cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,683
- 137,424
hahahahah yaan weee kiumbe lol
hahahahah yaan weee kiumbe lol
Mic u too honey...😍😍😍Mie mzima dea, n mic u moaaaah ,
Pia useme na wee ilikuaje na shem pale mlipo achana
Kwa mujibu wa wana saikolojiaWasaalam.
Wanabodi na wataalam wa mahusiano, inachukua muda gani kuingia kwenye mahusiano mengine mapya baada ya kuachana na uliekua katika mahusiano?
Je, inashauriwa kuchukua muda gani kabla ya mahusiano mengine mapya?
Mie si nimesema jamaniiih dea, sijawahi kuwa ktk mahusiano, mie nikiwa ndani ya wawili lazima ujue yaan. Wee ndo mkubwa ndo uanze hivyooh lolMic u too honey...
Hebu anza wewe kwanza mimi nitamalizia
Ngoja kwanza nipate Breakfast kwanza nitarudi..sawa honey wangu ee😅😅Mie si nimesema jamaniiih dea, sijawahi kuwa ktk mahusiano, mie nikiwa ndani ya wawili lazima ujue yaan. Wee ndo mkubwa ndo uanze hivyooh lol
Sidhani kama haya mambo yana sheria but I think whenever you feel like you are ready or comfortable. But it depends on ,
1.Ni nani amekatisha hayo mahusiano.
2.How long the relationship lasted.
3. Sababu ya kuachana.
4. Umeipokea namna gani hiyo break up.
Maelezo,
Kama umeishi na mtu miaka mitano na mkaachana kusahau na ku-move on gharama yake ni tofauti na mtu mliyekuwa kwenye mahusiano kwa miezi kadhaa.
Sababu ya kuachana
Nasubiriiiih hivyoooh dea,Ngoja kwanza nipate Breakfast kwanza nitarudi..sawa honey wangu ee
Haha..mke mwenza acha tu mie yamenishinda endelea wewe tuu
mke mwenza we endelea kwanza mi ntarudiHaha..
Mke mwenza siri ya kwanza ya ndoa ni 'uvumilivu' usisahau hili tafadhali sana.! Huwezi nisusia ndoa peke yangu jamani..!
😂😂😂subiri kwanza😢😢jana uliiwakilishaje nchi mjini pm..tuanzie hapo kwanza
Well saidSidhani kama haya mambo yana sheria but I think whenever you feel like you are ready or comfortable. But it depends on ,
1.Ni nani amekatisha hayo mahusiano.
2.How long the relationship lasted.
3. Sababu ya kuachana.
4. Umeipokea namna gani hiyo break up.
Maelezo,
Kama umeishi na mtu miaka mitano na mkaachana kusahau na ku-move on gharama yake ni tofauti na mtu mliyekuwa kwenye mahusiano kwa miezi kadhaa.
Kama wewe ndie uliyekatisha haya mahusiano, unaweza kuchukua muda mfupi kuingia kwenye mahusiano mapya kwa sababu hautakuwa na maumivu sana, ni maamuzi yako. Lakini aliyeachwa anakuwa na maumivu zaidi na hasira na kujutia hivo ni vizuri kama akichukua muda ku-heal.
Sababu ya kuachana ni ipi? Wengine wanaachana kwa sababu wamekubaliana kwa sababu nzuri tu. Labda wameona hayo mahusiano hayana maana, au wanawapenda watu wengine. Mfano, wewe unadate na mtu lakini yeye anampenda mtu mwingine. Mnakubaliana kila mtu aende kwa ampendaye. Kwahiyo unaweza kudate mwingine hata lisaa baada ya kuachana.
Having said that, inabidi tu uingie kwenye mahusiano pale unapohisi upo tayari, na sio kwa sababu unataka faraja kwa muda huo au una huzuni au unataka kum-show Ex wako.
Jibu zuri lenye matumaini.🤝safi vijana..party ya kimya kimya😂😂😂subiri kwanza
😂😂😂naona umeamua kuconcludeJibu zuri lenye matumaini.🤝safi vijana..party ya kimya kimya
Mi mtu mzima bhana....😂😂😂naona umeamua kuconclude
😂😂😂😂mbona baba fred😂😂Mi mtu mzima bhana....
Mambo gani tena unataka leta wewe😅hebu piga kimya mkule laifu huko..
Kumbuka kuliwakilisha taifa vizuri kwenye hiyo nchi ya kigeni.
Baba Fred endelea kukaza mwana🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Mama relax...hana familia huyo😅😅wewe ndo utakuwa familia yake...😂😂😂😂mbona baba fred😂😂
mtag apa basi 😂😂😂Mama relax...hana familia huyo😅😅wewe ndo utakuwa familia yake...
Hiyo baba fred mimi ndie niliyem’batiza kuna sehemu nililifuma.
Dada hujui kuchangamkia fursa eee..nilishamtag mara nyingi tu mbno..mtag apa basi 😂😂😂
😂😂😂😂we sio wa kunifanyia ivo ujueDada hujui kuchangamkia fursa eee..nilishamtag mara nyingi tu mbno..
Hebu muacha baba fred ale pilau yake salama..ushachelewa tena😅😅😅😎