In love with two guys...advice please!

Crystal

Member
Mar 3, 2011
37
0
habari wapendwa wanajamvi,
naombeni ushauri maana nipo njiapanda pale nilipojikuta nikiwapenda watu wawili kwa wakati mmoja.sijawa na mahusiano rasmi na yeyote kati yao lakini ni marafiki nilionao karibu na wote wananipenda na wameonesha nia ya kuwa na mimi zaidi ya urafiki.i can't decide who to be with.i have strong feelings for them both na i can see myself spending the rest of my life with both of them.hivi is it possible to fall for two people at the same time???nisaidieni jamani maana i am in dilemma na inaniumiza sana.nimeshindwa kuchagua mmoja sababu nawapenda wote sana!
 
Naona maombi ya wana JF yameshaanza kutiki. Tayari wawili wa waombaji maombi yao ni Bien.
Waombaji tupeni mrejesho.
 
habari wapendwa wanajamvi,
naombeni ushauri maana nipo njiapanda pale nilipojikuta nikiwapenda watu wawili kwa wakati mmoja.sijawa na mahusiano rasmi na yeyote kati yao lakini ni marafiki nilionao karibu na wote wananipenda na wameonesha nia ya kuwa na mimi zaidi ya urafiki.i can't decide who to be with.i have strong feelings for them both na i can see myself spending the rest of my life with both of them.hivi is it possible to fall for two people at the same time???nisaidieni jamani maana i am in dilemma na inaniumiza sana.nimeshindwa kuchagua mmoja sababu nawapenda wote sana!
Hebu acha ngonjera zako na kuleta sanaa kwenye nyumba ya sanaa
 
HTML:
habari wapendwa wanajamvi,
naombeni ushauri maana nipo njiapanda pale nilipojikuta nikiwapenda watu wawili kwa wakati mmoja.sijawa na mahusiano rasmi na yeyote kati yao lakini ni marafiki nilionao karibu na wote wananipenda na wameonesha nia ya kuwa na mimi zaidi ya urafiki.i can't decide who to be with.i have strong feelings for them both na i can see myself spending the rest of my life with both of them.hivi is it possible to fall for two people at the same time???nisaidieni jamani maana i am in dilemma na inaniumiza sana.nimeshindwa kuchagua mmoja sababu nawapenda wote sana!

If and only if you think you can handle both, then go ahead, vinginevyo chagua yule atakayekuwa wa kwanza kufanya na wewe mahusiano kama unadhani kipimo chako cha mapenzi juu yao kiko balanced.
 
ss best unauliza swali!! unaomba ushauri au!!! maana mm sielewi

katafute ule wimbo wa Lady Jay dee "usiusemee moyo"

mwenyewe unamajibu moyoni mwako, maana mm ninachojua Mungu hawezi kukuacha njia panda hata siku moja!!

Tunaye msaidizi ambaye ni roho mtakatifu ambaye ni mshauri wa ajabu anaweza kukusaidia lkn si sisi wanadamu wenzio.
 
try them both n in the process you will get to decide who wins the contract, ....i mean go beyond what the eyes can see:tape:
 
habari wapendwa wanajamvi,
naombeni ushauri maana nipo njiapanda pale nilipojikuta nikiwapenda watu wawili kwa wakati mmoja.sijawa na mahusiano rasmi na yeyote kati yao lakini ni marafiki nilionao karibu na wote wananipenda na wameonesha nia ya kuwa na mimi zaidi ya urafiki.i can't decide who to be with.i have strong feelings for them both na i can see myself spending the rest of my life with both of them.hivi is it possible to fall for two people at the same time???nisaidieni jamani maana i am in dilemma na inaniumiza sana.nimeshindwa kuchagua mmoja sababu nawapenda wote sana!

Hamjakulana Tunda? Chukua ambaye ni dhaifu kitandani!
 
habari wapendwa wanajamvi,
naombeni ushauri maana nipo njiapanda pale nilipojikuta nikiwapenda watu wawili kwa wakati mmoja.sijawa na mahusiano rasmi na yeyote kati yao lakini ni marafiki nilionao karibu na wote wananipenda na wameonesha nia ya kuwa na mimi zaidi ya urafiki.i can't decide who to be with.i have strong feelings for them both na i can see myself spending the rest of my life with both of them.hivi is it possible to fall for two people at the same time???nisaidieni jamani maana i am in dilemma na inaniumiza sana.nimeshindwa kuchagua mmoja sababu nawapenda wote sana!


hapo kene red, sasa we mwenyewwe unatuchanganya, sisi tulidhani kua ndo tutarifaa kwoko kua its possible ila wewe tena unatuuliza kama ni possible while umeshasema ua in love nao wote kwa same time.
We sikia bwana, hilo swali la kwene red ni ishara ya kua kuna mmoja unampenda zaidi, sema labda yeye anakosa material influences ukimlinganisha na yule unaempenda kidogo.

Ushauri wa msingi ni kua haya mabo hua hayahitaji doubts.hakikisha unaemchagua kati yao ndie moyo wako unaempenda kwa dhati.
 
habari wapendwa wanajamvi,
naombeni ushauri maana nipo njiapanda pale nilipojikuta nikiwapenda watu wawili kwa wakati mmoja. sijawa na mahusiano rasmi na yeyote kati yao lakini ni marafiki nilionao karibu na wote wananipenda na wameonesha nia ya kuwa na mimi zaidi ya urafiki.i can't decide who to be with.i have strong feelings for them both na i can see myself spending the rest of my life with both of them.hivi is it possible to fall for two people at the same time???nisaidieni jamani maana i am in dilemma na inaniumiza sana.nimeshindwa kuchagua mmoja sababu nawapenda wote sana!

