Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,683
- 22,269
Hii imekaaje kwa Serikali kutumia pesa za umma kukarabati viwanja ambavyo CCM ilishirikiana na serikali kupora viwanja vya umma ambavyo ni wazi CCM wameshindwa kuvitunza na sasa CCM inataka kutumia pesa za umma kuvikarabati, haiingii akilini CCM ambayo kila mwezi inachukua mabilioni ya pesa za umma baada ya kujipa ushindi wa viti vyote vya wabunge na madiwani kutuambia haina uwezo kuvikarabati.
Hii haikubaliki ni hujuma.
Hii haikubaliki ni hujuma.