Immo ring (Pete ya bahati)

Yan kweli watu wsnatafuta bahati na mvuto. Ni kitu kibaya sana mana wengine wanadhuru watu wengine kwa sababu hiyo. Wapo ambao huenda kqa waganga ili kupata bahati wanapewa hizo pete hasa kutoka kqa waganga wanaotumia majini. Halafu wapo ambao wakikuhisi wewe una bahati wanakuendea kwa mganga ili bahati uliyonayo àambayo umezaliwa nayo waipate wao. Hii wanaita nyota kwahiyo unakuta mtu anakwenda kqa mganga ili unyang'anywe nyota yako apewe yeye. Usiombe uwe na bahati mbaya ya mtu kukuendea kwa mganga ili achukue nyota yako omba mungu isitokee maana nyota yako ikichukuliwa utateseka maisha yako yote kama hukustukia na kujikita kqa mungu. Kimsingi wanapochukua nyota wanakuacha na mikosi ya ajabu. Wanapochukua nyota yako mara nyingi huchukua na nafsi yako so wewe unabaki kuwa sio yule ambaye watu walikufahamu. Haya mambo yapo na Ni magumu unatakiwa kugundua kuwa kuna kitu umefanyiwa ili uanze kuhangaika kqa mungu urudi kama kawaida ila usipostukia basi ndo imetoka. Kuna watu wengi sana wanafanikisha mambo yao kwa kutumia nyota za watu wengine huku hao walionyanganywa nyota wakibaki katika mahangaiko makubwa. Kwakweli inaudhi sana. Mimi yamenikuta Haya mambo na yamenitesa sana. Nimejionea mwenyewe na kuna mtu alichukua nyota yangu nikaja kugundua. Mambo yake yalibadilika ghafla na mimi nikabaki na mikosi ya ajabu.huwa sitaki hata kumuona. Na akiniona ananiogopa vibaya sana. Hawa watu hawataweza kuja kuuona ufalme wa mungu hata siku moja. Biblia imeandika hivyo. Ole wao wanaosababisha mateso kqa watu wengine.
Upo ndugu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni pete ambazo ameifadhiwa JINI wa mafanikio ( na kweli mafanikio utayaona) ila kwa akili za wengi wamepotezwa kwa kuaminishwa kuwa hio ni pete ya bahati ila si kweli ( japo zipo pete za bahati lakini nguvu yake si kubwa na si ya haraka )
Nielekeze jinsi yakuzipata nifanyej
 
Yes anayo anavaa. Nayo rangi ileile ya bahari. Unasema hana bahati. Hukuona alivoweza kuvuta mioyo ya watu kwenye kampeni? Alikua akitia timu sehemu watu wanadata. Sema dola haikutaka kumuachia nchi
Pia RICHMOND wahasimu wake wamebakia kutoa mapovu kwenye majukwaa lakini kumpeleka mahakamani wanaogopa,nayo pia ni bahati.
 
Mimi hata sizijui hizo Pete.

Ndio kwanza nasikia kutoka kwako
 
Yan kweli watu wsnatafuta bahati na mvuto. Ni kitu kibaya sana mana wengine wanadhuru watu wengine kwa sababu hiyo. Wapo ambao huenda kqa waganga ili kupata bahati wanapewa hizo pete hasa kutoka kqa waganga wanaotumia majini. Halafu wapo ambao wakikuhisi wewe una bahati wanakuendea kwa mganga ili bahati uliyonayo àambayo umezaliwa nayo waipate wao. Hii wanaita nyota kwahiyo unakuta mtu anakwenda kqa mganga ili unyang'anywe nyota yako apewe yeye. Usiombe uwe na bahati mbaya ya mtu kukuendea kwa mganga ili achukue nyota yako omba mungu isitokee maana nyota yako ikichukuliwa utateseka maisha yako yote kama hukustukia na kujikita kqa mungu. Kimsingi wanapochukua nyota wanakuacha na mikosi ya ajabu. Wanapochukua nyota yako mara nyingi huchukua na nafsi yako so wewe unabaki kuwa sio yule ambaye watu walikufahamu. Haya mambo yapo na Ni magumu unatakiwa kugundua kuwa kuna kitu umefanyiwa ili uanze kuhangaika kqa mungu urudi kama kawaida ila usipostukia basi ndo imetoka. Kuna watu wengi sana wanafanikisha mambo yao kwa kutumia nyota za watu wengine huku hao walionyanganywa nyota wakibaki katika mahangaiko makubwa. Kwakweli inaudhi sana. Mimi yamenikuta Haya mambo na yamenitesa sana. Nimejionea mwenyewe na kuna mtu alichukua nyota yangu nikaja kugundua. Mambo yake yalibadilika ghafla na mimi nikabaki na mikosi ya ajabu.huwa sitaki hata kumuona. Na akiniona ananiogopa vibaya sana. Hawa watu hawataweza kuja kuuona ufalme wa mungu hata siku moja. Biblia imeandika hivyo. Ole wao wanaosababisha mateso kqa watu wengine.
ndugu kwa wasioelewa ulichokiandika ni tabu ila na mimi yalinikuta tena ndugu kabisa ndo alinifanyizia na ukitegua ujinga wao huwa wanakuogopa mno na kujistukia stukia inaudhi mno
 
Back
Top Bottom