Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 825
usinisahau duguNikitulia ntaleta Uzi juu ya Lucifer tumjadili poa sitasahau kukutag mkuu
usinisahau duguNikitulia ntaleta Uzi juu ya Lucifer tumjadili poa sitasahau kukutag mkuu
Poa mkuuNikitulia ntaleta Uzi juu ya Lucifer tumjadili poa sitasahau kukutag mkuu
Kivipi Mohamed?Mnadanganyana tu hapa
How do i join them?Masa, illuminati hapa bongo wapo, ukiondoa freemasons ambao mambo yao ni hadharani na uwezo wao unajulikana, bongo kuna members wa Rossecrussions, hawa wana grand lodge yao Upanga. Hawa ni watu wealthy wenye pesa nene, power and influence. Kuna issue wakisema no, its no!.
The Rosicrucian Order, AMORC
Ukitaka kujua kuwa Tanzania ya Nyerere ilikuwa ya Kichawi (Freemasonry), fuatilia kisa na mkasa wa mwenge!!ondoa upuuzi wako wewe. Nyerere was never a freemansons. Na kuna watu wanaamini sana kuwa ndiyo maana hii nchi iliminywa sana, maana WB supports countries whose leaders are freemasonry, na if you do not become one of them they may take you out of power (among others na kama una natura resources) kama yanayotokea kwa gbagbo au gaddafi.
You need to dig about these secret society, who and how they take control of states, what they own kabla ya kuja na silly accusation zako hapa.
Ila kwa hili la kutu uzia kilo 1 ya sembe na PAKETI la sigara kwa lazima hata kama huvuti KATKA maduka ya ushirika sio UONEVU KABISAA nduguUkishangaa ya Musa,.. utaona ya Firauni!!!!! Hawa ni watu ambao kila wakati wanamtwisha Mwalimu kila aina ya upuuzi! ambao hata haumhusu!
Sijajua lengo lao hasa ninini, lakini wengine ni kujitafutia umaarufu kwa kuonekana wanachambua tu mwenye upeo mkubwa.
Mkuu mi nayataka yooote mautajiri na umaarufu vipi hapo Kaka MayallaThe Rosicrucian Order, AMORC
Angalizo
Kabla hujakubaliwa kujiunga lazima ule kiapo cha usiri na kufanyiwa initiations.
Once ukiingia, there is no going back, hivyo you have to know exactly what you wish to join.
Kama lengo lako la kujiunga ni kupata enlightening, then, proceed, lakini kama lengo lako ni kupata utajiri, please don't.
P
Yaah ni mwanachamahuyu marehemu alikua member wa hili kundi maana si kwa kupaishwa huku>>
Upo tayari??Mkuu mi nayataka yooote mautajiri na umaarufu vipi hapo Kaka Mayalla
UNAHAKIKA GANI MKUU AU NA WEWE NI WALEWALEYaah ni mwanachama
SawaUNAHAKIKA GANI MKUU AU NA WEWE NI WALEWALE
The Rosicrucian Order, AMORC
Angalizo
Kabla hujakubaliwa kujiunga lazima ule kiapo cha usiri na kufanyiwa initiations.
Once ukiingia, there is no going back, hivyo you have to know exactly what you wish to join.
Kama lengo lako la kujiunga ni kupata enlightening, then, proceed, lakini kama lengo lako ni kupata utajiri, please don't.
P
Nataka haya faster NIPE mashart Mkuu nijiandae kisaikolojiaUpo tayari??
Hayo mambo ya kafara ni mambo yao ya ndani, usipokuwa uu mmoja wao huwezi kujua. Mimi nilitaka kujiunga, nilipofika stage ya kula kiapo cha usiri ili nifanyiwe initiation, nakaogopa, sijuendelea.MKUU VIPI MAMBO YA KAFARA NI LAZIMA? NA ZINAUHUSIANO GANI NA ENLIGHTMENT
WE JAMAA MUOGA SANAHayo mambo ya kafara ni mambo yao ya ndani, usipokuwa uu mmoja wao huwezi kujua. Mimi nilitaka kujiunga, nilipofika stage ya kula kiapo cha usiri ili nifanyiwe initiation, nakaogopa, sijuendelea.
P
Una uhakika gani kuwa alikuwa mwanachama mkuu ?!Yaah ni mwanachama
ondoa upuuzi wako wewe. Nyerere was never a freemansons. Na kuna watu wanaamini sana kuwa ndiyo maana hii nchi iliminywa sana, maana WB supports countries whose leaders are freemasonry, na if you do not become one of them they may take you out of power (among others na kama una natura resources) kama yanayotokea kwa gbagbo au gaddafi.
You need to dig about these secret society, who and how they take control of states, what they own kabla ya kuja na silly accusation zako hapa.