sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Mkuu laiti kama ugekuwa unamjua huyu mwanamke shetani usigeandika hivyo, mwanamke amezisha matimbwili ndani ya nyumba lengo lake kuu wagawane akanzishe mirandi atakayoisimamiya yeye.
mkuu katika dunia hii ya sasa kama bado hujaoa tumia akili sana, kuna wanawake wenye akili kama za huyu wanaotafuta mwanya wakutokea kimaisha tu, kwa dhana yakuolewa.
mali ya dhuluma inakuwaga na mwisho mbaya.....kama ni kweli alifanya hivyo ili apate mtaji basi Mungu yupo na malipo ni hapahapa duniani......