Imedhihilika ccm ndio mabigwa wa udini

Imedhihilika ccm ndio mabigwa wa udini

Mutwale

Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
67
Reaction score
19
Wanajanvi mtakumbuka wakati wa kampeni za mwaka 2010 na baada bwana wakati akikihutubia taifa alitangaza kuwepo kwa udini. Ijapokuwa hakuta ni akina nani wanaeneza udini, lakini wapambe wake alisema na kutamka wazi wazi kwamba CDM walikuwa na siasa za udini!

Lililojitokeza Zanzibar, ambapo wanauamusho ambao ni wana CCM na ndugu Zao wamechoma nyumba za ibada/makanisa kwa sababu ambazo hazijulikani! Sasa imeonyesha wazi ni akina nani wabaguzi na ni akina nani wadini!

Haya yaliyotokea Zanzubar ni sawa na ule usemao kuti la mazoea umwangusha mgema au Mchelea mwana kulia ulia mwenyewe!
 
Ubaguzi wa namna hii ni sawa na kula nyama ya mtu!
 
Wenyeakili toka zamani tulijua kua mtu asipotimiza ahadi na matarajio ya wapiga kura wake atatafuta sababu za kijinga kulinda na kuhalalisha uongozi wake, coz wangetimiza ahadi huna haja ya umbea utazungumzia ulichofanya.Aliesema ni chagua la Mungu ni ccm, Unakumbuka Igunga na Matamko ya viongozi wa Dini,
 
Wanajanvi mtakumbuka wakati wa kampeni za mwaka 2010 na baada bwana wakati akikihutubia taifa alitangaza kuwepo kwa udini. Ijapokuwa hakuta ni akina nani wanaeneza udini, lakini wapambe wake alisema na kutamka wazi wazi kwamba CDM walikuwa na siasa za udini!

Lililojitokeza Zanzibar, ambapo wanauamusho ambao ni wana CCM na ndugu Zao wamechoma nyumba za ibada/makanisa kwa sababu ambazo hazijulikani! Sasa
Nani kasema uamsho au wazanzibar wote CCM? Kuna vyama vina Udini na yote yanaibika wakati wa uchaguzi
 
Wanajanvi mtakumbuka wakati wa kampeni za mwaka 2010 na baada bwana wakati akikihutubia taifa alitangaza kuwepo kwa udini. Ijapokuwa hakuta ni akina nani wanaeneza udini, lakini wapambe wake alisema na kutamka wazi wazi kwamba CDM walikuwa na siasa za udini!

Lililojitokeza Zanzibar, ambapo wanauamusho ambao ni wana CCM na ndugu Zao wamechoma nyumba za ibada/makanisa kwa sababu ambazo hazijulikani! Sasa imeonyesha wazi ni akina nani wabaguzi na ni akina nani wadini!

Haya yaliyotokea Zanzubar ni sawa na ule usemao kuti la mazoea umwangusha mgema au Mchelea mwana kulia ulia mwenyewe!
wana uamsho wametamka wazi wao ni wazenji na sio cuf au ccm mbona huupendi ukweli huu? juzi uliwahusisha na cuf, leo ccm ili upendezeshe uzi wako kwa kupata wachangiaji wengi bcs unajua ukitaja cdm humu, watu umewakuna na huchangia bila kufikiri, hata ivo muamsho pia walielezea sana kuh uo udini , kama huyataki yote ayo basi angalau pitia alichokiongea mh LISSU jana, mkuu usikurupuke za kuambiwa changanya na zako.
 
Back
Top Bottom