Imani hii kulikoni?

Imani hii kulikoni?

lahabi

Member
Joined
Mar 22, 2013
Posts
20
Reaction score
6
Hivi ni kweli wamekuwa hawapendwi, wananyanyapaliwa, wananyanyaswa, wanatengwa duniani kote? Ama ni asili tu ya imani wanayoiamini?!! Kwani mahali pote duniani penye migogoro watu hawa wapo, kulikoni?!!!. Binafsi naamini peponi watakuwepo wale tu wenye sifa miongoni mwa hizi: wapenda AMANI,wasiokuwa na MAKUU, wenye kukubali KUDHALAULIWA nk. kinyume na hapo ni uongo tu. Mf. mzuri ni mambo yanayojiri hivi sasa nchini Misri, UMMA ulimwamini Bw.Mohammed Mursi wa Islamicbrotherhood ukitegemea mambo mazuri toka kwake hasa ya kimaendeleo, lakini ikawa kinyume chake badala yake akajikita KIIMANI zaidi kwa kupuuza mamlaka za kisheria ikiwemo mahakama nk. Umma uliomwingiza madarakani ukamtaka aachie madaraka kwa amani, hataki. Jeshi likaingilia kati kwa mstakabali mwema wa nchi yao, ghafla watu wa imani wakaingilia kati wakiapa kuwa tayari kufa kwa islamicbrotherhood na kweli hivi sasa wanaua na kuuwawa wakitegemea kwenda peponi!!! hivi ni kweli???? kuua si dhambi kwao? Hapa napo wameanza kwa tindikali tutakwisha basi.
 
Hivi ni kweli wamekuwa hawapendwi, wananyanyapaliwa, wananyanyaswa, wanatengwa duniani kote? Ama ni asili tu ya imani wanayoiamini?!! Kwani mahali pote duniani penye migogoro watu hawa wapo, kulikoni?!!!. Binafsi naamini peponi watakuwepo wale tu wenye sifa miongoni mwa hizi: wapenda AMANI,wasiokuwa na MAKUU, wenye kukubali KUDHALAULIWA nk. kinyume na hapo ni uongo tu. Mf. mzuri ni mambo yanayojiri hivi sasa nchini Misri, UMMA ulimwamini Bw.Mohammed Mursi wa Islamicbrotherhood ukitegemea mambo mazuri toka kwake hasa ya kimaendeleo, lakini ikawa kinyume chake badala yake akajikita KIIMANI zaidi kwa kupuuza mamlaka za kisheria ikiwemo mahakama nk. Umma uliomwingiza madarakani ukamtaka aachie madaraka kwa amani, hataki. Jeshi likaingilia kati kwa mstakabali mwema wa nchi yao, ghafla watu wa imani wakaingilia kati wakiapa kuwa tayari kufa kwa islamicbrotherhood na kweli hivi sasa wanaua na kuuwawa wakitegemea kwenda peponi!!! hivi ni kweli???? kuua si dhambi kwao? Hapa napo wameanza kwa tindikali tutakwisha basi.

Ni imani ambayo haikuwepo hapa duniani ndiyo maana haikubaliki kila mahala.
 
Iman thabit isiyo kubali upuuzi thats why mikwaruzano ni kawaida! Umeongelea MISRI hivi wewe kweli unajua mchezo uliofanywa na US plus fedha chafu za SAUD ARABIA? Ndugu usichokijua kitakusumbua sana na kujiona wewe na dini yako ndo bora kisa ukondoo mliojengewa akilini ata siku mkiambia USHOGA ruksa na NDOA tiyari zimeanza kufungwa MAKANISANI tofauti na hii dini unayoidharau...HII dini haitakaa inyamaze wala iwe kondoo abadani mpaka pale udhalimu na tamaduni asizopenda MUNGU au dunia isizi
 
Hivi ni kweli wamekuwa hawapendwi, wananyanyapaliwa, wananyanyaswa, wanatengwa duniani kote? Ama ni asili tu ya imani wanayoiamini?!! Kwani mahali pote duniani penye migogoro watu hawa wapo, kulikoni?!!!. Binafsi naamini peponi watakuwepo wale tu wenye sifa miongoni mwa hizi: wapenda AMANI,wasiokuwa na MAKUU, wenye kukubali KUDHALAULIWA nk. kinyume na hapo ni uongo tu. Mf. mzuri ni mambo yanayojiri hivi sasa nchini Misri, UMMA ulimwamini Bw.Mohammed Mursi wa Islamicbrotherhood ukitegemea mambo mazuri toka kwake hasa ya kimaendeleo, lakini ikawa kinyume chake badala yake akajikita KIIMANI zaidi kwa kupuuza mamlaka za kisheria ikiwemo mahakama nk. Umma uliomwingiza madarakani ukamtaka aachie madaraka kwa amani, hataki. Jeshi likaingilia kati kwa mstakabali mwema wa nchi yao, ghafla watu wa imani wakaingilia kati wakiapa kuwa tayari kufa kwa islamicbrotherhood na kweli hivi sasa wanaua na kuuwawa wakitegemea kwenda peponi!!! hivi ni kweli???? kuua si dhambi kwao? Hapa napo wameanza kwa tindikali tutakwisha basi.

