Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Kama issue ni mfumo ndio chanzo cha Ufisadi wadhani EL akiingia yeye au akimuweka mfuasi wake basi wataufuta huo mfumo uliopo au ndo watataka nao kwa wakati wao kwa kutumia mwamvuli wa mfumo mbovu basi wajimalizie vilivyobaki ikiwa ni pamoja na kurudisha gharama zao walizotumia kujieka kitini?