mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
Umenena vyema mkuuHuyu jamaa atakuwa hana hela ya manukato.kwahiyo anataka atuaminishe wanaume wote kuwa kujinukisha ni vibaya
Umenena vyema mkuuHuyu jamaa atakuwa hana hela ya manukato.kwahiyo anataka atuaminishe wanaume wote kuwa kujinukisha ni vibaya
Umenena vyema mkuuWe tumia hata K Y Jelly itakufaa sie wa marashi tuache mkuu pita kando kabisa
Umenena vyema mkuuPost hii imejaa dalili ya wivu na usela wa kizamani
Umenena vyema mkuuWadada tunapenda kuhug wakaka wanaonukia vizuri hata kuwa karibu nao yamkini sio mpenzi. Mwanaume akinukia vizuri na awe smart ni kivutio kizuri sana. Binafsi napenda mwanaume wangu anukie vizuri inanifanya kila muda nitamani kumkiss shingoni mwake au anikumbatie. Napenda perfume nzuri na yeye ni mpenzi wa manukato mazuri basi nikiwa nae hata faragha na enjoy sana.
Umenena vyema mkuuUnataka wanuke kama mabeberu????
Umenena vyema mkuuBora huyo ambaye kapulizia marashi ya maiti yenye KUNUKIA kuliko mwanaume anayenuka jasho, kikwapa, pombe au tumbaku hii inakera zaidi.
Kwhyo mkeo hana nafasi ya kumkumbatia mwanaume anayenukia perfumes? yaani wewe upate hatufu yake ya parfumes.. Ila yeye apate harufu ya BEBERU kutoka kwkoUjana ni uchizi mkuu kwa baadhi ya wenye akili ndogo.
Perfume atajipulizia mke wangu hayo mengine ni Ujinga.
Umenena vyema mkuuWw ukitake kunuka nuka tu usipangie wengine
Naoga mara mbili kwa siku harufu ya beberu itoke wapi?Kwhyo mkeo hana nafasi ya kumkumbatia mwanaume anayenukia perfumes? yaani wewe upate hatufu yake ya parfumes.. Ila yeye apate harufu ya BEBERU kutoka kwko
Umenena vyema mkuuLabda sijakuelewa vizuri,unamanisha mwanamme asijitie Perfume aoge atie mafuta thats it?
unamanisha wewe ukishaoga nakutia mafuta ndio ushamaliza? mkuu sijui wengine ila Napenda sanaa tena sanaa
Mume wangu anukie,kila nikiona mafuta mazuri Al Oud nzuri nilazima nimnunulie mwanamme kunukia buanaaaaaa
kwanini anuke kama Beberu kama anaweza afford kununua manukato...?
Hayo ndy madude yanguHumu kumejaa comments za kimaskini na wivu tu.
Hata ukioga mara kumi mkuu..bila perfume ni kama hujavaa nguo romantic... Mwanamke anaweza akakuchukia au akakupenda sababu tu ya harufu yakoNaoga mara mbili kwa siku harufu ya beberu itoke wapi?
Mapenzi nmeanza zamani.Hata ukioga mara kumi mkuu..bila perfume ni kama hujavaa nguo romantic... Mwanamke anaweza akakuchukia au akakupenda sababu tu ya harufu yako
Halafu baada ya kunitongoza itajulikana nani atakaye mpa UTAMU mwenzie...kwn kwa akili yako ya kizamani unadhani MABEBERU hawapati wanawake? wewe utapata mwanamke kulingana na ulivyo...hakuna mwanamke mpenda manukato achukuliwe na BEBERU...MNUKA KWAPA...na wewe utakuwa unawachukuwa MABEBERU JIKE.....wenzio.... Wanaonuka KICHUJIO....huwezi pata mwanamke mrembo... Mkuu...imeandikwa MZINIFU ataoa mzinifu mwenzie....mlevi na mlevi mwenzie...Mapenzi nmeanza zamani.
Nmetembea na wanawake wa kila namna. Wazuri Kwa wabaya, weusi kwa weupe, warefu Kwa wafupi.
Na sasa Nina mtoto mkali na anapenda nilivyo
Kama unaasili ya kutoa mijasho na kunuka kwapa basi perfumes ndio suluhisho lako.
Tuache ambao hatunuki jasho.
Mimi ukinukia perfume nilikuambia nikikuona nakutongoza then unapata ulichokuwa unakitaka
Mkuu mume wangu lazima anukie tena wala simwambiii nunua namnunulia mie nilikua sijui mpaka sasa nimekua mwalimu,kuanzia mafuta ya Perfume Al Oud ndio usiseme,Udi ijumaa kanzu yake ya msikitini lazima nifukize,mpango wa mwanamme kunuka zizi la Mbuzi NO..unajua nikimsikia Mwanamme ananuka jasho la kupitiliza hua najiuliza huyo mkewe au mwanamke wake ana hali gani? huenda wakawa wasafi lakini inaleta picha mbaya..Umenena vyema mkuu
mashallah........i lyk itMkuu mume wangu lazima anukie tena wala simwambiii nunua namnunulia mie nilikua sijui mpaka sasa nimekua mwalimu,kuanzia mafuta ya Perfume Al Oud ndio usiseme,Udi ijumaa kanzu yake ya msikitini lazima nifukize,mpango wa mwanamme kunuka zizi la Mbuzi NO..unajua nikimsikia Mwanamme ananuka jasho la kupiliza hua najiuliza huyo mkewe au mwanamke wake ana hali gani? huenda wakawa wasafi lakini inaleta picha mbaya..
anatumia perfume gan na mimi nikainunue...nianze kujipulizia.Wadada tunapenda kuhug wakaka wanaonukia vizuri hata kuwa karibu nao yamkini sio mpenzi. Mwanaume akinukia vizuri na awe smart ni kivutio kizuri sana. Binafsi napenda mwanaume wangu anukie vizuri inanifanya kila muda nitamani kumkiss shingoni mwake au anikumbatie. Napenda perfume nzuri na yeye ni mpenzi wa manukato mazuri basi nikiwa nae hata faragha na enjoy sana.
thela avae utumia ihi?..nienda nami nzore...Personally I hate cheap perfumes