I'm too old to be dumped

Hivi mbona walalamikaji ni wazazi wa kike Sakayo
 
Nakwambia Mungu hajawai kukosea huwa anagawa kama tunavyostahili ni vile binadamu huwa tunajisahaulisha tu
Mimi huwa nawaambia kaka zangu Mungu ni wa wote wanaume na wanawake na siyo wa wanaume peke yao lakini hawataki kukubali hilo
 
Mimi huwa nawaambia kaka zangu Mungu ni wa wote wanaume na wanawake na siyo wa wanaume peke yao lakini hawataki kukubali hilo

Hata wasipokubali lakini haimzuii mwenye mamlaka yake kuwachukulia hatua
 
Asipoolewa si atakuwa anagongwa gongwa tu.
 
Huwa wanajitahidi kublend-in na mazingira ya ushuani sema mwisho wa siku wanaharibu.

Kuna kipindi unaona mbona huyu Fatu akiwa Mbagala na akiwa Masaki ni watu wawili tofauti.
 
Tumekuelewa vizuri
 
Aunt leo Kuna barid

 
Hivi hua una miaka mingapi? ?
 
Aunt leo Kuna barid

Kuna moto mkubwa umewashwa viwanja vya Mnazi Mmoja, wahi mtoto mzuri ukaote uondoe hiyo baaridi. Wauza kahawa pia hawako mbali na huo moto. Ukiona bado baridi haitoki piga push up 300 kwa interval ya mia mia.

Vikigoma vyote kamatia mwandani wako ukimbie umbali wa kilomita 21 bila kupumzika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…