mohammed morsi ni rais aliyechaguliwa kidemokrasia nchini misri,hata kama anafanya ndivyo sivyo,kama rais aliyechaguliwa kwa majority vote anapaswa kuachwa amalize muda wake ili aje atolewe kwa votes.kilichofanyika misri bila kujali imani ya dini yoyote ile sio haki.mbona hapa tz mambo pia hayaendi,ufisadi,maendeleo hakuna kila kitu ovyo ovyo tu lakini hakuna anayetaka kufanya mapunduzi japokuwa hali hii kila mtu haipendi?ni kwa sababu ya demokrasia,aliyepo madarakani yupo kihalali anahaki ya kumaliza muda wake,ndiyo maana macho ya kila mtz ni 2015.so kinachofanyika misri sio halali.
 
Hivi ni kweli wamekuwa hawapendwi, wananyanyapaliwa, wananyanyaswa, wanatengwa duniani kote? Ama ni asili tu ya imani wanayoiamini?!! Kwani mahali pote duniani penye migogoro watu hawa wapo, kulikoni?!!!. Binafsi naamini peponi watakuwepo wale tu wenye sifa miongoni mwa hizi: wapenda AMANI,wasiokuwa na MAKUU, wenye kukubali KUDHALAULIWA nk. kinyume na hapo ni uongo tu. Mf. mzuri ni mambo yanayojiri hivi sasa nchini Misri, UMMA ulimwamini Bw.Mohammed Mursi wa Islamicbrotherhood ukitegemea mambo mazuri toka kwake hasa ya kimaendeleo, lakini ikawa kinyume chake badala yake akajikita KIIMANI zaidi kwa kupuuza mamlaka za kisheria ikiwemo mahakama nk. Umma uliomwingiza madarakani ukamtaka aachie madaraka kwa amani, hataki. Jeshi likaingilia kati kwa mstakabali mwema wa nchi yao, ghafla watu wa imani wakaingilia kati wakiapa kuwa tayari kufa kwa islamicbrotherhood na kweli hivi sasa wanaua na kuuwawa wakitegemea kwenda peponi!!! hivi ni kweli???? kuua si dhambi kwao? Hapa napo wameanza kwa tindikali tutakwisha basi.

Hivi wale Wa protestant na wakatoliki,wanaochinjana miaka nenda miaka rudi,huko Ireland ya kaskazini,kuna LRA,kuna kina joseph kibwetere,Askofu huyu aliuwa maelfu ya watu,kwa kuwachoma moto kanisani,wacha aliowauwa kwa kuwapiga na vitu vyenye ncha kali,watu karibu elfu moja na kitu,hujagusia kina John Garang,Kina Savimbi,Bqdo na mafuvu kadhaa yaliyokutwa kanisani,Rwanda,wakati wa vita vya wenywe kwa wenyew,ambao wote waranda ni wakristo.Wote hawa ni wa imani ipi?
 
Kama nchi ya kidini inayohubiri dini na kufuata misingi ya Amani kama ilivyo kwenye kitabu kitakatifu inashindwa nini kutumia kitabu hicho hicho kumaliza tofauti zao? Mbona hata hao wanaoitwa makafiri wanaishi kwa amani pamoja na ukafiri wao, hawajifunzi tu.
 
Hivi wale Wa protestant na wakatoliki,wanaochinjana miaka nenda miaka rudi,huko Ireland ya kaskazini,kuna LRA,kuna kina joseph kibwetere,Askofu huyu aliuwa maelfu ya watu,kwa kuwachoma moto kanisani,wacha aliowauwa kwa kuwapiga na vitu vyenye ncha kali,watu karibu elfu moja na kitu,hujagusia kina John Garang,Kina Savimbi,Bqdo na mafuvu kadhaa yaliyokutwa kanisani,Rwanda,wakati wa vita vya wenywe kwa wenyew,ambao wote waranda ni wakristo.Wote hawa ni wa imani ipi?
plus HITLER,CRUSADERS, COLONIALISTS, WORLD WAR 1, WORLD WAR 2 MPAKA WAKAWALAZIMISHA MABABU ZETU WAKAPIGANE VITA VYA KWAO. USI JUDGE KITU KWA UMRI ULIOISHI WEWE TU
 
Kama nchi ya kidini inayohubiri dini na kufuata misingi ya Amani kama ilivyo kwenye kitabu kitakatifu inashindwa nini kutumia kitabu hicho hicho kumaliza tofauti zao? Mbona hata hao wanaoitwa makafiri wanaishi kwa amani pamoja na ukafiri wao, hawajifunzi tu.

Hebu tuangalie hao the so called western countries wanavoishi kwa amani

Islam and the western world- khalid yasin - YouTube
 
kwa vigezo vya AMANI, KUTOPENDA MAKUU NA KUKUBALI KUDHARAULIWA, mashoga wana-qualify 100 %!
 
Back
Top Bottom