Imeniuma sana hii kitu

Imeniuma sana hii kitu

Kwa kweli alichokuwa anafikilia siwezi kujua ila you sound very immature. Umbea tu ndo maana ofisini kazi haziendi.

Hapana karucee hizo ni kashifa, kitu kingine nishaona utoto ndo unakusumbua kua uyaone mdogo wangu.
 
kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka moja sasa, kuna jamaa wake wa kipindi cha nyuma ambaye walikua naye kwenye mahusiano ana mdogo wake tunafanya nae kazi ofsi moja sasa siku moja katika kupiga story na yule jamaa yaani mdogo wake na x boyfriend wa mchumba wangu akanivujishi inshu kua et kaka yake kipindi bado ana relation na huyu G friend wangu waliwah ku abotion!!!!
jaman hiyo inshu imeniuma sana mpaka sasa nashindwa nn cha kumfany maana niliwah kumuliza mapema sana kama ana mtoto au aliwahi kutoa mimba lakini akanikatali katakata, jaman waungwana huyu ananifaa kwel?

maneno ya kuambiwa changanya na yako.
 
Uongo n mbaya sana watu hawajui tu..kama uliwah muuliza akakana na hakutaka kujua mdokeze tena mwambie una habar zake umeskia aliwah abort uone atakavyojibu halafu ujaribu kufanya research yako mwenyewe uthibitishe hicho ulichoambiwa... Ataficha hadi lini
 
Uongo n mbaya sana watu hawajui tu..kama uliwah muuliza akakana na hakutaka kujua mdokeze tena mwambie una habar zake umeskia aliwah abort uone atakavyojibu halafu ujaribu kufanya research yako mwenyewe uthibitishe hicho ulichoambiwa... Ataficha hadi lini
kuna watu ukiwaambia ukweli unaharibu kila kitu....
 
Kweli kaka angu jaman kweli mwizi waeza mkamata na kitu alichoiba na akakana kua yeye sio mwizi/kaiba na wakati huo uzibitisho upo kua kaiba,kweli ulitegemea atakuambia kua kachoropoa mimba? but kaa nae muulize vizuri kiustaarabu then akikubali muulize kwanini aliitoa coz you never know labda there was a problem that's she decided to abort it,if its true!
 
Nakushukuru....

Hata angekuwa amemuoa, it's none of his business, that is the past and it's what makes her who she's today, the girl that he 'loves' may be she's regretting of what happened and she managed to move on. She's learned her lessons. Does he have a clean record himself au kwa sababu wanaume hatubebi mimba?
Asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kurusha jiwe.
 
Badilisha hiyo akili kijana, kila moja ana past na haikuhusu kwakweli, kama ali abort na she made peace with it who are you kuanza kumuingilia mwenziyo hivyo?

Tafadhal kabla hujareply huwe unasoma thred adi mwisho na uhakikishe unaelewa ndo ujibu kulingana na uzi.
 
Mbona unaamini watu wa pembeni kuliko kipenzi chako? Unajuaje kuwa hayo unayoambiwa ni kweli? Labda mtu anataka muachane.

kama bmpingo uliruka hapa basi hii ndiyo point we unaamini vp wakati huyo ni mdogo wa x wake labda anataka kumrudia ila analazimisha muachane apate nafasi....!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kweli kaka angu jaman kweli mwizi waeza mkamata na kitu alichoiba na akakana kua yeye sio mwizi/kaiba na wakati huo uzibitisho upo kua kaiba,kweli ulitegemea atakuambia kua kachoropoa mimba? but kaa nae muulize vizuri kiustaarabu then akikubali muulize kwanini aliitoa coz you never know labda there was a problem that's she decided to abort it,if its true!

ahsante sana mama Fb nitafany hivyo
 
Kweli kaka angu jaman kweli mwizi waeza mkamata na kitu alichoiba na akakana kua yeye sio mwizi/kaiba na wakati huo uzibitisho upo kua kaiba,kweli ulitegemea atakuambia kua kachoropoa mimba? but kaa nae muulize vizuri kiustaarabu then akikubali muulize kwanini aliitoa coz you never know labda there was a problem that's she decided to abort it,if its true!

ahsante sana nitafanya hivyo
 
bora kujua kuliko kuto kujua, umepata mwanga, dhambi ya kuua ni mbaya sana! wewe m-bane sana, akikubali kukiri tupa kule
 
kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka moja sasa, kuna jamaa wake wa kipindi cha nyuma ambaye walikua naye kwenye mahusiano ana mdogo wake tunafanya nae kazi ofsi moja sasa siku moja katika kupiga story na yule jamaa yaani mdogo wake na x boyfriend wa mchumba wangu akanivujishi inshu kua et kaka yake kipindi bado ana relation na huyu G friend wangu waliwah ku abotion!!!!
jaman hiyo inshu imeniuma sana mpaka sasa nashindwa nn cha kumfany maana niliwah kumuliza mapema sana kama ana mtoto au aliwahi kutoa mimba lakini akanikatali katakata, jaman waungwana huyu ananifaa kwel?

Unapoanza mahusiano na msichana ukafikia mpaka hatua ya kuwaza kumuoa hautakiwi kutafuta historia yake. Unatakiwa umpime tabia aliyonayo kwa wakati ulionaye. Huwezi acha mchumba eti kwa sababu aliwahi kutoa mimba, kwenye ujana tunapitia mapito mengi ambayo kama kama yangeangaliwa na sisi hata wa kuwaoa tusingepata. Inamaana ungemuoa halafu baadae ukasikia aliwahi pigwa mande ya watu nane ungemuacha??? Hakuna msichana utakayempata ambaye atakupa historia yake ya ukweli kwenye mambo ambayo yalikuwa ya aibu, utajua mazuri tu. Ukishaoa utasikia mengi sana na hautakiwi kuchunguza vitu vya zamani. Oa tu huyo, hana problem bana. Kuna jingine???
 
kama bmpingo uliruka hapa basi hii ndiyo point we unaamini vp wakati huyo ni mdogo wa x wake labda anataka kumrudia ila analazimisha muachane apate nafasi....!!!!

Poa mkuu ni ushauri pia ntaufanyia kazi
 
Last edited by a moderator:
kama bmpingo uliruka hapa basi hii ndiyo point we unaamini vp wakati huyo ni mdogo wa x wake labda anataka kumrudia ila analazimisha muachane apate nafasi....!!!!

Poa mkuu ni ushauri pia ntaufanyia kazi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom