Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,466
- 2,860
Najaribu kuwaza tu baada ya kusoma vitabu na machapisho mbalimbali ili kijitathmini kama taifa la Tanzania.
Tuko wapi ili kufikia uchumi wa kipato cha kati na uchumi wenye ushindani ambao ni jumuishi kwa Watanzania wengi.
Kumbukumbu mbalimbali zaonesha baada ya kuanguka kwa ukuta wa Berlin mwaka 1989 kulitokea imbalance of world powers.
USSR ya Mikhail Goberchev ilianguka na Rais Bush Sr akama mfalme wa dunia. Mpaka hivi juzi China ime-gain power na sasa wanamtunishia Marekani misuli hasa kwenye vita ya kiuchumi.
Nguvu ya China imekuwa kwenye exports ya machineries za aina zote. Kubwa, size ya kati na size ya chini. China anauza Technology, China anauza nguo, China anauza finished product ya vitu mbalimbali.
Nilikuwa nikisoma chapisho mmoja ambapo mkakati wa baadhi ya mataifa ni kuweka himizo kwenye usalama wa taifa kwa ku-connect na uimara au uthabity wa kiuchumi.
Mkakati wa mataifa mengi na China ikiwemo suala la nguvu za kijeshi linaendana sambamba na nguvu za kuichumi kwa kufanya biashara za kila aina. Biashata safi na chafu kwa lengo kuvuna fedha za kigeni.
Unaweza kupitia ukurasa huu hapa chini kuona global trend ya China katokea wapi miaka ya 70 na sasa yuko wapi
Kwa upande wa pili nampongeza JPM kwa kuona state of urgency kutangaza Tanzania ku-adopt viwanda kama tool ya kutufanya kukuza uchumi wetu.
Rai yangu, tuna haja ya kubadili mkakati wa kukuza uchumi wetu na namna ya kufanya biashara.
Umasikini ni adui anaetumiwa na mabeberu kwa kushirikiana na few nationals walio kwenye sekta ya umma kutuchelewesha. Esau ali-negotiate at point of weakness. Hatuna budi kuu-combat umasikini kwa kujenga mifumo jumuishi ya kukuza uchumi.
Ujinga nao ni doinda ndugu. Nadhani Wizara ya elimu ina wajibu wa kufanya. Haiwezekani tunakuwa na output ya vijana kuanzia shule ya msingi mpaka vyuo ambao hawawezi kuwa na mchango unaopimika kutufanya kuufikia uchumi wa kati.
Magonjwa mengine yanadhibitiwa watu wanapokuwa na ufahamu na fedha. Sidhani kama unaweza kupata wagonjwa wa kipindupindu masaki, Mbezi au Capri point. Ila mabatini, manzese, tmk na jangwani ambako msimu huu wa mvua watu hawana tumaini kesho itakuwaje.
Tanzania ya viwanda ndio mpango mzima, tunaomba mkakati wa kuifikia uwe jumuishi. Kuna watu wako public sekta wanaona as if private sekta ya Watanzania wakiwa-facilitated watafaidi sana. Kufuatia ujinga huo, ndipo tuna import mpaka toothpick.
Tanzania ya neema inawezekana kama tutakuwa team players (public + private partnership) na kujenga organized systems ambazo zitaongeza fursa za ajira kwa vijana wetu kuzalsisha.
Siku chache zilizopita, BOT "wemeboa" tena. Wanashangaza pale ambapo kila mwaka wanatoa riport za kwanini exports zinashuka badala ya kuja na mkakati wa muda mfupi na muda mrefu namna ya kupunguza imports na namna gani ya kuongeza exports. Na hapa sio exports ya mazao ghafi but rather finished products zenye viwango vya kuuzika duniani made in Tanzania.
Mawaziri na makatibu wakuu, tunajua mna pressure ya uchaguzi mwakani na deliverables ili kutekeleza ilani. Ila sasa, muwe mnapatikana. Kuna wengine hampokei simu, huenda mko vikaoni na ziarani, basi muwe na mfumo wa ku-respond kwa sms kwa mauala ambayo yatajenga Tanzania yetu.
Uchumi ukikiua ni neema kwa wengi.
Chonde chonde, tushirikiane. Hatuna utaifa na nchi nyingine ya kujivunia mbali na Tanzania.
Ifike wakati ikiwa ni aina flani ya final product, ulimwengu u-rely kwa made in Tanzania; tukianza ku-export shilingi yetu itaimarika.
SGR itakuwa na maana sana baada ya kukamilika ikipitisha mizigo mingi inayokuwa exported kwenda nje ya nchi kuliko inayoingia.
Geo-economically, basi hao Rwanda, Uganda, Congo vitu kama nguo wanavyo-agiza, kwanini visitokee hapa, maana tuna pamba.
Kama ni toothpick, kwanini zisitokee hapa, na kuna mianzi mingi tu Iringa. Sitaki kuamini JKN tulie-adhamisha miaka yake 20 ya kuondoka alijenga inclusive economy kama alivyotuambia Mzee Mzindakaya, halafu leo hii player mkubwa ni watu wa rangi toka asia ambao wakichuma wanahamia Uingereza.
Wakati mmoja JPM alijinasibisha yuko tayari kuzalisha mabilionea 100, BOT, Hazina, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda, Biashara, Kilimo, Elimu wana mkakati gani wa kulifanya hilo litokee.
Mabilionea 100 hao ni waajiri, hao ni walipa kodi, hao wanachangia mifuko ya pensheni kupitia wafanyakazi wao. It high time to join forces to make even that mission of 100 billionaires wa Kitanzania itokee kama indicator ya 2015.
Kenya wana billionaires wengi kuliko sisi licha ya size ndogo ya Ardhi na idadi ya watu. Tunajipangaje japo kuwa sawia na wao bila kufisadi. Maana jirani +254 nae kwa ufisadi hawajambo
Mungu Ibariki Tanzania na weekend njema wazalendo
Tuko wapi ili kufikia uchumi wa kipato cha kati na uchumi wenye ushindani ambao ni jumuishi kwa Watanzania wengi.
Kumbukumbu mbalimbali zaonesha baada ya kuanguka kwa ukuta wa Berlin mwaka 1989 kulitokea imbalance of world powers.
USSR ya Mikhail Goberchev ilianguka na Rais Bush Sr akama mfalme wa dunia. Mpaka hivi juzi China ime-gain power na sasa wanamtunishia Marekani misuli hasa kwenye vita ya kiuchumi.
Nguvu ya China imekuwa kwenye exports ya machineries za aina zote. Kubwa, size ya kati na size ya chini. China anauza Technology, China anauza nguo, China anauza finished product ya vitu mbalimbali.
Nilikuwa nikisoma chapisho mmoja ambapo mkakati wa baadhi ya mataifa ni kuweka himizo kwenye usalama wa taifa kwa ku-connect na uimara au uthabity wa kiuchumi.
Mkakati wa mataifa mengi na China ikiwemo suala la nguvu za kijeshi linaendana sambamba na nguvu za kuichumi kwa kufanya biashara za kila aina. Biashata safi na chafu kwa lengo kuvuna fedha za kigeni.
Unaweza kupitia ukurasa huu hapa chini kuona global trend ya China katokea wapi miaka ya 70 na sasa yuko wapi
Kwa upande wa pili nampongeza JPM kwa kuona state of urgency kutangaza Tanzania ku-adopt viwanda kama tool ya kutufanya kukuza uchumi wetu.
Rai yangu, tuna haja ya kubadili mkakati wa kukuza uchumi wetu na namna ya kufanya biashara.
Umasikini ni adui anaetumiwa na mabeberu kwa kushirikiana na few nationals walio kwenye sekta ya umma kutuchelewesha. Esau ali-negotiate at point of weakness. Hatuna budi kuu-combat umasikini kwa kujenga mifumo jumuishi ya kukuza uchumi.
