Ilikuwaje TANU Ikasalimika na Udini?

Ilikuwaje TANU Ikasalimika na Udini?

Umemuuliza maswali ya msingi sana. Anajaribu kujenga hoja ila anajidhihirisha tena mwenyewe ndani ya hiyo hoja kuwa ni mdini.
Zemanda huijui historia ya Wachagga.

Mimi nimefanya utafiti Uchaggani na nimeandika kitabu cha maisha ya Rajabu Ibrahim Kirama.

Nimesoma Nyaraka za Rajabu Ibrahim Kirama wa Machame Mkuu ambazo sasa zina umri wa zaidi ya miaka 100.

Nimesoma Nyaraka za Joseph Merinyo na Petro Njau na najua fikra zao.
Wachagga walijitambulisha kama taifa lenye nchi yenye mipaka na lugha moja.

Hii ndiyo sababu TANU ilipingwa na Mangi na hivyo kuchelewa kuingia Mlimani Uchaggani.

1783511647282.png

1783511679360.png
 
Mzee wa hovyo sana huyu. Mtu umri umeenda anahangaika kufunza vijana mambo ya kipuuzi ambayo yatatengeza mazingira magumu kwao kuishi pamoja na wengine.
Mzee ni MDINI.
Zemanda,
Hapana haja ya matusi.
Tunaweza tukajadiliana kwa utulivu.
 
Zemanda huijui historia ya Wachagga.

Mimi nimefanya utafiti Uchaggani na nimeandika kitabu cha maisha ya Rajabu Ibrahim Kirama.

Nimesoma Nyaraka za Rajabu Ibrahim Kirama wa Machame Mkuu ambazo sasa zina umri wa zaidi ya miaka 100.

Nimesoma Nyaraka za Joseph Merinyo na Petro Njau na najua fikra zao.
Wachagga walijitambulisha kama taifa lenye nchi yenye mipaka na lugha moja.

Hii ndiyo sababu TANU ilipingwa na Mangi na hivyo kuchelewa kuingia Mlimani Uchaggani.

View attachment 3625067
View attachment 3625068
Uchggani, Uislam uko Machame tu, ambako pia kumejaa Uluteli.

Unasemea wachagga, ila umeenda kuokota Mchagga Muislam na kumvika Ujemedari.
 
Mzee mimi sio mjinga halafu mimi nimezaliwa katika jamii ambayo haina udini. Mtu kama wewe na hoja zako ni rahisi sana kubaini dhamira yako.

Lengo lako ni dhahiri sio kuelimishana ila unatumia huu mwanya kutengeneza narrative ya kibaguzi ili waislam wahisi kudhurumika na kunyanyasika.

Huu ni upandikizaji wa chuki ya wazi wazi. Kwa hili sitakuachia na nitakutangaza kwa huu uovu. Wewe na wale interahamwe wa RWANDA MASSACRE hauna tofauti.

Nimeshakopi hizi nyuzi zako na kuscreenshot vichwa vya hizi nyuzi kama ushahidi incase ukitaka kubadilika kuficha ushahidi.

Wewe sio mtu mzuri unataka kuwachonganisha raia kwa kuwapa sababu na hoja za kibaguzi ili waanze kutazamana kwa macho ya kubaguana. Wewe sio mtu mzuri kwa taifa.

Watu kama wewe ndio Nyerere alikuwa anawaweka kifungo cha ndani kwasababu mnapenda kuanzisha mijadala ya kibaguzi mkijifanya mnatafuta haki.

Wewe sio mtu mzuri narudia tena, wewe MZEEE NI MFITINISHAJI NA UNA ROHO MBAYA SANA YA UBAGUZI.
Zemanda,
Nitawezaje kufuta ushahidi ilhali jina langu lipo Library of Congress, Washington DC, Cambridge Journal of African History, kuna vitabu nilivyoandika, nina blog na You Tube Channel.

Nipo katika maktaba ya radio na tv stations nyingi.
Ningekuwa mimi ni mtu mbaya ningekuwa nishafungiwa huko kote na mialiko isingekuwapo kamwe.

1783567798612.png

Al Jazeera
1783567871356.png

Voice of America (VoA) Washington DC
1783567973325.png

BBC London
1783568055119.png
1783568375265.png

Library of Congress, Washington DC
 
Uchggani, Uislam uko Machame tu, ambako pia kumejaa Uluteli.

Unasemea wachagga, ila umeenda kuokota Mchagga Muislam na kumvika Ujemedari.
Mpwimbe,
Lugha yako si ya kiungwana.
"Kuokota?"
 
yeah lkn kama haujatayarisha mtu wa kurithi mikoba ya maktaba na historia ya muslims wako kila kitu kitaenda na wewe siku yako ikifika, na kuwanyima muslims wako fursa ya kupata uliokuwa unawapa ...
Kijajazi,
Kila kitu kipo katika maktaba ikiwa mtu atataka kusoma hatopata shida.
Leo hii nina wanafunzi nchi nyingi.
 
Nyakubonga,
Unadhani ushahidi huo wako unaweza kunitia mimi hatiani mahakamani?

Unajua kuna hotuba Mwalimu Nyerere alisema, " Wakristo tulikuwa mimi na John Rupia?"
Nyerere hakuwa anapigia chapuo ukristo alikuwa anaongelea harakati za historia ya uhuru,wewe leo miaka 60+ ya uhuru upo hapa kusema waislam walionewa, kwamba wakristo amependelewa au hiu uhuru ni wa wakristo tu waislam bado wapo kwenye ukoloni si ndio?
 
Nyakubonga,
Waondoe kabisa Wapagani katika historia ya kupigania uhuru.

Hawakuwapo popote.

Hawaonekani hata katika maisha ya kawaida.
We mzee hebu punguza wenge basi. Tunajitahidi sana kuongea na wewe kama mtu mzima ila una behave kama graduate wa form four anayejifunza kuongea na wasomi wa chuo kikuu na kuwaonyesha amewazidi kumbe hajui kitu.

Wewe unataka kunambia kuwa watanzania wote ni aidha wakristo au waislam tu kwamba hatuna wapagani wasiojihusisha na dini yoyote ile?

We mzee unatuchukulieaje kwa mfano hivi?🤔
 
Zemanda huijui historia ya Wachagga.

Mimi nimefanya utafiti Uchaggani na nimeandika kitabu cha maisha ya Rajabu Ibrahim Kirama.

Nimesoma Nyaraka za Rajabu Ibrahim Kirama wa Machame Mkuu ambazo sasa zina umri wa zaidi ya miaka 100.

Nimesoma Nyaraka za Joseph Merinyo na Petro Njau na najua fikra zao.
Wachagga walijitambulisha kama taifa lenye nchi yenye mipaka na lugha moja.

Hii ndiyo sababu TANU ilipingwa na Mangi na hivyo kuchelewa kuingia Mlimani Uchaggani.

View attachment 3625067
View attachment 3625068
Sasa ulitaka na wachagga na wadai huu uhuru na historia yake kwao ni batili au?
 
Zemanda,
Hapana haja ya matusi.
Tunaweza tukajadiliana kwa utulivu.
Matusi unayaona wewe ila unatukosea sana vijana lugha yako ni ya ufitini na hilo hautafanikiwa sababu kama wewe unayajua hayo sisi tuna mengi tunayajua zaidi ya hayo ya kwako ambayo tukiyasema wewe utaficha uso wako.
 
Uchggani, Uislam uko Machame tu, ambako pia kumejaa Uluteli.

Unasemea wachagga, ila umeenda kuokota Mchagga Muislam na kumvika Ujemedari.
Umemuoa utapeli wake huyu mzee?

Sehemu kukiwa na waislamu wachache anatumia m'moja kama ndie icon wa harakati, huku dar es salaam anaongelea kama 100% ya watu wote ni waislam kipindi hicho.

Mzee ni muongo, mnafiki na MFITINISHAJI.
 
Zemanda,
Nitawezaje kufuta ushahidi ilhali jina langu lipo Library of Congress, Washington DC, Cambridge Journal of African History, kuna vitabu nilivyoandika, nina blog na You Tube Channel.

Nipo katika maktaba ya radio na tv stations nyingi.

Ningekuwa mimi ni mtu mbaya ningekuwa nishafungiwa huko kote na mialiko isingekuwapo kamwe.
Kila mtu anaandika anachoweza sisi tunatazama ukweli wa unachosema.

Maandiko yako yana ukweli ila umeyafunga katika bahasha ya upotoshaji.

Wewe hauna tofauti na Mama wa familia ambaye anaachiwa matumizi na baba alfajiri kabla jua halijachomoza kisha yeye ndie wa kuwapatia watoto matunzo halafu miaka ikishaenda anawaambia watoto kuwa yeye ndie amewatunza siku zote kwa kuwapa chakula,kuwapeleka hospitali,kuwauguza,kuwanunulia mavazi,kuwapa madaftari na kila kitu.

Na watoto wasio na akili ya kujiuliza watasema ni kweli mama ndie kila kitu baba hajafanya lolote nani kama Mama.

Kumbe ukweli ni mama aliiandika historia kwa kutumia matukio muhimu na kuna matukio hakuhadithia watoto ukweli kama kusema baba ndie mlipa bili ya kila kitu na mlinzi wa familia.

Wewe umeandika historia na kutaka kuwaaminisha watanganyika kiwa mzee Sykes na waislamu wa wakati huo ndio wapigania uhuru halisi wa TANGANYIKA ila maswali ya msingi haujibu.

1. Kwanini walimuweka Nyerere mbele kwani wao wangesimama ingeshindikana udai uhuru?
Umejitetea kule juu kwa kusema sababu ya Waislam na chama chao cha TAA kumsimika nyerere ni kwasababu hawakutaka chama kionekane cha kidini( huu ni uongo wa mchana kweupe ambao umeufubricate kwa kichwa chako ila sio marejeo ya kihistoria,kama ni kweli tupe marejeo ya kikao kilichokuja na maamuzi hayo,nje ya hapo acha unafiki wewe mzee usiye na nia nzuri na watanganyika)

2. Unasema Nyerere alipora mchakato, kwahiyo alipopora why hakukuwa na resistance? Bibi titi na baadhi walishajaribu kupora madaraka na ushahidi upo hata wanachama wa miaka hiyo walimsema sana kama msaliti na yeye alikiri na kuomba msamaha,wewe tupe ushahidi wa kuporwa mchakato wa uhuru.

3. TANGANYIKA nzima ina makabila zaidi ya 120 ambayo kihistoria yalipambana na wakoloni independently bila kuungana,haya utuambie wewe ikawaje haya makibila yote yamtambue Nyerere ila wewe kutwa kuchwa unamuweka Sykes kama ndie Nyerere original,kwamba Sykes alizunguka TANGANYIKA zima halafu points tano akachukua nyerere, we mzee upo serious kweli na maisha yako uliyoishi duniani unayatumia kutudanganya wajukuu zao aibu hauna ptuuuuuuuuuh.

4. Nyerere maandiko yake na shughuli zake zipo documented wewe mbona shughuli mzee Sykes za uhuru unaziongelea wewe as if yeye hakuwa akijua umuhimu wa mchango wake? Kuna sehemu aliandika kulalamikia hilo au wewe na kimbelembele chako na huu uandishi wako wa miaka zaidi ya 28 unakazania kumpigia Debe mtu ambaye si baba yako wala mzazi wako,familia yake wapo kimya wewe kutwa nzima kututengenezea visa na hekaya za abunuasi hapa,why unatia aibu namna hii?

Naweka rekodi sawa hapa. Wazee wetu wa dar es salaam sio waislamu ,wazee wa dar es salaam pamoja na miji mingine kama Kilimanjaro,tabora,mtwara na kwengineko chini ya uongozi wa kikakamavu wa baba wa taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere waliongoza raia wenzao katika harakati za kupigania uhuru na hatimae kufanikisha kuupata.

Hizi mbaga zako za uchambuzi wa nani alifanya nini ndio mwanzo wa utapeli wako. Kama unaowataja walifanya kazi kubwa then tuambie ilikuwaje jamii isiwatambue na kuwafuta katika vitabu vya historia muhimu ukizingatia walikuwa na uzito mkubwa sana katika harakati.

Wewe mzee hauchelewi kuja kumfuta maria sarungi katika historia ya mapambano dhidi ya udhalimu wa CCM halafu ukaja kuweka sheikh ponda na zitto kabwe kuwa ndie waliongoza mapambano dhidi udhalimu wa ccm.

We mzee ni tapeli tapeli sana. Na natamani tukutane kwenye mdahalo nakwambia utaondoka umeufyata na utanuna mwezi mzima maana nitakukaanga kwa hoja nzito na maswali lazima utakaaa chini.

Hebu usituchafulie historia ya TANGANYIKA yetu. Acha upuuzi kabisa mzee.
 
Ndio nikawa nashangaa inakuwaje mtoto wa kikijini Butiama akamshinda mtoto wa mjini A.Sykes. kumbe kulikuwa na makubaliano/maoni ya namna. Kuna sehemu historian yetu hailezei vizuri haya mambo.
Hili pia linahitaji utafiti wa kina...
 
Nyerere hakuwa anapigia chapuo ukristo alikuwa anaongelea harakati za historia ya uhuru,wewe leo miaka 60+ ya uhuru upo hapa kusema waislam walionewa, kwamba wakristo amependelewa au hiu uhuru ni wa wakristo tu waislam bado wapo kwenye ukoloni si ndio?
Zemanda,
Itapendeza kama utaweka hapa mahali ambapo nimeandika maneno hayo.
Ukishindwa kufanya hivyo utatambulikana kuwa wewe ni muongo na hutoaminika.
 
Iko wapi hiyo historia?

Mbona tunaona historia ya Sykes peke yake.

Au historia ya Sykes ndio historia ya Tanganyika??

Maana hata historia ya Nyerere siyo historia ya Tanganyika.
Mpwimbe,
Ukisoma kitabu cha Abdul Sykes utasoma hiyo historia ya Tanganyika:

1783528320123.png
1783528349142.png
1783528391657.png
 
Imagine watu walikuwa wanapambana na mkoloni kwa silaha sio mikwala wala maneno halafu huyu mzee anakuja na story zake za kufuma.

Kusikiliza na kusoma mawazo na fikra za mtu ni jambo zuri,ila kusoma bila kuchakata huo ndio uzwazwa.

Huyu mzee anataka tusome na kumeza tu anachoandika hapa jukwaani bila kumchallenge taarifa zake. Hivi inawezekana vipi Tanzania nzima iwe ni waislamu karne ya 21 mwaka 2026?😂😂

Unatakiwa kuwa na akili za kitoto sana kuwa na akili za namna ya huyu mzee anavyoitazama dunia katika mtazamo wa kidini.

Tumeishi miaka yote hii karibu sabini tukichangamana yeye kwake hilo ni tatizo,anataka aondoke duniani ameacha mbegu ya chuki namna alivyokosa hekima za mtu mzima.

Vijana msimuamini kila mtu mzima kwasasa hata watu wa hovyo pia huzeeka na akili zao.

Huyu mzee ni dhahiri ana chuki dhidi ya uafrika na anahusudu sana waarabu kama mabwana na viongozi wake. Huyu mzee anawatazama waarabu kama first class humans (angejua ukweli wa waarabu sijui angesemaje). Angekuwa marekani wangemuita "Uncle Tom" kumaanisha mtu anaye tetea "white people supremacy ". Huyu sasa tutamwita Mzee Tiputipu kwa maana anawaabudu waarabu under the disguise ya dini ya uislamu.

Anachofanya hapa ni propaganda project kusimika fikra na mitazamo yake katika akili za vijana wa sasa. Asichokijua ni kuwa miaka hii ni ngumu sana kumbrainwash kijana yoyote yule wakati vyanzo vya taarifa vimejaa tele.

Mzee ni mpindisha ukweli, msuka taarifa,mficha taarifa,msema kweli nusu,mdini,na aidha hana taarifa za ukweli au anazo ila kazificha.

Atuambie hapa,je, Tanganyika nzima ilikuwa under huyo mzee skykes na TAA?

Kwamba TANGANYIKA nzima hakukuwa na organization zingine za uhuru both formally organized na informally organized? Kama wakina kinjeketile hawakuwa wanakwenda na documents wao ni ngumi mkononi? Wangoni,wasukuma,wajita,hao wote hawakuwa na documented movements je na wao amewaongelea?

Mzee ni mdini,muongo na MFITINISHAJI.
Zemanda,
Ikiwa wewe unajua vyama vingine au vuguvugu nje ya TAA tuwekee hapa historia yake.
Ikiwa huna historia yake weka hata majina ya viongozi.
 
We mzee hebu punguza wenge basi. Tunajitahidi sana kuongea na wewe kama mtu mzima ila una behave kama graduate wa form four anayejifunza kuongea na wasomi wa chuo kikuu na kuwaonyesha amewazidi kumbe hajui kitu.

Wewe unataka kunambia kuwa watanzania wote ni aidha wakristo au waislam tu kwamba hatuna wapagani wasiojihusisha na dini yoyote ile?

We mzee unatuchukulieaje kwa mfano hivi?🤔
Zemanda,
Unayo majina ya wapagani waliokuwa ndani ya TAA, TANU au kwengineko?

Mimi nimefanya utafiti na nakuambia hakuna Wapagani katika harakati za
kudai uhuru.
 
Kila mtu anaandika anachoweza sisi tunatazama ukweli wa unachosema.

Maandiko yako yana ukweli ila umeyafunga katika bahasha ya upotoshaji.

Wewe hauna tofauti na Mama wa familia ambaye anaachiwa matumizi na baba alfajiri kabla jua halijachomoza kisha yeye ndie wa kuwapatia watoto matunzo halafu miaka ikishaenda anawaambia watoto kuwa yeye ndie amewatunza siku zote kwa kuwapa chakula,kuwapeleka hospitali,kuwauguza,kuwanunulia mavazi,kuwapa madaftari na kila kitu.

Na watoto wasio na akili ya kujiuliza watasema ni kweli mama ndie kila kitu baba hajafanya lolote nani kama Mama.

Kumbe ukweli ni mama aliiandika historia kwa kutumia matukio muhimu na kuna matukio hakuhadithia watoto ukweli kama kusema baba ndie mlipa bili ya kila kitu na mlinzi wa familia.

Wewe umeandika historia na kutaka kuwaaminisha watanganyika kiwa mzee Sykes na waislamu wa wakati huo ndio wapigania uhuru halisi wa TANGANYIKA ila maswali ya msingi haujibu.

1. Kwanini walimuweka Nyerere mbele kwani wao wangesimama ingeshindikana udai uhuru?
Umejitetea kule juu kwa kusema sababu ya Waislam na chama chao cha TAA kumsimika nyerere ni kwasababu hawakutaka chama kionekane cha kidini( huu ni uongo wa mchana kweupe ambao umeufubricate kwa kichwa chako ila sio marejeo ya kihistoria,kama ni kweli tupe marejeo ya kikao kilichokuja na maamuzi hayo,nje ya hapo acha unafiki wewe mzee usiye na nia nzuri na watanganyika)

2. Unasema Nyerere alipora mchakato, kwahiyo alipopora why hakukuwa na resistance? Bibi titi na baadhi walishajaribu kupora madaraka na ushahidi upo hata wanachama wa miaka hiyo walimsema sana kama msaliti na yeye alikiri na kuomba msamaha,wewe tupe ushahidi wa kuporwa mchakato wa uhuru.

3. TANGANYIKA nzima ina makabila zaidi ya 120 ambayo kihistoria yalipambana na wakoloni independently bila kuungana,haya utuambie wewe ikawaje haya makibila yote yamtambue Nyerere ila wewe kutwa kuchwa unamuweka Sykes kama ndie Nyerere original,kwamba Sykes alizunguka TANGANYIKA zima halafu points tano akachukua nyerere, we mzee upo serious kweli na maisha yako uliyoishi duniani unayatumia kutudanganya wajukuu zao aibu hauna ptuuuuuuuuuh.

4. Nyerere maandiko yake na shughuli zake zipo documented wewe mbona shughuli mzee Sykes za uhuru unaziongelea wewe as if yeye hakuwa akijua umuhimu wa mchango wake? Kuna sehemu aliandika kulalamikia hilo au wewe na kimbelembele chako na huu uandishi wako wa miaka zaidi ya 28 unakazania kumpigia Debe mtu ambaye si baba yako wala mzazi wako,familia yake wapo kimya wewe kutwa nzima kututengenezea visa na hekaya za abunuasi hapa,why unatia aibu namna hii?

