Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Huyu Binti kaniomba msaada, Naomba wana JF mumsaidie:
Huyu jamaa anaishi Oman ana mke na watoto wawili. anataka kunioa niwe mkewe wa pili (Mitala) na nikaishi naye huko.
Baba kaniambia niamue mwenyewe, na hivyo nimeikataa hiyo posa, lakini huyu kaka yangu mkubwa kanishupalia niolewe, kisa kaahidiwa kutafutiwa kazi Uarabuni.
mimi nimekataa kabisaa, na sasa hapa nyumbani kuna vuta nikuvute kuna wanaosema niolewe kuna wanaopinga, kwani mie nataka mwakani niendelee na masomo.
Eti Mzee Mtambuzi nisaidie nifanyeje?
Huyu jamaa anaishi Oman ana mke na watoto wawili. anataka kunioa niwe mkewe wa pili (Mitala) na nikaishi naye huko.
Baba kaniambia niamue mwenyewe, na hivyo nimeikataa hiyo posa, lakini huyu kaka yangu mkubwa kanishupalia niolewe, kisa kaahidiwa kutafutiwa kazi Uarabuni.
mimi nimekataa kabisaa, na sasa hapa nyumbani kuna vuta nikuvute kuna wanaosema niolewe kuna wanaopinga, kwani mie nataka mwakani niendelee na masomo.
Eti Mzee Mtambuzi nisaidie nifanyeje?