Ujinga nao ni doinda ndugu. Nadhani Wizara ya elimu ina wajibu wa kufanya. Haiwezekani tunakuwa na output ya vijana kuanzia shule ya msingi mpaka vyuo ambao hawawezi kuwa na mchango unaopimika kutufanya kuufikia uchumi wa kati.
Magonjwa mengine yanadhibitiwa watu wanapokuwa na ufahamu na fedha. Sidhani kama unaweza kupata wagonjwa wa kipindupindu masaki, Mbezi au Capri point. Ila mabatini, manzese, tmk na jangwani ambako msimu huu wa mvua watu hawana tumaini kesho itakuwaje.
Tanzania ya viwanda ndio mpango mzima, tunaomba mkakati wa kuifikia uwe jumuishi. Kuna watu wako public sekta wanaona as if private sekta ya Watanzania wakiwa-facilitated watafaidi sana. Kufuatia ujinga huo, ndipo tuna import mpaka toothpick.
Tanzania ya neema inawezekana kama tutakuwa team players (public + private partnership) na kujenga organized systems ambazo zitaongeza fursa za ajira kwa vijana wetu kuzalsisha.
Siku chache zilizopita, BOT "wemeboa" tena. Wanashangaza pale ambapo kila mwaka wanatoa riport za kwanini exports zinashuka badala ya kuja na mkakati wa muda mfupi na muda mrefu namna ya kupunguza imports na namna gani ya kuongeza exports. Na hapa sio exports ya mazao ghafi but rather finished products zenye viwango vya kuuzika duniani made in Tanzania.
Mawaziri na makatibu wakuu, tunajua mna pressure ya uchaguzi mwakani na deliverables ili kutekeleza ilani. Ila sasa, muwe mnapatikana. Kuna wengine hampokei simu, huenda mko vikaoni na ziarani, basi muwe na mfumo wa ku-respond kwa sms kwa mauala ambayo yatajenga Tanzania yetu.
Uchumi ukikiua ni neema kwa wengi.
Chonde chonde, tushirikiane. Hatuna utaifa na nchi nyingine ya kujivunia mbali na Tanzania.
Ifike wakati ikiwa ni aina flani ya final product, ulimwengu u-rely kwa made in Tanzania; tukianza ku-export shilingi yetu itaimarika.
SGR itakuwa na maana sana baada ya kukamilika ikipitisha mizigo mingi inayokuwa exported kwenda nje ya nchi kuliko inayoingia.
Geo-economically, basi hao Rwanda, Uganda, Congo vitu kama nguo wanavyo-agiza, kwanini visitokee hapa, maana tuna pamba.
Kama ni toothpick, kwanini zisitokee hapa, na kuna mianzi mingi tu Iringa. Sitaki kuamini JKN tulie-adhamisha miaka yake 20 ya kuondoka alijenga inclusive economy kama alivyotuambia Mzee Mzindakaya, halafu leo hii player mkubwa ni watu wa rangi toka asia ambao wakichuma wanahamia Uingereza.
Wakati mmoja JPM alijinasibisha yuko tayari kuzalisha mabilionea 100, BOT, Hazina, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda, Biashara, Kilimo, Elimu wana mkakati gani wa kulifanya hilo litokee.
Mabilionea 100 hao ni waajiri, hao ni walipa kodi, hao wanachangia mifuko ya pensheni kupitia wafanyakazi wao. It high time to join forces to make even that mission of 100 billionaires wa Kitanzania itokee kama indicator ya 2015.
Kenya wana billionaires wengi kuliko sisi licha ya size ndogo ya Ardhi na idadi ya watu. Tunajipangaje japo kuwa sawia na wao bila kufisadi. Maana jirani +254 nae kwa ufisadi hawajambo
Mungu Ibariki Tanzania na weekend njema wazalendo