BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
apige shule, wanaume wapo wa kila aina, atapata ambaye hajaoa,ya nini binti mbichi kujiingiza kwenye karaha za mitala?
Na amwambie kaka yake na ndugu zake yeye sio bidhaa, kaka mtu agangamale mwanaume atafte kazi, c kutaka kumuuza dadake, akikosa cha kuuza david cameroon si atahusika?
Na amwambie kaka yake na ndugu zake yeye sio bidhaa, kaka mtu agangamale mwanaume atafte kazi, c kutaka kumuuza dadake, akikosa cha kuuza david cameroon si atahusika?