Imamu afariki mikononi mwa polisi Arusha

Imamu afariki mikononi mwa polisi Arusha

Status
Not open for further replies.

amakyasya

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
3,480
Reaction score
918
Imamu wa msikiti aliyekuwa anashikiliwa kwa tuhuma za ugaidi huko Arusha amefariki baada ya kuugua kwa muda wa miezi sita akitibiwa katika hospitali ya mount Meru akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.

Source: Gazeti MWANANCHI leo.
 
Imamu wa msikiti aliyekuwa anashikiliwa kwa tuhuma za ugaidi huko Arusha amefariki baada ya kuugua kwa muda wa miezi sita akitibiwa katika hospitali ya mount Meru akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.

Source: Gazeti MWANANCHI leo.

Ugaidi wake ni nn
 
Siku hao magaidi wakianza kulipa visasi tusisikie vijambio vyenu kupiga kelele

Mbona tayari yameua na kuteka hovyo watu wengi tu wasio na hatia! Au we hujasikia BOKOHARAM, ALSHABAAB, ALKAIDA n.k?
 
Kule wenzenu washatia adabu akitaka kutaja neno gaidi anageuka huku na kule... bongo hapa nasi tunalazimisha yaje...yatakuja tu

We utakuwa sio mzima! Unatetea UGAIDI!
 
Na siku magaidi mkianza kuuana tusisikie vijambo vyako.
 
Granta

Mnaumia magaidi sio wananchi! Bila shaka utakuwa mhamiaji haramu na si mzalendo mzawa!
 
Last edited by a moderator:
Mnaumia magaidi sio wananchi! Bila shaka utakuwa mhamiaji haramu na si mzalendo mzawa!

Hata kuelewa tu huelewi, wanachi ndio tutaodhurika hao magaidi tunaowaimba kila saa watapoanza vitimbi vyao... uelewa wako mdogo sana bye
 
Ngoja akutane na Osama wajiulize kwa nini walikufa kifo kibaya.
 
Magaidi yatamaliza Africa..wamepata hifadhi huku Africa sababu serikali za nchi nyingi hapa Africa nni dhaifu. Tanzania haitakuwa salama kwa kuogopa kupambana na ugaidi nchini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom