Ina maana CUF hawataki mtu mwenye dini ya kiislamu kuwa mwanachama wa CCM?
Kweli hivi vyama vyetu vya siasa vina udini ndani yake, jaji Tendwa kaa macho.
Ina maana CUF hawataki mtu mwenye dini ya kiislamu kuwa mwanachama wa CCM?
Kweli hivi vyama vyetu vya siasa vina udini ndani yake, jaji Tendwa kaa macho.
Wote wadini cuf & ccm
Hivi Vyama Vya KIDINI vitamaliza Wananchi... Kwanini IMAM hana UHURU wa KUAMUA UHURU wake Mwenyewe ???
Ongeza na chadema siku watakayo simamisha mgombea wa urais wa tz muslam ndio cku ya kufa chama na wajaribu
Ina maana CUF hawataki mtu mwenye dini ya kiislamu kuwa mwanachama wa CCM?
Kweli hivi vyama vyetu vya siasa vina udini ndani yake, jaji Tendwa kaa macho.
Mkuu, unataka kusema kuna mpango ndani ya CHADEMA wa kutosimamisha mgombea wa kiislamu?