Si nimekuquote jamani halafu mjina wako mrefu kama nanihii ya punda
watu8 siku hizi mdogo wangu umebadilika?? yaani umekuwa mkali utafkiri baba mwenye nyumba. nini tatizo kwani??
kwa post yako hii ungekuwa na bakora ungemtwanga za makalio lol!
Nimekumis sana pamoja na hawa Vin Diesel watu8 Filipo eti nasikia umefumaniwa Nicas Mtei Mtambuzi nakuona tu mmu Asprin buzi udumu miaka 10000 Ruttashobolwa Bishanga bepari la kihaya liliofililisika da mwaJ gfsonwin snowhite
Huyu c ndio mtt wa kina flani,mdomo karithi kwa mama yake itakua,amezaliwa uswazi kaloleni,kakulia uswazi,mama yake mwenyewe mswahili,kwa nini asiwe na maneno?usiseme kama nimekwambia!maana wakiungana na mama yake vijembe vinanihusu!
Hahahah yaani sister ukitaka kufuatilia posts zangu zote haswa za huku CC, utaishia kupata "breini konkasheni"....
Ila sio siri kuna raia wengine huwa wanatukosea heshima atii, sasa we unadhani kwa thread kama hii watu watatoa maoni gani mpendwa?? pengine naonekana mkali kwa kuwa nimekuwa hapa Jukwaani kwa muda mrefu kidogo kama Guest na baadaye Member, hii si aina ya Threads ambazo zimekuwa zikionekana hapa JF.
acha Politics wewe, mbona hujibu PM zangu hadi zina rudi kwangu!
Nimekumis sana pamoja na hawa Vin Diesel watu8 Filipo eti nasikia umefumaniwa Nicas Mtei Mtambuzi nakuona tu mmu Asprin buzi udumu miaka 10000 Ruttashobolwa Bishanga bepari la kihaya liliofililisika da mwaJ gfsonwin snowhite
Nimezipata wangu ila sikuweza kujibu nilikuwa najisikia ndivyo sivyo
Nimekumis sana pamoja na hawa Vin Diesel watu8 Filipo eti nasikia umefumaniwa Nicas Mtei Mtambuzi nakuona tu mmu Asprin buzi udumu miaka 10000 Ruttashobolwa Bishanga bepari la kihaya liliofililisika da mwaJ gfsonwin snowhite
Kwa hiyo sisi ndio consultants wa dada poa au??....Hebu upe thamani yake basi mtandao wa JF, hii mambo yako ulitakiwa uiweke huko sijui twitter au facebook.
Yaani lijitu lizima linaomba ushauri wa namna ya kutenda dhambi, halafu linakuja hapa na misharubu imemsimama kama mnyama aliyekitwa kimoja na Libolo jana hapo Taifa Gesti Hauz...
Maarifu wangu wa Kaloleni, Soweto na Mianzini....hebu mshughulikieni huyu mb.ulula, kama vipi si mumnyonye macho tu!!
Nimekumis sana pamoja na hawa Vin Diesel watu8 Filipo eti nasikia umefumaniwa Nicas Mtei Mtambuzi nakuona tu mmu Asprin buzi udumu miaka 10000 Ruttashobolwa Bishanga bepari la kihaya liliofililisika da mwaJ gfsonwin snowhite
Teh teh kwa hiyo jamaa kaona chit chat ina hadhi ya kuuliza huu ujinga . Wenye jukwaa lao wamemind hahahaha kosa ni la nani muuliza mada au wana chitchat?
Napita tu
nawewe upo nn mbona unamindKwa hiyo sisi ndio consultants wa dada poa au??....Hebu upe thamani yake basi mtandao wa JF, hii mambo yako ulitakiwa uiweke huko sijui twitter au facebook.
Yaani lijitu lizima linaomba ushauri wa namna ya kutenda dhambi, halafu linakuja hapa na misharubu imemsimama kama mnyama aliyekitwa kimoja na Libolo jana hapo Taifa Gesti Hauz...
Maarifu wangu wa Kaloleni, Soweto na Mianzini....hebu mshughulikieni huyu mb.ulula, kama vipi si mumnyonye macho tu!!