Imetokea loliondo

Let us see what we have here at JF:

 
Nyie wote humu ndani naona akili zenu ziko chini ya viwango. Hivi kweli mnabishana na mtu tapeli kama babu? Leo mna maumivu wakati tumeshapoteza watu wengi na bado wanatoka kwa babu wanakufa? Wote mnaopiga kelele hakuna aliyeona suluba iliyoko huko, ebu imagine unaishi sehemu zaidi ya siku tano sehemu isiyo na choo??? unaishi kwa mkate na vitu vikavu?

Fungeni vinywa vyenu kila mtu kwa wakati wake amuombe mungu wake. Babu yuko kibishara zaidi.
 
And then we have this:

Mti anaoutumia Babu wa Loliondo unaitwa Carissa edulis na umekuwa published na baadhi ya scientists wa Kikenya March 2006 (Journal of Ethnopharmacology, Volume 104, Issues 1-2, 8 March 2006, Pages 92-99).
 
Nasikitika sana..........Serikali imechelewa kutoa tamko kama hili mapema...........
 
Sample size, methodology iliyotumika na imefanyiwa utafiti lini? Inatakiwa matokeo ya dawa hiyo yawe published kwenye recognised journal ili yakubalike.

Let us wait and see. Matumaini ya Wanadamu sasa yanasikilizia yanayoendelea Loliondo. I am sure 6 months down the line ukweli utakuwa umejulikana. Its not a long time to wait . . . .
 
Nafikiri ukiongeza sample itakua vizuri zaidi. mimi namjua mtu alikua na HIV na alikua anavalishwa nepi na kuanikwa nje, baada ya kikombe tupo naye B. Bar Daily
 

Shida iliyopo hawa wote wanachukuliwa kama Waganga wa Jadi na so far hakuna sheria yoyote inayowabana. As long as hawawalazimishi watu kwenda huko bali wanaenda wenyewe, Serikali ni vigumu kufanya kitu.

Wapo pia wanaodai wanaponya magonjwa kiimani kama Vipofu, Viziwi nk na makanisa yao yamejaa tu watu wakiamini hivyo. lakini hadi leo hakuna aliyewauliza ushahidi wa kisayansi au Serikali kuingilia kati.
 
Well done Jackbauer! Matokeo yako yanaonyesha before and after the treatment.

Ongezea sample size na hapo utaweza kujua statistically kama kuna improvement yo yote au la.

kwa kufanya utafiti ndio tunaweza kujua ukweli
 
1. Kisukari - 100% ACTIVE
2. Saratani - 100% ACTIVE
3. Vidonda vya Tumbo - 100% ACTIVE
4. Ukimwi - 99% ACTIVE
Hakuna dawa isiyokuwa na side effects, kinachogomba ni kuzidiana kwa hizo effects!
Binafsi naipongeza taasisi hii iliyofanya utafiti huu wa awali, angalau wameonyesha japo kwa dim-light kwamba dawa ya babu inatibu kwa percentage hizo !

Kwanini hiyo hatimiliki isitolewa kwa jina la babu kama hatua ya awali, ili serikali iwe huru kutoa taarifa ya utafiti kwa jamii?...au kuna shida ya maslahi?
 

Duh! Kamanda umenifurahisha kidogo. Here are some facts to digest:

1. Unayohabari Zanzibar bado wanatumia Chloroquine? Why?
2. Waendelee kupata matibabu? Ni yapi yanayoponyesha Saratani? Kisukari; Ukimwi nk? Kama ni hivyo kuna tiba, kwa nini watu wangeenda kwa babu.
3. Hakuna nayelazimisha kitu hapa, ila unapoambiwa haya ni matokeo ya utafiti wa awali wa maabara unataka uambiwe vipi? Of course labda utakapoona published journal.
4. Literature reading ya awali inaonyesha kuwa Species ya mmea anaotumia Babu unao pia uwezo wa tiba. Where do we stand on this?

Let us wait for time. I hope time will tell.
 

Kamanda PJ habari za siku Mkuu . . .

Mkuu kuna kitu ambacho Dr. (source yangu) aliniambia kinaitwa "Patent" au ni nani mwenye haki ya umiliki kuwa ni owner wa hiyo dawa.

Katika hili Serikali inalazimika kufanya consultation na Babu kwa kuwa yeye ndiyo amewapa sample. Na bila ya shaka inabidi babu ashirikishwe katika kuweka wazi matokeo yao.

Wenye akili tayari wanajua kinachoendelea:

1. Top Brass ya serikali imeshapata Kikombe
2. Miundombinu inajengwa
3. Mahema yanapelekwa, nk.

I am of opinion kwamba hivyo ni viashirio kuwa dawa hii ina matumaini fulani from the Government point of view. lakini ngoja tusubiri.

Jambo jingine, nahisi kunaweza kuwa na mgongano mkubwa saana wa Kimaslahi. Sasa hatujui pia "Maagizo" ya Mungu kwa Babu yalikuwaje kama hili litafika . . .
 
Imani muhimu sana. Kuna watu wanaenda kunywa kombe la babu kama majaribio na wengine wanakunywa kwa imani kwamba watapona. Kwa hiyo mimi sishangai kusikia wengine hawaponi. Mbona Lyatonga Mrema ametudhihirishia kwamba amepata nafuu kubwa sana na hata ukimtazama usoni utaona kuwa ame-improve. Jamani si mnakumbuka mzee wa kiraracha alivyokuwa anatisha usoni??
 
kwa kufanya utafiti ndio tunaweza kujua ukweli

Nchi yetu inaendeshwa sana kwa mambo ya Imani, nakumbuka kuna kipindi utabiri wa Sheikh Yahya ulisimamiwa kidedea na serikali! Duh! Hadi sasa hao watafiti waliotumwa toka Wizara ya Afya wanafanya nini? Au wanaendelea kukamua PER DIEM zao? Vitu vingine ni suala la kufanya utafiti wa mwanzo: Results before dawa ya babu and results afterr dawa ya babu - at different time intervals. 50 people, 100, 150, 200, 250 etc. Wameshindwa kutoa majibu ya mwanzo ambayo nis simple? Kama ni suala la consent ni research ngapi nimefanya kiasi kwamba consent SI TATIZO!!!! Kadiri serikali inavyochelewa kutoa tamko ndivyo watanzania wanavyozidi kuwa masikini - wengine wanaongeza madeni, wengine wanauza vitu vyao vya thamani, wengine watashindwa kulipa ada za shule n., n.k, n.k. Serikali itakuja kuwa na discipline pale ambapo mzee atakapogundulika kuwa ana MANIA. Duh!
 
hayo ndo yalitokea Loliondo hivi karibuni.
 

Attachments

  • babu.jpg
    32.8 KB · Views: 143
Sasa bwana superman,lini watatoa press conference? Maana hapa hatuwezi kua na uhakika.
 

jamani dawa yoyote ili ifanye kazi ni lazima ikubaliane na mwili. Na mwili unarabatiwa na ubongo ambao ndio injini ya fikra na imani. Kwa hiyo ubishi wa imani vs tiba ni kukosa intellectual balance katika malumbano. Tukumbuke kwamba natural law of physics: Nature abhors vaccum! Kwa hiyo modern medicine imeshindikana kuaminika na wagonjwa wa magonjwa sugu hivyo alternative medicine inajaza hilo vaccum. Kwa hiyo makinzano hapa ni kati ya watu binafsi na taasisi zao kwa sababu tu ya vested interests!
 
Nadhani hii sasa ni too much manipulation ya ict! Nadhani itapelekea jammii forum kupoteza integrity yake. Wanajamii, let us post real and authentic issues
 

27th March 2011 06:47 PM babu.jpg
 
Nadhani hii sasa ni too much manipulation ya ict! Nadhani itapelekea jammii forum kupoteza integrity yake. Wanajamii, let us post real and authentic issues

I second you!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…