Naweka rekodi sawa hapa. Wazee wetu wa dar es salaam sio waislamu ,wazee wa dar es salaam pamoja na miji mingine kama Kilimanjaro,tabora,mtwara na kwengineko chini ya uongozi wa kikakamavu wa baba wa taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere waliongoza raia wenzao katika harakati za kupigania uhuru na hatimae kufanikisha kuupata.

Hizi mbaga zako za uchambuzi wa nani alifanya nini ndio mwanzo wa utapeli wako. Kama unaowataja walifanya kazi kubwa then tuambie ilikuwaje jamii isiwatambue na kuwafuta katika vitabu vya historia muhimu ukizingatia walikuwa na uzito mkubwa sana katika harakati.

Wewe mzee hauchelewi kuja kumfuta maria sarungi katika historia ya mapambano dhidi ya udhalimu wa CCM halafu ukaja kuweka sheikh ponda na zitto kabwe kuwa ndie waliongoza mapambano dhidi udhalimu wa ccm.

We mzee ni tapeli tapeli sana. Na natamani tukutane kwenye mdahalo nakwambia utaondoka umeufyata na utanuna mwezi mzima maana nitakukaanga kwa hoja nzito na maswali lazima utakaaa chini.

Hebu usituchafulie historia ya TANGANYIKA yetu. Acha upuuzi kabisa mzee.
Zemanda,
1. Abdul Sykes angechukua uongozi wa TAA kama President 1953 na 1954
wakaunda TANU na Abdul Sykes akawa President wa TANU ingekuwa ndiyo
yale yale TANU haina tofauti na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja
wa Waislam wa Tanganyika).

2. Sijasema popote Nyerere ''alipora.''
Hiyo si lugha yangu.

3. "Tanganyika Political Intelligence
Summary, March 1952":

"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has
dispatched letters to all branches asking members for suggestions under
the following heads for a memorandum to be prepared for the Royal
Commission..."

“...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association who, as
reported in last month's summary (paragraph 20) was going on safari up
country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani, President of the
Bukoba African Association, and accompanied him to Bukoba. Sykes then
visited Kampala alone.....on 8th March, a secret meeting was held, attended
by leading members of the Mwanza Branch...”

(Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford kutoka majalada ya
kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa mtafiti
yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda).

4.
20140428_175410.jpg


1783531892401.png

Kulia ni Kleist Sykes 1894 - 1949 (Secretary) na Mzee bin Sudi 1896 - 1972 (President) African Assocation na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika)

Ukurasa Kutoka Kitabu, ''Modern Tanzanians,'' Kilichohaririwa na John Iliffe Mwandishi ni Daisy Sykes mtoto wa Abdul Sykes na mjukuu wa Kleist Sykes kutoka sura ''The Townsman: Kleist Sykes.'' Seminar Paper (1968)ipo East Africana Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Zemanda,
Mimi nimesoma historia hii na nimetafiti na kuandika na nimeizungumza kwenye vyuo vikuu ndani na nje ya Tanzania.

Sibahatishi.

Kitabu: ''Nyerere Biography'' imetaja maktaba tatu zilizosheheni historia ya Julius Nyerere:

Maktaba ya Dr. Salim Ahmed Salim, Maktaba ya Mohamed Said na Maktaba ya Brig. General
Hashim Mbita.

Nilijumuishwa katika watu ambao waandishi wa ''Nyerere Biography'' waliwahoji kuhusu Nyerere.
Walitaka kujua siku za mwanzo Nyerere alipofika Dar es Salaam na kwa hakika hii ni historia ya
Nyerere na Abdul Sykes.

Mbali na mahojiano niliwapa na baadhi ya Nyaraka za Sykes walizoziomba.

Nilihojiwa na Jopo la Waandishi (Prof. Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng'wanza Kamata) mara mbili.

