Imeletwa Posa!

apige shule, wanaume wapo wa kila aina, atapata ambaye hajaoa,ya nini binti mbichi kujiingiza kwenye karaha za mitala?

Na amwambie kaka yake na ndugu zake yeye sio bidhaa, kaka mtu agangamale mwanaume atafte kazi, c kutaka kumuuza dadake, akikosa cha kuuza david cameroon si atahusika?
 
Huyu Binti kaniomba msaada, Naomba wana JF mumsaidie:

Huyu jamaa anaishi Oman ana mke na watoto wawili. anataka kunioa niwe mkewe wa pili (Mitala) na nikaishi naye huko.
Baba kaniambia niamue mwenyewe, na hivyo nimeikataa hiyo posa, lakini huyu kaka yangu mkubwa kanishupalia niolewe, kisa kaahidiwa kutafutiwa kazi Uarabuni.
mimi nimekataa kabisaa, na sasa hapa nyumbani kuna vuta nikuvute kuna wanaosema niolewe kuna wanaopinga, kwani mie nataka mwakani niendelee na masomo.

Eti Mzee Mtambuzi nisaidie nifanyeje?

Sioni kwa nini wengine washupalie mwingine kuoa ama kuolewa.
 
Huyu Binti kaniomba msaada, Naomba wana JF mumsaidie:

Huyu jamaa anaishi Oman ana mke na watoto wawili. anataka kunioa niwe mkewe wa pili (Mitala) na nikaishi naye huko.
Baba kaniambia niamue mwenyewe, na hivyo nimeikataa hiyo posa, lakini huyu kaka yangu mkubwa kanishupalia niolewe, kisa kaahidiwa kutafutiwa kazi Uarabuni.
mimi nimekataa kabisaa, na sasa hapa nyumbani kuna vuta nikuvute kuna wanaosema niolewe kuna wanaopinga, kwani mie nataka mwakani niendelee na masomo.

Eti Mzee Mtambuzi nisaidie nifanyeje?

Follow your heart. Kama hutaki basi endelea na msimamo wako na asikulazimishe. Kama huyo kaka amekushupalia, basi mwambie aende akaolewe yeye huko Oman
 
Kuolewa na mtu, kisa ameletwa na baba, ni tajiri fulani, ni mtu wa Dubai, kamwe ndoa haidumu, mwanamke anapaswa ampende yeye mwenyewe kutoka ktk nafsi yake bila kushurutishwa na mtu, Ukewenza wahitaji subra dear, tena ujifunge hasa, lakini ya nini yote hayo???? Ungali bint mdogo, soma mdogo wangu ukiwa na kazi yako na elimu yako hata huko ulaya utaenda na mtu umpendaye bila kushurutishwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom