mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,843
- 8,232
Tetesi sio ulete uongo mkuu, mleta uzi kapotosha makusudi kwa sababu zake mwenyewe,je hilo ndio jengo la CRDB la sasa? tuuache kuteteta upuuzi bana ,hizo ni chuki za kijinga.Ungejua maana ya neno tetesi usingecharuka, bado kiswahili kinatushinda.