I'm too old to be dumped

Tatizo linaanzia kwenye malezi madam Sakayo.

Hayo yanayowatokee mabinti zetu leo hii, ni matokeo tu ya malezi yetu kama wazazi. Kwa kweli wazazi nowadays tunajisahau kabisa, tupo so poor kwenye suala la malezi.....sijui ndio utandawazi wenyewe au lah?!!
 
Ni kweli uyasemayo!
 
Inanisikitisha, jana rafiki yangu kamkamata binti yake aliye form two na simu (I phone) ya bei kali, kanunuliwa na mwanaume! Laini kweny hiyo simu imesajiliwa kwa jina la huyo mwanaume......Inatia aibu na kinyaa. Nimetoka kituo cha polisi kumsindikiza rafiki yangu ili huyu mtu akamatwe!
 
Ni 10 over %.
 
Exactly, TABIA ndio kila kitu.
 

Kuoa demu mzuri ni sawa na kupanda miwa karibu na shule ya msingi......sintothubutu...takufa kwa pressure waache tuwachezee mpaka giza liwaingie
 
Inaumaa sana jamani! Huyo ni mwanaume ambaye anategemea watoto wake baadae wasome na wafanikiwe!
 
Ndo maana nikasema tuwaombee watoto wetu, ukishakumbuka kumuombea naamini malezi nayo hayawezi kuyumba!
 
Lea uwezavyo,fuga utakavyo,kijana/binti akisha kutana (ushahidi ninao) na wenzie huko kwenye makundi yao husahau mafundisho yote. Tutalaumiwa sana wazazi, watoto wetu wanapambana na utandawazi, hawataki kupitwa na chochote.
Tusimame kwenye imani zetu, kwenye mafundisho tusisitize kuwa na hofu ya Mungu.
 
Anae jishusha hushushwa,maneno huumba.
Ni miaka kumi na moja sasa hajawahi kunikosea.Mwanzo nilikua naonekana kama dereva wake (wife) tukinunua vitu wauzaji wanaomba niwaombee kwa boss (mke) wangu anunue ili wapate riziki.
Mke wangu ni rafiki yangu mkubwa sana, hajijui kama ni mzuri, wambea ndio wanakomaa kuwa "alipo sipo"...
Kuoa demu mzuri ni sawa na kupanda miwa karibu na shule ya msingi......sintothubutu...takufa kwa pressure waache tuwachezee mpaka giza liwaingie
 
Big no.

Issue ya malezi ikipatiwa vizuri room yake from zero to hero, hakuna kitu kama hiko.

Tatizo linakuja wazazi wenyewe walikosa hayo malezi bora, how comes waweze kuwalea watoto wao kwenye room ya malezi bora!! Leo hii mama analake, baba analake......hayo malezi bora kwa mtoto/watoto yatatoka wapi?!!

Jaribu kutofautisha neno MALEZI na MAKUZI, utapata jibu nini ninachokiongelea hapa.
 
Aunt nakupenda sana
 
Afu una unakua na radha za 20s acha zako basi

Eeehehehehheee kuna nafsi kadhaa humu JF zimeshaniona uso kwa uso, ana kwa ana, sauti kwa sauti, kiganja kwa kiganja....

Sitasema hapa wanasemaje kuhusu Kigagula Kasie ila deep down the inner me myself and I are both in that age you say meaning I stopped growing while I was in that age 30 years ago.
But in the outer, am the shell of a tortoise....(mvinyo mpya kwenye kiriba cha zamani, japo wine time ni ile ya zamani hivyo hakuna mautamu tena ni Mahaba tuu).

Platinum Kasinde.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…