Inakera sana kupishana na kijana wa kiume ananukia kama mwanamke

Huo uanaume wa kizamani..kwamba kisa DUME hupaki mafuta..kisa dume CHUPI UNAVAA WEEK..kisa dume HUNUKII PERFUMES.. hivi vitu vinazidisha hata. Mahaba na mkeo nyumbani... Harufu nzr inavutia vipepeo na nyuki....mkuu..
umeona eeh,mwanamme akinukia kuna raha yake etiiiii,unapanda kitandani unanuka kama beberu alochelewa kurudi malishoni ina khusuuuuuuuuu?
 
Utachekwa mpaka na KUKU mkuu.....kunuka KORODANI.na Kunuka KIKWAPA.... hakukufanyi kuwa..mwanaume kamili...zaidi ya KUWA MCHAFU TU....usiwe na ufinyu wa fikra.... UCHAFU NI TABIA YA MTU...so unaona BORA unywe viroba...kuliko kununuwa japo... BODY SPRAY?sio kwl kwamba perfumes zinazonukia sn ni za kike...Google KUROUS....JOOP...ESYMIAKE... HUGO BOSS...for man...yatakuja hayo unayoyaona hapo..
Usidanganye wenzio... wewe HUBADILISHI CHUPI hadi UINUSE KWNZ....kama hainuki hata WEEK HUBADILISHI..
.ndy uanaume huo?wewe ni MARINDA LESS MCHAFU....straight...
Umejuaje km kuna kunusa chupi kabla ya kuvaa km siyo tabia yako?
Ma Mrs watu mnamaneno meeengi,
Hebu rudia kusoma alichoandika mtoa mada,
Kasema mnanukia kikike kike,umemuelewa lkn?,
Labda nikusaidie jamaa alikuwa anawasema ninyi mnaichangia drsng table na wake ama Dada zenu,
Matokeo yake mnajispray unyunyu wa kike,ndo maana kasema mnanukia kikike kike,
Hata watengeneza manukato wametofautisha mnukio wa fume za KE na ME,
Lkn tusiseme sana maana mnafanya hivyo sababu ya kazi zenu,
Ky jelly hoyeee
 
Umejuaje km kuna kunusa chupi kabla ya kuvaa km siyo tabia yako?
Ma Mrs watu mnamaneno meeengi,
Hebu rudia kusoma alichoandika mtoa mada,
Kasema mnanukia kikike kike,umemuelewa lkn?,
Labda nikusaidie jamaa alikuwa anawasema ninyi mnaichangia drsng table na wake ama Dada zenu,
Matokeo yake mnajispray unyunyu wa kike,ndo maana kasema mnanukia kikike kike,
Hata watengeneza manukato wametofautisha mnukio wa fume za KE na ME,
Lkn tusiseme sana maana mnafanya hivyo sababu ya kazi zenu,
Ky jelly hoyeee
Sasa kama mm nanusa chupi..ningekuwa nasapoti MARASHI?mnaonusa chupi ni nyie mnaonuka KIBEBERU..pia inaonekana kwa jinsi gani sio MTANASHATI....unaona BORA PESA ZAKO UNUNUWE POMBE YA MNAZI..AU DADEE...kuliko upate body spray....ila mm sikulaumu...kuwa mtanashati ni jinsi mtu ulivyolelewa tangia mtoto..au jinsi BABA YAKO alivyokuwa ukimuona wakati upo mtoto.. ...kama wewe MNUKA KWAPA.. basi hata mzazi wako wa kiume alikuwa hivyo.. Sikulaumu mkuu....maji hufata mkondo
 
fanyeni mambo yanayowahusu yasiyiwahusu acahaneni nayo,,mausha ya mtu yanakuhusu nini.....this was happening in medieval world 14 C
 
Mkuu nadhani ni ufinyu wa mawazo unakusumbuwa...labda nikwambiye kitu kwa faida yko..duniani kila mtu ana vitu anavyopenda ktk maisha yake.. Ili awe happy...au awe comfortable... Wapo walevi...wapo wanaopenda kufumuliwa marinda...wapo wanaopenda kuvaa... Wapo wanaopenda kunukia marashi mazuri sn....mimi ni mmoja wao...hao wanaopenda kunukia marashi mazuri mno....tena inaonyesha kwa jinsi gani ulivyokuwa mbali na UTANASHATI...huwezi kukutana na mwanaume mtanashati HUKU nguo zinanukia DAWA YA MENDE...mimi nanunuwa perfumes hata za laki 800000 huo ndy ugonjwa wangu..bila perfume ni kama sijavaa nguo...mkuu....na wakina dada hawapendi wanaume wasiojipenda...hata km una pesa lakini unanuka KORODANI..unanuka MDOMO..unanuka VIATU au KIPWAPA basi ujuwe wewe ni ATM tu..hao warembo wanakutumia tu..lakini wana wanaume watanashati ..PERFUME NI KAMA NGUO..usipo tumia hata siku moja unajiona km hujavaa shirt...au suruali...PIA KUNUKA DAWA YA MENDE au kunuka MIGUU....kunuka MDOMO...hakukufanyi uwe mwanaume kamili..ni UCHAFU TU MKUU..
772416d56f9418832a36ceeec6e94ba6.jpg
hapo mkuu pana Joop..pana KOROUS.. Pana esymiake..na HUGO BOSS....hizo ni hatari ya danger mkuu.. Huo ndy ugonjwa wangu mkuu....usituanike humu kama wewe ni SIO MGONJWA WA MANUKATO..
Nilivyomuelewa mleta post nikuwa mwanaume apake manukato ya kiume na ke nao waendelee na manukato yao hajakataza me kutumia
 
Nilivyomuelewa mleta post nikuwa mwanaume apake manukato ya kiume na ke nao waendelee na manukato yao hajakataza me kutumia
Amesema MWANAUME kunukia kama mwanamke... Alimaanisha mwanaume utanukia vp?unapaswa usinukie...wanaonukia ni wanawake... Hyo ndy maana kamili ya post yake
 
Amesema MWANAUME kunukia kama mwanamke... Alimaanisha mwanaume utanukia vp?unapaswa usinukie...wanaonukia ni wanawake... Hyo ndy maana kamili ya post yake
Unanukia ili iwe nini... Kama una kikwapa oga viuri.. Una fungus tafuta matibabu.. Nguo zatema fua.

Maspray ya nini kijana wa kiume!??
 
Nipo hapa najipuliza kitu Lacoste ndo nitoke nikapige beer baridiii teh teh teh
 
Sasa kama mm nanusa chupi..ningekuwa nasapoti MARASHI?mnaonusa chupi ni nyie mnaonuka KIBEBERU..pia inaonekana kwa jinsi gani sio MTANASHATI....unaona BORA PESA ZAKO UNUNUWE POMBE YA MNAZI..AU DADEE...kuliko upate body spray....ila mm sikulaumu...kuwa mtanashati ni jinsi mtu ulivyolelewa tangia mtoto..au jinsi BABA YAKO alivyokuwa ukimuona wakati upo mtoto.. ...kama wewe MNUKA KWAPA.. basi hata mzazi wako wa kiume alikuwa hivyo.. Sikulaumu mkuu....maji hufata mkondo
Utanashati siyo kutumia marashi ya kike ili unukie kikike kike,
Lkn km unavyosema nimeiga kwa baba angu OK sawa
Km ambavyo ww umeiga tabia za mama ako nadhani nakuwazungushia watu nyonga utaanza km anavyofanya yy
 
Utanashati siyo kutumia marashi ya kike ili unukie kikike kike,
Lkn km unavyosema nimeiga kwa baba angu OK sawa
Km ambavyo ww umeiga tabia za mama ako nadhani nakuwazungushia watu nyonga utaanza km anavyofanya yy
Wewe pimbi. ""fuatilia uzi wng. Utaona MARASHI ninayotumia
4f02cbb9576ff49e56b5c01d5f0d0ebf.jpg
 
Back
Top Bottom