Inadaiwa, Mbunge wa Busega Bwana Simoni Songe amewahonga wajumbe 800 kila mmoja elfu thelathini kama ushawishi wa kuja kuchaguliwa

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Sep 4, 2019
1,398
3,907
Kuna Madai ya Mbunge wa Jimbo la Busega bwana Simoni Songe hivi karibuni mwezi December mwaka 2023 aliwaita wajumbe wa CCM 800 na kuwahonga kila mmoja elfu thelathini alitumia kama million25

kwamba kiongozi anaenda Bungeni anapewa posho ya Kuja kuwahonga walipa kodi lakini vyombo vya dola vipo havifanyi uchunguzi wa aina yoyote na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Ndugu chegeni naye alihonga wajumbe 300 kwa elfu kumi kumi jumla ya tsh 3,000,000/= million Tatu

uongozi wa kununua huu hauwezi kuibadilisha nchi hata SIKU MOJA
 
Kuna Madai ya Mbunge wa Jimbo la Busega bwana Simoni Songe hivi karibuni mwezi December mwaka 2023 aliwaita wajumbe wa CCM 800 na kuwahonga kila mmoja elfu thelathini alitumia kama million25

kwamba kiongozi anaenda Bungeni anapewa posho ya Kuja kuwahonga walipa kodi lakini vyombo vya dola vipo havifanyi uchunguzi wa aina yoyote na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Ndugu chegeni naye alihonga wajumbe 300 kwa elfu kumi kumi jumla ya tsh 3,000,000/= million Tatu

uongozi wa kununua huu hauwezi kuibadilisha nchi hata SIKU MOJA
Unatumika kwenye karakana ya shetani.
 
Kuna Madai ya Mbunge wa Jimbo la Busega bwana Simoni Songe hivi karibuni mwezi December mwaka 2023 aliwaita wajumbe wa CCM 800 na kuwahonga kila mmoja elfu thelathini alitumia kama million25

kwamba kiongozi anaenda Bungeni anapewa posho ya Kuja kuwahonga walipa kodi lakini vyombo vya dola vipo havifanyi uchunguzi wa aina yoyote na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Ndugu chegeni naye alihonga wajumbe 300 kwa elfu kumi kumi jumla ya tsh 3,000,000/= million Tatu

uongozi wa kununua huu hauwezi kuibadilisha nchi hata SIKU MOJA
CCM na rushwa ni uji na mgonjwa
 
Kuna Madai ya Mbunge wa Jimbo la Busega bwana Simoni Songe hivi karibuni mwezi December mwaka 2023 aliwaita wajumbe wa CCM 800 na kuwahonga kila mmoja elfu thelathini alitumia kama million25

kwamba kiongozi anaenda Bungeni anapewa posho ya Kuja kuwahonga walipa kodi lakini vyombo vya dola vipo havifanyi uchunguzi wa aina yoyote na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Ndugu chegeni naye alihonga wajumbe 300 kwa elfu kumi kumi jumla ya tsh 3,000,000/= million Tatu

uongozi wa kununua huu hauwezi kuibadilisha nchi hata SIKU MOJA
PCCB wanasemaje
 
Back
Top Bottom