dotnet
JF-Expert Member
- Mar 5, 2013
- 393
- 153
virgin Mary ananafasi ipi katika ufalme wa Mungu, naomba kujuzwa tafadhari.
Aisee wewe uko kama mimi. Hivi huyu Maria mbona ni kama amechukua attention ya watu kuliko hata Yesu mwenyewe? Kuna dhehebu fulani yaani wao muda wote salam maria salam maria!!! Jamani huyu alitumiwa na Roho Mtakatifu kumleta Yesu (Mungu) duniani na kazi yake iliishia hapo. Alikufa na anasubiri ufufuo kama wengine. Wengi hudhani yupo anaishi!!! No way!
Anayeishi ni Yesu, Musa, Eliya, Enok. Hao Biblia ilisema wazi kuwa wako Mbinguni wanaishi hata leo. Lakini Bikira maria???
Hebu wasilianeni na Yesu moja kwa moja bana mnaogopa nini sasa, hivi mnajua maana ya lile pazia jekundu kwenye synagogue kupasuka wakati Yesu alipokata roho? Maana yake ni ruksa sasa kuwasiliana na Yesu moja kwa moja si lazima kupitia kwa kuhani kama ilivyokuwa zamani. Maana zamani madhabahuni mtu alikuwa hatii maguu! Ila unaona siku hizi, kila mtu anafika!
Samahani lakini.