Hapo kwenye red how come you fall in love with them then? Ndio maana unashindwa ku-make decision. B'se ukianza nao uhusiano wa kimapenzi, you will only fall in love with one of them, unless you're looking for a three some.
 
Haiwezekani kupenda watu wawili kwa wakati mmoja na wote ukawapenda sawa kiasi cha kushindwa kuamua. Usiwapotezee muda vijana wa watu na uache sanaa. Penzi la kweli kamwe haligawanyiki.
 
Dah...!

Lakini mbona mtihani mdogo tu unatosha kukuletea wewe majibu sawia...? Fuata maelekezo kama ilivyo hapa chini...!

  1. Mjulishe kila mmoja kwa wakati wake the way you feel to the other one, na ujaribu hata kuongeza chumvi kuwa tayari una mahusiano na mipango ya maisha imeshawekwa....!
Kwa taarifa hiyo, mcheki kila mmoja atakavyoreact, kwa kuobserve kama ifuatavyo;

  1. Yeyote kati yao atakayeonesha kuendelea kuonesha kukutaka basi ujue huyo si mwema kwako, na hivyo ukae mbali naye daima.... Mara nyingi huyu utakuna haumii sana na taarifa ulizompa.....
  2. Lakini yule atakayepokea taarifa hizo kwa masikitiko, lakini kwa kuheshimu, na bila kuvunja urafiki uliokuwepo toka awali basi mimi naamini ndiye anayekufaa...!
  3. Taarifa hii inaweza kumpatia kila mmoja nafasi ya kuwa muwazi kwako na kukueleza kama naye amekuwa occupied...! Hivyo, kukupa some alerts juu ya maamuzi yako....
 
habari wapendwa wanajamvi,
naombeni ushauri maana nipo njiapanda pale nilipojikuta nikiwapenda watu wawili kwa wakati mmoja.sijawa na mahusiano rasmi na yeyote kati yao lakini ni marafiki nilionao karibu na wote wananipenda na wameonesha nia ya kuwa na mimi zaidi ya urafiki.i can't decide who to be with.i have strong feelings for them both na i can see myself spending the rest of my life with both of them.hivi is it possible to fall for two people at the same time???nisaidieni jamani maana i am in dilemma na inaniumiza sana.nimeshindwa kuchagua mmoja sababu nawapenda wote sana!
I am failing to understand you at the same time unasema you cant decide who to be with halafu hapo hapo unasema you see yourself spending the rest of your life with both of them:bored::bored::bored::bored:
 
habari wapendwa wanajamvi,
naombeni ushauri maana nipo njiapanda pale nilipojikuta nikiwapenda watu wawili kwa wakati mmoja.sijawa na mahusiano rasmi na yeyote kati yao lakini ni marafiki nilionao karibu na wote wananipenda na wameonesha nia ya kuwa na mimi zaidi ya urafiki.i can't decide who to be with.i have strong feelings for them both na i can see myself spending the rest of my life with both of them.hivi is it possible to fall for two people at the same time???nisaidieni jamani maana i am in dilemma na inaniumiza sana.nimeshindwa kuchagua mmoja sababu nawapenda wote sana!

Fanya ana ana ana doooooooo..... kajamba........ ushuzi unanuka......... tena sana............. sana kaabisa.............. Wakija wote NJOO KWANGU.........
 
Umewahi kujiuliza ni kwanini unawapenda wote kiasi kwamba huwezi kumchagua mmojawapo kuwa nawe?Ukipata jibu la swali hilo ndio unaweza kuja hapa na kuuliza wana JF wakupe ushauri,maana unaonekana bado unafanya mchezo wa kirafiki na ujana ndani yake.
Na ukiona hujapata jibu basi utalipata jibu baada ya hao wapenzi wako kukuchakachua na natumai utakuja tena hapa kuomba ushauri baada ya kuumizwa.Kuwa makini katika kuishi kwa kuwa na maamuzi yasiyokuwa na chembe ya ubabaishaji na uwe na msimamo wa nini unaamini.
 
Mtoto mzuri katika hao wawili yupo unayempenda zaidi
Hebu kaa tafakari na amua
 
Crystal,

Wewe ni mwanaume au mwanamke?

Kama ni mume basi tamaduni za kijadi za kiafrika au waislamu wana"RUKSA" ya kuoa zaidi ya mke mmoja.

Kama ni mke, itakupasa uhamie India huko mke pia "RUKSA" kuolewa na waume wawili.

Option ya pili kama ni mke, ni mtindo wa Kibongo wa wanaume kuwa na mke na nyumba ndogo. Itakupasa ugeuze kibao tu. Uolewe na mmoja na mwengine ni "Nyumba ndogo"....hili at your own risk!

Kama lengo ni kubaki na mmoja tu kati ya hao wawili.Kama ni kuolewa na maisha bila hela kuwa kichochea, wajaribu...atakaekubamiza vizuri..umpatie tenda.
 
Back
Top Bottom