Mfupawasokwe
Member
- Sep 12, 2024
- 78
- 129
Nimewaza tu mpaka kufika mwaka 2578 dunia utakuwa imefika ukingoni, Kuna vitu naona vya ajabuajabu vinaendelea sasa hivi duniani mpaka unajiuliza mpaka kufika miaka hiyo hali sijui itakuwaje.
Kibwetele Wa Uganda Mwaka 2000 ,December Alisema Ndiyo Mwisho Akawachoma Waumini Ila Dunia Inasonga TaratibuNimewaza tu mpaka kufika mwaka 2578 dunia utakuwa imefika ukingoni, Kuna vitu naona vya ajabuajabu vinaendelea sasa hivi duniani mpaka unajiuliza mpaka kufika miaka hiyo hali sijui itakuwaje.
😂😂😂😂 mwisho wako ndo unakaribianaona vya ajabuajabu vinaendelea sasa hivi
😀😀😀 huyu hana tofauti na yule jamaa ambaye alikua anasema mwaka Jana mwezi wa Tano Dar itafunikwa na bahari ya Hindi na watu wakawa wanaogopa kabisa ukimuliza alete ushahidi wa kisayansi anakwambia ameoteshwa na roho mtakafifuJua wanasema limebakiza miaka nusu billion ili lipotee...! Jua ndiyo kiini muhimu katika Uwepo wa uhai wa Dunia.bHiyo yako umeipata wapi!
Musk kanyang'anywa hela na Trump za kutengeneza parachuti la kwenda huko...! Tafuta mbadalaFresh tutahamia Jupiter
ngoja nianze kesho kutembea mdogo mdogo, najua nitafika tu mwisho wa dunia na kutoka njeMusk kanyang'anywa hela na Trump za kutengeneza parachuti la kwenda huko...! Tafuta mbadala
Itakuwa venture ya kubwa sana dunia itakukumbuka pale utakapopotelea pale cape of good hopengoja nianze kesho kutembea mdogo mdogo, najua nitafika tu mwisho wa dunia na kutoka nje
siku watoto wa watoto wetu wa watoto wetu wa watoto wetu wa watoto wetu wa watoto wetu.....waje waone mifupa waseme binadamu wa kwanza alovuka dunia kwa miguu.Itakuwa venture ya kubwa sana dunia itakukumbuka pale utakapopotelea pale cape of good hope