Ina maana hata kukiss hujui?

Ina maana hata kukiss hujui?

Hahah unanikumbusha kunasiku usiku mshkaji wangu alinambia nimskoti kwa demu wake, tulivyofika baada ya maongezi yule demu akaanza kumlazimisha jamaa romance ili waagane, sasa jamaa akawa anakataa, sasa ukiona wanavyovutana utacheka ufe,
sasa mimi nimekaa kwenye gari nawachora, mpaka jamaa akafanikiwa kujinasua lakini hakukiss, baadae tuko njiani tunarudi nikaanza kumcheka na kumuuliza why alikuwa anakataa kiss? Jamaa akasema yule demu mdomoni alikuwa anatemba kama chemba ndomana akamkwepa, Ila baadae tuligundua anamatatizo ya mdomo baada ya kuwadadisi marafiki zake
Haaha cant imagine hiyo harufu khaaa romance yataka moyo kwa kwelii
 
Hahah unanikumbusha kunasiku usiku mshkaji wangu alinambia nimskoti kwa demu wake, tulivyofika baada ya maongezi yule demu akaanza kumlazimisha jamaa romance ili waagane, sasa jamaa akawa anakataa, sasa ukiona wanavyovutana utacheka ufe,
sasa mimi nimekaa kwenye gari nawachora, mpaka jamaa akafanikiwa kujinasua lakini hakukiss, baadae tuko njiani tunarudi nikaanza kumcheka na kumuuliza why alikuwa anakataa kiss? Jamaa akasema yule demu mdomoni alikuwa anatemba kama chemba ndomana akamkwepa, Ila baadae tuligundua anamatatizo ya mdomo baada ya kuwadadisi marafiki zake
 
kuna movie inaitwa addicted nimetoka kuiangalia punde, jamaa wanjua kukiss hadi mtazamaji una feel something, wako vizuri, sasa kutana na mbongo hilo domo anavyokupa, wakati wenzao wanacheza na lips. kisses za kibongo ni kero bora ugegede tu mbele kwa mbele.
Laivu, wenzetu wamepiga hatua na wanafanya vitu kwa uelewa,....
 
Asikwambie mtu!!! Ukikutana na mtu hasiyejua kukiss utajuta.!! Kuna mkaka aliwai nikisss niliumwa lips wiki nzima. Yaani alikua anang'ata ile mbaya. Unamsukumiza lakini wapi! Aisee nilikoma. Yaani kiss tu ilinikimbiza
Hahaha sasa haujaangalia bed kama yuko vizuri?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom