Nakutafuta saana Mzee wangushida elimu hamna, hawajui kuji position namna ya kupata au kutengeneza ma deal.
wao wanacho jua ni kuomba omba kama bakuli la rambi rambi, so viongozi wana ona huyu ten ina mtosha kumbe!
#mcheki baba levo ka fala vile, ila udiwani kapata, ubunge ndio huo.
Kuna mtu alisema wanapewa 20k na unga wa nusu na robo na dagaaNjaa kali wanapewa chakula sio nyavu
Kwani ukiwa maarufu na ukaribu na viongozi wa CCM ndo unakua tajiri?
Machawa na UVCCM wenyewe wako hoi choka mbaya mbovu.
😂😂😂😂😂
Kinachokudanganya ww n maisha yao ya mitandaoni na sio kujua maisha yao halisi.
Etii eeeh, bas sawaaKama huwi tajiri huo uchawa na umaarufu unakusaidia nini? Huo ni ujinga.
Kuwa karibu na viongozi au matajiri haina maana watakumwagia pesa za bure. Matajiri wengi ni mabahili kuliko unavyodhani. Watu wengi walio karibu na hawa vigogo huridhika na vitu vidogo vidogo na wengi wao pia elimu duni. Mwaka 2014 nikiwa nimepigika hatari na kazi sina nilishangaa kujua jamaa yangu fulani anajuana na aliyekuwa mkuu wa NSSF wakati huo. Yule jamaa nilimwomba anikutanishe na yule kigogo nipate mchongo wa kazi. Huwezi amini jamaa tulienda naye posta bila hata appointment tukakutana na yule kibopa. Cha kushangaza huyu jamaa yangu ni fukara na mara nyingi ninamkuta pale jengo la Yanga.
shida elimu hamna, hawajui kuji position namna ya kupata au kutengeneza ma deal.
wao wanacho jua ni kuomba omba kama bakuli la rambi rambi, so viongozi wana ona huyu ten ina mtosha kumbe!
#mcheki baba levo ka fala vile, ila udiwani kapata, ubunge ndio huo.
Baba Levo kajua kutumia fursaNilikua nammind Baba levo ila kwa ujinga wa watanganyika na historia yake na alipofika anafaa pongezi.
Ukimpa mtaji utapata wapi chawa competent kama yeye. Ni sawa na kuuliza mmiliki wa ng'ombe 1,800 kwanini hampi mfugaji wake pendwa wa miaka 10 na aliyekuza idadi mara 10 tangu aanze ng'ombe walau 50.Tajiri hampii chawa Mtaji hata siku moja