Waulize wsfuatao wanazivaa: Ali kiba, diamond, lowassa, etcWadau mwenye uelewa kuhusu immo ring(au pete za mammlaka/bahati) naomba anielekeze.
1. Faida
2.Hasara
Karibuni.
. Mara nyingi huwa na rangi ya bahari. Sijui kwaninizinatolewa wapi?
sio ushirikina?
au viongozi wa dini wana ruhusu haya pia?
Duuu...hivi EL naye anatumia hizi vitu? Mbona kama hana bahati kiongozi yule?Waulize wsfuatao wanazivaa: Ali kiba, diamond, lowassa, etc
"Kwnza Mkuu nikusahihishe hatuna pete za bahati, kama unavojua! but kuna pete ambazo ndani kuna jini linalofanya wewe uhisi unabahati tangu uivae kumbe kila jambo ulilolifanya lina sababu yake hadi ukapata tokeo zuri na kuliita kuwa ni bahati no. ila hasara zake hilo jini la kwenye pete haliwezi kukuacha na ukilizingua litakutesa sanaaaaa mpaka ufurahi"Wadau mwenye uelewa kuhusu immo ring(au pete za mammlaka/bahati) naomba anielekeze.
1. Faida
2.Hasara
Karibuni.
Yes anayo anavaa. Nayo rangi ileile ya bahari. Unasema hana bahati. Hukuona alivoweza kuvuta mioyo ya watu kwenye kampeni? Alikua akitia timu sehemu watu wanadata. Sema dola haikutaka kumuachia nchiDuuu...hivi EL naye anatumia hizi vitu? Mbona kama hana bahati kiongozi yule?
Yan kweli watu wsnatafuta bahati na mvuto. Ni kitu kibaya sana mana wengine wanadhuru watu wengine kwa sababu hiyo. Wapo ambao huenda kqa waganga ili kupata bahati wanapewa hizo pete hasa kutoka kqa waganga wanaotumia majini. Halafu wapo ambao wakikuhisi wewe una bahati wanakuendea kwa mganga ili bahati uliyonayo àambayo umezaliwa nayo waipate wao. Hii wanaita nyota kwahiyo unakuta mtu anakwenda kqa mganga ili unyang'anywe nyota yako apewe yeye. Usiombe uwe na bahati mbaya ya mtu kukuendea kwa mganga ili achukue nyota yako omba mungu isitokee maana nyota yako ikichukuliwa utateseka maisha yako yote kama hukustukia na kujikita kqa mungu. Kimsingi wanapochukua nyota wanakuacha na mikosi ya ajabu. Wanapochukua nyota yako mara nyingi huchukua na nafsi yako so wewe unabaki kuwa sio yule ambaye watu walikufahamu. Haya mambo yapo na Ni magumu unatakiwa kugundua kuwa kuna kitu umefanyiwa ili uanze kuhangaika kqa mungu urudi kama kawaida ila usipostukia basi ndo imetoka. Kuna watu wengi sana wanafanikisha mambo yao kwa kutumia nyota za watu wengine huku hao walionyanganywa nyota wakibaki katika mahangaiko makubwa. Kwakweli inaudhi sana. Mimi yamenikuta Haya mambo na yamenitesa sana. Nimejionea mwenyewe na kuna mtu alichukua nyota yangu nikaja kugundua. Mambo yake yalibadilika ghafla na mimi nikabaki na mikosi ya ajabu.huwa sitaki hata kumuona. Na akiniona ananiogopa vibaya sana. Hawa watu hawataweza kuja kuuona ufalme wa mungu hata siku moja. Biblia imeandika hivyo. Ole wao wanaosababisha mateso kqa watu wengine.Ama kweli maisha ya sasa ni magumu, hadi watu wanaanza kutafuta bahati badala ya bahati iwatafute wao.
Hali ngumu MkuuAma kweli maisha ya sasa ni magumu, hadi watu wanaanza kutafuta bahati badala ya bahati iwatafute wao.
Nimeamini, nimekuwa nikishuhudia vijana wanaelemewa na maisha na wanaamua kujiua kwa sababu ya ugumu wa maisha. Ina maana hata hao wazee wetu hawakupitia magumu katika maisha yao?Hali ngumu Mkuu
. Mara nyingi huwa na rangi ya bahari. Sijui kwanini
Mkuu leo kuna mtu ka-hack account yako nini??? ....angalia kqa=kwaYan kweli watu wsnatafuta bahati na mvuto. Ni kitu kibaya sana mana wengine wanadhuru watu wengine kwa sababu hiyo. Wapo ambao huenda kqa waganga ili kupata bahati wanapewa hizo pete hasa kutoka kqa waganga wanaotumia majini. Halafu wapo ambao wakikuhisi wewe una bahati wanakuendea kwa mganga ili bahati uliyonayo àambayo umezaliwa nayo waipate wao. Hii wanaita nyota kwahiyo unakuta mtu anakwenda kqa mganga ili unyang'anywe nyota yako apewe yeye. Usiombe uwe na bahati mbaya ya mtu kukuendea kwa mganga ili achukue nyota yako omba mungu isitokee maana nyota yako ikichukuliwa utateseka maisha yako yote kama hukustukia na kujikita kqa mungu. Kimsingi wanapochukua nyota wanakuacha na mikosi ya ajabu. Wanapochukua nyota yako mara nyingi huchukua na nafsi yako so wewe unabaki kuwa sio yule ambaye watu walikufahamu. Haya mambo yapo na Ni magumu unatakiwa kugundua kuwa kuna kitu umefanyiwa ili uanze kuhangaika kqa mungu urudi kama kawaida ila usipostukia basi ndo imetoka. Kuna watu wengi sana wanafanikisha mambo yao kwa kutumia nyota za watu wengine huku hao walionyanganywa nyota wakibaki katika mahangaiko makubwa. Kwakweli inaudhi sana. Mimi yamenikuta Haya mambo na yamenitesa sana. Nimejionea mwenyewe na kuna mtu alichukua nyota yangu nikaja kugundua. Mambo yake yalibadilika ghafla na mimi nikabaki na mikosi ya ajabu.huwa sitaki hata kumuona. Na akiniona ananiogopa vibaya sana. Hawa watu hawataweza kuja kuuona ufalme wa mungu hata siku moja. Biblia imeandika hivyo. Ole wao wanaosababisha mateso kqa watu wengine.
infact haina hasara, ila uwe muumini wa kufuata mambo ya nyota, coz kila nyota ina rangi zake, siku zake na namba zake, ni suala la imani tu lakini ktk dini hawaruhusu mambo hayoMama embu nipe faida zake na hasara