In need of man suffering from infertility for a husband!

In need of man suffering from infertility for a husband!

Mpige two in one ajifungue mapacha kabisa...
Nina seti mbili ya mapacha ,wa kike walianza wakaja wakiume ,sasa hii seti ya tatu unayo nishauri mkuu hapana sitakuwa na uwezo wa kuwatunza hali ngumu sana siwezi kuwapa uji wa chumvi
 
Nina seti mbili ya mapacha ,wa kike walianza wakaja wakiume ,sasa hii seti ya tatu unayo nishauri mkuu hapana sitakuwa na uwezo wa kuwatunza hali ngumu sana siwezi kuwapa uji wa chumvi
Eeer! Kwanza Kakateni mirija mkuu...

Ukiondoka unatuachia majirani mzigo tuu
 
Eeer! Kwanza Kakateni mirija mkuu...

Ukiondoka unatuachia majirani mzigo tuu
Kila mtoto anakuja na baraka zake usijali ,kati ya hawa 9 , 4 wanaweza kutoboa ,3 wakawa tegemezi na 2 wakawa ma padri mkuu hivyo hamna shida siku nikiondoka hamtopata tabu
 
Nadhani anataka kuwapa dawa wasio na uwezo wakumpa mimba mwanamke,

Atasaidia sana, maana wapo wengi wenye tatizo hilo
 
Anatafuta mwanaume asiyekuwa na mbegu za kiume waoane..

Kama huna mfate PM mapema sana, hiii ni bongo mkuu ..
Kua infertile haimaanishi tu kukosa mbegu za kiume! Kuna mengi yanasababisha.
 
Back
Top Bottom