faraja joel
Member
- Jun 29, 2016
- 92
- 38
Mtu akinuka jasho anasemwa, akijipulizia marashi mnasema sasa ajipake mavi au??
Mtu akinuka jasho anasemwa, akijipulizia marashi mnasema sasa ajipake mavi au??
tatizo ni kwamba sio kila mtu ni wewe,japo unatamani wewe ndio uwe kila mtuMnisamehe tu leo...
Suala la mwanaume kunukia kama mtoto wa kike linakera sana. Hii inatokana na kujipulizia mapafyumu. Mungu aliumba harufu za asili za kike na kiume tubaki na hizo.
View attachment 520288
Lets get back to naturality. Girls and Boys get smart.
Basi sawaMnisamehe tu leo...
Suala la mwanaume kunukia kama mtoto wa kike linakera sana. Hii inatokana na kujipulizia mapafyumu. Mungu aliumba harufu za asili za kike na kiume tubaki na hizo.
View attachment 520288
Lets get back to naturality. Girls and Boys get smart.
Inavutia SanaWadada tunapenda kuhug wakaka wanaonukia vizuri hata kuwa karibu nao yamkini sio mpenzi. Mwanaume akinukia vizuri na awe smart ni kivutio kizuri sana. Binafsi napenda mwanaume wangu anukie vizuri inanifanya kila muda nitamani kumkiss shingoni mwake au anikumbatie. Napenda perfume nzuri na yeye ni mpenzi wa manukato mazuri basi nikiwa nae hata faragha na enjoy sana.
Mm mpk kipanda USO huwa kinaniumaMbaya zaidi anaingia kwenye hiace au sehemu ya mkusanyiko wa watu wengi anaharibu hali ya hewa kabisa.....wengine unakuta ni washamba hata tofauti ya marashi ya MADEMU, MAITI na WANAUME hajui matokeo yake anajitundika yale ya MAITI yanoyonukia sana akidhani ndio amekomeshea sasa inakuwa ni kero kwa wasiopenda marashi kwani huwatesa wengine na si yeye aliyejipaka