni lipi na la baba yake ni lipi. Maana yapo dabble dabble tu.
Kisheria na ki official Ni majina matatu ndyo yanatambulika. Haya mengine ni kutaka kutuchangaya sasa.
Nitegulieni hiki kitendawili wakubwa.