1783569138357.png

Prof. Shivji na Prof. Saida Yahya Othman

1783569614908.png

Nyaraka za Sykes niliyoipa Jopo la Waandishi wa ''Nyerere Biography''

Mengine nimeamua kuwa kimya kwa kuwa naona lugha zimekuwa kali:

''We mzee ni tapeli tapeli sana. Na natamani tukutane kwenye mdahalo nakwambia utaondoka umeufyata na utanuna mwezi mzima maana nitakukaanga kwa hoja nzito na maswali lazima utakaaa chini.

Hebu usituchafulie historia ya TANGANYIKA yetu. Acha upuuzi kabisa mzee.''



 
Mzee hii historia yako ina ukweli kiasi gani na inaweza kuthibitishwaje??

Yoda,
Hilo hapo chini ni jibu nimempa Zemanda.
Zemanda anasema anaweza kufanya mnakasha na mimi na kushinda.

Jibu nililompa na ndilo nakupa na wewe ni hilo hapo chini nimeliweka
chini ya maswali yake kukurahisishia mambo:

Kila mtu anaandika anachoweza sisi tunatazama ukweli wa unachosema.

Maandiko yako yana ukweli ila umeyafunga katika bahasha ya upotoshaji.

Wewe hauna tofauti na Mama wa familia ambaye anaachiwa matumizi na baba alfajiri kabla jua halijachomoza kisha yeye ndie wa kuwapatia watoto matunzo halafu miaka ikishaenda anawaambia watoto kuwa yeye ndie amewatunza siku zote kwa kuwapa chakula,kuwapeleka hospitali,kuwauguza,kuwanunulia mavazi,kuwapa madaftari na kila kitu.

Na watoto wasio na akili ya kujiuliza watasema ni kweli mama ndie kila kitu baba hajafanya lolote nani kama Mama.

Kumbe ukweli ni mama aliiandika historia kwa kutumia matukio muhimu na kuna matukio hakuhadithia watoto ukweli kama kusema baba ndie mlipa bili ya kila kitu na mlinzi wa familia.

Wewe umeandika historia na kutaka kuwaaminisha watanganyika kiwa mzee Sykes na waislamu wa wakati huo ndio wapigania uhuru halisi wa TANGANYIKA ila maswali ya msingi haujibu.

1. Kwanini walimuweka Nyerere mbele kwani wao wangesimama ingeshindikana udai uhuru?
Umejitetea kule juu kwa kusema sababu ya Waislam na chama chao cha TAA kumsimika nyerere ni kwasababu hawakutaka chama kionekane cha kidini( huu ni uongo wa mchana kweupe ambao umeufubricate kwa kichwa chako ila sio marejeo ya kihistoria,kama ni kweli tupe marejeo ya kikao kilichokuja na maamuzi hayo,nje ya hapo acha unafiki wewe mzee usiye na nia nzuri na watanganyika)

2. Unasema Nyerere alipora mchakato, kwahiyo alipopora why hakukuwa na resistance? Bibi titi na baadhi walishajaribu kupora madaraka na ushahidi upo hata wanachama wa miaka hiyo walimsema sana kama msaliti na yeye alikiri na kuomba msamaha,wewe tupe ushahidi wa kuporwa mchakato wa uhuru.

3. TANGANYIKA nzima ina makabila zaidi ya 120 ambayo kihistoria yalipambana na wakoloni independently bila kuungana,haya utuambie wewe ikawaje haya makibila yote yamtambue Nyerere ila wewe kutwa kuchwa unamuweka Sykes kama ndie Nyerere original,kwamba Sykes alizunguka TANGANYIKA zima halafu points tano akachukua nyerere, we mzee upo serious kweli na maisha yako uliyoishi duniani unayatumia kutudanganya wajukuu zao aibu hauna ptuuuuuuuuuh.

4. Nyerere maandiko yake na shughuli zake zipo documented wewe mbona shughuli mzee Sykes za uhuru unaziongelea wewe as if yeye hakuwa akijua umuhimu wa mchango wake? Kuna sehemu aliandika kulalamikia hilo au wewe na kimbelembele chako na huu uandishi wako wa miaka zaidi ya 28 unakazania kumpigia Debe mtu ambaye si baba yako wala mzazi wako,familia yake wapo kimya wewe kutwa nzima kututengenezea visa na hekaya za abunuasi hapa,why unatia aibu namna hii?

