I'm not happy with my life

iko hivi si kosa lako baba yako kutowajali,wala si kosa lako ndugu zenu kutowajali

Kosa lako ni kuendelea kuuumia kwa mambo ambayo huwezi kuyabadilisha sasa,kosa lako ni kujua kwamba kuna mambo ukiyawaza yanakuumiza lakini bado unaendelea kuyawaza

The moment ukiyajua haya makosa yako na kukubali kwamba unakosea kuendelea kuyakumbatia haya mambo basi itakuwa mwanzo mpya wa ukombozi wa nafsi yako na roho


my dear huzuni hazitakusadia chochote,kulaumu baba yako haitabadilisha chochote,ndio amewakosea lakini you have to move on

All the best
 
Jipiganie mqenyewe dunia hii hakuna baba, mama, kaka dada, mjombq, shangazi, ndugu, jamaa, rafiki na mwingine yeyote anayefanana nao anayelazimika kukupigania wewe.

Ukishajua kanuni hii utakubali mambo ya walimwengu na kujipigania mwenyewe.

Usipoelewa utabaki mtu wa kulialia daima.
 
Kila kitu wewe unajiweka kando, lawama unawatupia watu wengine.

Jitathmini binti, una mengi yasiyopendeza na unayafisha na bila shaka huna wa kukwambia hili ni baya, huombi ushauri ama lah huna marafiki wazuri.

Nyuzi zako nyingi wewe ni mlalamika usie ma hatia, ulieonewa, hukustahili hayo na vitu kama hivyo.

Tathmini madhaifu yako, hapo ndipo utapata ushupavu wako, acha kulialia kila siku, hamna alieumbwa ili aje ampe kiss ov love furaha, si ajabu hata mama yako nae asingefanya hivyo unavyodhani angefanya.

Jukumu la furaha yako liko mikononi mwako mwenyewe, sio baba, mama, kaka, ndgu wala boyfriend.

Makinika, utapotea, shaurilo, huko kutia huruma kuna wasio na huruma wanawahitaji ninyi watia huruma ili wawalize vizuri.
 
wewe ni mvivu wa kazi unataka kaka yako abebe majukum yako, watu ka wewe nme kutana nao sana wao kufanya kazi ahaha kaka abebe mzigo inafika hattua mtu una kazi nzuri tu lakini hadi mchele kilo moja unakopa kwa mangi kisa mzigo wa ndug fanya kazi wewe ni mvivu mnawaumiza vijana sana mtu anakazi ila ukiyaangalia maisha yake mpaka unamhurumia kumbe ndugu fc wanafanya yao..

fullstop, kwishaaaa
 
Mpaka akili ije kumkaa sawa kua kaka yake nae ana maisha yake na yeye pia ana yake basi inaweza kua kachelewa kisa kuwalaumu wengine ilhali tayari yuko above 20 yrs, bado analalamika fulani hanisaidii, fulani hanijali, fulani hanipi furaha.
 
Bas ni sawaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