Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 359,869
- 828,395
Naileta mada hii kutokana na mwenzetu mmoja ambaye tulijadiliana naye! Hivyo naomba pia niwashirikishe nanyi kwakuwa pengine na kwa vyovyote wahitaji wapo
Tunapokuwa wakubwa na kujitambua huwa kuna vitu tunaviona sio vya kawaida kwenye ukoo na hata kwenye familia. Na mara nyingi vitu hivyo huambatana na matokeo hasi
Vichache kati ya hivyo ambavyo pia ndio kama vya msingi ni
Mahusiano, ndoa na familia
Ajira na kipato
Biashara na uwekezaji
Elimu maarifa na vipaji
Dini imani na vipawa
Mafanikio umaarufu na kutambulika
Wanaobahatika kuwa na tafakuri na kujali huona kabisa kuna vitu haviko sawa kwenye familia au ukoo kwenye baadhi ya vitu nilivyoidhinisha hapo juu
Hii hali inatesa na kuumiza sana na baadhi huchukua hatua kwa kuanza safari ya kutafuta suluhu ya kudumu ili kuikomboa familia ama ukoo
Ni kwenye safari hiyo iliyojaa sintofahamu nyingi ndio baadhi kama si wote hukutana na magumu michangano na mengine mengi
.Waganga wa kienyeji (wengi feki na matapeli)
.Wapiga ramli (sometimes chonganishi)
. Wasoma nyota viganja na taroti
.Manabii na mitume wa kuungaunga
. Wasoma visomo na watoa kafara za damu
Kote huko utazunguka na kuzungushwa lakini utapata ahueni ya muda tuu na baada ya hapo mambo kuharibika zaidi
Baadhi yetu kabla ya kuchukua hatua yoyote huamua kuwatafuta wazazi mababu ama ndugu na kujaribu kuwauliza
Kinachotuumiza sana waafrika ni kushindwa kuhifadhi mambo yetu kwenye maandishi na sauti..
Wenzetu waliweza! Maana walitengeneza mitego lakini pia wakahifadhi kwa siri namna ya kuitegua
Maagano yenye nguvu pamoja na mambo mengine yalinenewa kwenye namba.. Kumbuka namba ndio zinaendesha dunia
Kwa mfano kama agano la kutofika mbali kielimu kibiashara ama kimahusiano kutokana na hasira ama kisasi cha mtamkaji liliangazia
Mwaka
Mwezi
Wiki
Siku
Saa
Dakika
Mavazi
Uelekeo
Kwahiyo sometimes si lazima amwage damu ya mnyama ama kufanya vitu vya kishirikina.. Akiipangilia vema formula yake namba kimekulamba familia au ukoo
Sasa anachotakiwa kufanya ni kuhifadhi mahali pa siri kwakuwa viapo vingi, manuizi maagano na malipizi hufanya kazi mhusika anapokata pumzi..
Sasa kuweka hakiba kama mambo yatabadilika vile alivyotaka yawe anatakiwa kumkabidhi mwanaukoo anayemuamini ili aje atumie formula husika kutegua agano, KIA po ama lipizi
Kama hiyo formula ikikosekana kwasababu zozote zile hakuna namna zaidi ya kusubiri si chini ya vizazi vitatu ama vinne!
Je nimeeleweka?
Kuna familia zina laana ya asili | Page 12 | JamiiForums Kuna familia zina laana ya asili
Tunapokuwa wakubwa na kujitambua huwa kuna vitu tunaviona sio vya kawaida kwenye ukoo na hata kwenye familia. Na mara nyingi vitu hivyo huambatana na matokeo hasi
Vichache kati ya hivyo ambavyo pia ndio kama vya msingi ni
Mahusiano, ndoa na familia
Ajira na kipato
Biashara na uwekezaji
Elimu maarifa na vipaji
Dini imani na vipawa
Mafanikio umaarufu na kutambulika
Wanaobahatika kuwa na tafakuri na kujali huona kabisa kuna vitu haviko sawa kwenye familia au ukoo kwenye baadhi ya vitu nilivyoidhinisha hapo juu
Hii hali inatesa na kuumiza sana na baadhi huchukua hatua kwa kuanza safari ya kutafuta suluhu ya kudumu ili kuikomboa familia ama ukoo
Ni kwenye safari hiyo iliyojaa sintofahamu nyingi ndio baadhi kama si wote hukutana na magumu michangano na mengine mengi
.Waganga wa kienyeji (wengi feki na matapeli)
.Wapiga ramli (sometimes chonganishi)
. Wasoma nyota viganja na taroti
.Manabii na mitume wa kuungaunga
. Wasoma visomo na watoa kafara za damu
Kote huko utazunguka na kuzungushwa lakini utapata ahueni ya muda tuu na baada ya hapo mambo kuharibika zaidi
Baadhi yetu kabla ya kuchukua hatua yoyote huamua kuwatafuta wazazi mababu ama ndugu na kujaribu kuwauliza
Kinachotuumiza sana waafrika ni kushindwa kuhifadhi mambo yetu kwenye maandishi na sauti..
Wenzetu waliweza! Maana walitengeneza mitego lakini pia wakahifadhi kwa siri namna ya kuitegua
Maagano yenye nguvu pamoja na mambo mengine yalinenewa kwenye namba.. Kumbuka namba ndio zinaendesha dunia
Kwa mfano kama agano la kutofika mbali kielimu kibiashara ama kimahusiano kutokana na hasira ama kisasi cha mtamkaji liliangazia
Mwaka
Mwezi
Wiki
Siku
Saa
Dakika
Mavazi
Uelekeo
Kwahiyo sometimes si lazima amwage damu ya mnyama ama kufanya vitu vya kishirikina.. Akiipangilia vema formula yake namba kimekulamba familia au ukoo
Sasa anachotakiwa kufanya ni kuhifadhi mahali pa siri kwakuwa viapo vingi, manuizi maagano na malipizi hufanya kazi mhusika anapokata pumzi..
Sasa kuweka hakiba kama mambo yatabadilika vile alivyotaka yawe anatakiwa kumkabidhi mwanaukoo anayemuamini ili aje atumie formula husika kutegua agano, KIA po ama lipizi
Kama hiyo formula ikikosekana kwasababu zozote zile hakuna namna zaidi ya kusubiri si chini ya vizazi vitatu ama vinne!
Je nimeeleweka?
Kuna familia zina laana ya asili | Page 12 | JamiiForums Kuna familia zina laana ya asili