NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,380
umeona eeh,mwanamme akinukia kuna raha yake etiiiii,unapanda kitandani unanuka kama beberu alochelewa kurudi malishoni ina khusuuuuuuuuu?Huo uanaume wa kizamani..kwamba kisa DUME hupaki mafuta..kisa dume CHUPI UNAVAA WEEK..kisa dume HUNUKII PERFUMES.. hivi vitu vinazidisha hata. Mahaba na mkeo nyumbani... Harufu nzr inavutia vipepeo na nyuki....mkuu..