Naweka rekodi sawa hapa. Wazee wetu wa dar es salaam sio waislamu ,wazee wa dar es salaam pamoja na miji mingine kama Kilimanjaro,tabora,mtwara na kwengineko chini ya uongozi wa kikakamavu wa baba wa taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere waliongoza raia wenzao katika harakati za kupigania uhuru na hatimae kufanikisha kuupata.

Hizi mbaga zako za uchambuzi wa nani alifanya nini ndio mwanzo wa utapeli wako. Kama unaowataja walifanya kazi kubwa then tuambie ilikuwaje jamii isiwatambue na kuwafuta katika vitabu vya historia muhimu ukizingatia walikuwa na uzito mkubwa sana katika harakati.

Wewe mzee hauchelewi kuja kumfuta maria sarungi katika historia ya mapambano dhidi ya udhalimu wa CCM halafu ukaja kuweka sheikh ponda na zitto kabwe kuwa ndie waliongoza mapambano dhidi udhalimu wa ccm.

We mzee ni tapeli tapeli sana. Na natamani tukutane kwenye mdahalo nakwambia utaondoka umeufyata na utanuna mwezi mzima maana nitakukaanga kwa hoja nzito na maswali lazima utakaaa chini.

Hebu usituchafulie historia ya TANGANYIKA yetu. Acha upuuzi kabisa mzee.
Zemanda,
1. Abdul Sykes angechukua uongozi wa TAA kama President 1953 na 1954
wakaunda TANU na Abdul Sykes akawa President wa TANU ingekuwa ndiyo
yale yale TANU haina tofauti na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja
wa Waislam wa Tanganyika).

2. Sijasema popote Nyerere ''alipora.''
Hiyo si lugha yangu.

3. "Tanganyika Political Intelligence
Summary, March 1952":

"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has
dispatched letters to all branches asking members for suggestions under
the following heads for a memorandum to be prepared for the Royal
Commission..."

“...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association who, as
reported in last month's summary (paragraph 20) was going on safari up
country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani, President of the
Bukoba African Association, and accompanied him to Bukoba. Sykes then
visited Kampala alone.....on 8th March, a secret meeting was held, attended
by leading members of the Mwanza Branch...”

(Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford kutoka majalada ya
kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa mtafiti
yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda).

4.

20140428_175410.jpg



1783531892401.png


Kulia ni Kleist Sykes 1894 - 1949 (Secretary) na Mzee bin Sudi 1896 - 1972 (President) African Assocation na Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika)

Ukurasa Kutoka Kitabu, ''Modern Tanzanians,'' Kilichohaririwa na John Iliffe Mwandishi ni Daisy Sykes mtoto wa Abdul Sykes na mjukuu wa Kleist Sykes kutoka sura ''The Townsman: Kleist Sykes.'' Seminar Paper (1968)ipo East Africana Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Zemanda,
Mimi nimesoma historia hii na nimetafiti na kuandika na nimeizungumza kwenye vyuo vikuu ndani na nje ya Tanzania.

Sibahatishi.

Kitabu: ''Nyerere Biography'' imetaja maktaba tatu zilizosheheni historia ya Julius Nyerere:

Maktaba ya Dr. Salim Ahmed Salim, Maktaba ya Mohamed Said na Maktaba ya Brig. General
Hashim Mbita.

Nilijumuishwa katika watu ambao waandishi wa ''Nyerere Biography'' waliwahoji kuhusu Nyerere.
Walitaka kujua siku za mwanzo Nyerere alipofika Dar es Salaam na kwa hakika hii ni historia ya
Nyerere na Abdul Sykes.

Mbali na mahojiano niliwapa na baadhi ya Nyaraka za Sykes walizoziomba.

Nilihojiwa na Jopo la Waandishi (Prof. Shivji, Prof. Saida Yahya Othman na Dr. Ng'wanza Kamata)
mara mbili.

1783569138357.png


Prof. Shivji na Prof. Saida Yahya Othman

1783569614908.png


Nyaraka za Sykes niliyoipa Jopo la Waandishi wa ''Nyerere Biography''

Mengine nimeamua kuwa kimya kwa kuwa naona lugha zimekuwa kali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom