Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,670
- 22,261
Yeye halijui ila aliwahi kusikia kuhusu ufunguaji wa tawi hilo likilalamikiwa, sasa amesikia toka kwa mwingine wa mwingine wa mwingine kuwa limefungwa. Kinachotakiwa ni kumthibitishia kuwa bado lipo.Tetesi sio ulete uongo mkuu, mleta uzi kapotosha makusudi kwa sababu zake mwenyewe,je hilo ndio jengo la CRDB la sasa? tuuache kuteteta upuuzi bana ,hizo ni chuki za kijinga.
Siku zote tetesi inaweza kuwa kweli au uongo.