Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Napenda kuleta hoja yangu hapa, Mara baada ya Rais JK kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania 2005 na ukapita mwaka mmoja ywa uongozi wake JK aliibuka kidedea kuwa ana asilimia kubwa ya wananchi kuwa na imani nae kuliko Baraza lake la mawaziri ambalo lilionekaka fika kuwa hali wajibiki kabisa kwa wananchi,
Ila mara baada ya uchaguzi wa 2010 Rais Jk alipo ingia madarakani uaminifu wa wananchi kwa Rais JK umeporomoka kwa asilimia kubwa sana kuliko ubande wa Baraza lake la mawaziri.
Kwanini nasema hili maana kipindi cha kwanza aliwika sana JK na sasa hawiki kabisa ni waziri wake wachache ndio wanao wika eg John Pombe Maghufuli, Anna Tibaijuka,Pinda Mizengo ingawa nae anaanza kushuka uamini kutoka kwa wananchi toka na misimamo yake katika bunge la 10.
Vyombo vya habari na Redets na synovate vilisema sana kuwaminiwa kwa rais katka muhura wa kwanza kuliko baraza lake la mawaziri sasa imekuwa kinyume chake uamini ni zero kwa wamamnchi na hivi vyombo havija sema hilo hata kama JK ndio anamalizia ungwe yake ya mwisho still alipaswa kuwa na % kubwa ya uaminifu kutoka kwa wananchi.
Nawakirisha Hoja karibuni kuchangia kwa mawazo yenu na mtazamo wenu pia
Napenda kuleta hoja yangu hapa, Mara baada ya Rais JK kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania 2005 na ukapita mwaka mmoja ywa uongozi wake JK aliibuka kidedea kuwa ana asilimia kubwa ya wananchi kuwa na imani nae kuliko Baraza lake la mawaziri ambalo lilionekaka fika kuwa hali wajibiki kabisa kwa wananchi,
Ila mara baada ya uchaguzi wa 2010 Rais Jk alipo ingia madarakani uaminifu wa wananchi kwa Rais JK umeporomoka kwa asilimia kubwa sana kuliko ubande wa Baraza lake la mawaziri.
Kwanini nasema hili maana kipindi cha kwanza aliwika sana JK na sasa hawiki kabisa ni waziri wake wachache ndio wanao wika eg John Pombe Maghufuli, Anna Tibaijuka,Pinda Mizengo ingawa nae anaanza kushuka uamini kutoka kwa wananchi toka na misimamo yake katika bunge la 10.
Vyombo vya habari na Redets na synovate vilisema sana kuwaminiwa kwa rais katka muhura wa kwanza kuliko baraza lake la mawaziri sasa imekuwa kinyume chake uamini ni zero kwa wamamnchi na hivi vyombo havija sema hilo hata kama JK ndio anamalizia ungwe yake ya mwisho still alipaswa kuwa na % kubwa ya uaminifu kutoka kwa wananchi.
Nawakirisha Hoja karibuni kuchangia kwa mawazo yenu na mtazamo wenu pia