Imported Noah & Verossa,please help on price!!!!!

Imported Noah & Verossa,please help on price!!!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
946
Natanguliza shukrani na nnatambua uwepo wenu hapa ndani,na ni matumaini yangu kwamba mtanisaidia.
Napenda kujua bei ya hizi gari(imported price)siyo zilizopigwa vumbi la barabara za bongo.
1.Noah old model 4WD(1997-2000)
2.Verossa.

Sitaki za mikononi,nataka ambazo zimeingia(imported)becouse nataka kuzifanyia biashara(kuziuza)pia.
 
Verosa usd 3500 c&f to Dar es salaam na Noah usd 2900 c&f pia.. Ushuru Verosa ni mil 5.4 ushuru tuu na Noah ni mil 4 ushuru tuu.. Wewe sasa kazi ni kwako tuu mkuuu...
 
Natanguliza shukrani na nnatambua uwepo wenu hapa ndani,na ni matumaini yangu kwamba mtanisaidia.
Napenda kujua bei ya hizi gari(imported price)siyo zilizopigwa vumbi la barabara za bongo.
1.Noah old model 4WD(1997-2000)
2.Verossa.

Sitaki za mikononi,nataka ambazo zimeingia(imported)becouse nataka kuzifanyia biashara(kuziuza)pia.

Hii hapa ya 2002, 5.28M, CIF Dar.
2002verossa.jpg
Ukijumlisha na kodi haizidi 12M!
 
Verosa usd 3500 c&f to Dar es salaam na Noah usd 2900 c&f pia.. Ushuru Verosa ni mil 5.4 ushuru tuu na Noah ni mil 4 ushuru tuu.. Wewe sasa kazi ni kwako tuu mkuuu...

Mkuu hapo kwenye ushuru ndio bado pananitatiza,maana kuna jamaa kaniambia kwamba ushuru Noah ni 7-8m na verossa ni 6m!!
Ebu nifafanulie zaidi,au kama kuna show rooms hapa Dar zenye hayo magari kwa bei nzuri.
My offer is around below:
Verossa nyeusi(purple) 14,000,000tsh.
Noah old model 4wd 10,000,000tsh.
 
Wa ndugu nimepata gari hapa hapa bongo verossa kwa bei poa na tayari nimeshaipeleka kwa aliyekua ameniagiza.
 
mkuu hapo kwenye ushuru ndio bado pananitatiza,maana kuna jamaa kaniambia kwamba ushuru noah ni 7-8m na verossa ni 6m!!
Ebu nifafanulie zaidi,au kama kuna show rooms hapa dar zenye hayo magari kwa bei nzuri.
My offer is around below:
Verossa nyeusi(purple) 14,000,000tsh.
Noah old model 4wd 10,000,000tsh.

kwa iyo offa yako unapata hizo gari kutoka japan moja kwa moja!! Unaifata mwenyewe getini process zote zikiisha
 
Back
Top Bottom