Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,717
- 50,051
Alikuja nyakati mbaya, ila pia Kwa wakati huo nlikuwa na lishangazi alikua mkorofi, angejuaga angenikata puamwenzako alikua amekupenda kutoka moyoni we ukamkwepa🤨🤨😅
Alikuja nyakati mbaya, ila pia Kwa wakati huo nlikuwa na lishangazi alikua mkorofi, angejuaga angenikata puamwenzako alikua amekupenda kutoka moyoni we ukamkwepa🤨🤨😅
WoowTuliwasiliana alinitumia friend request nikacheki baadhi ya watu anaowajua nami nawajua nikakubali urafiki wake, tukaanza kuchat kwa msg, akatupia maneno,baadae tukaanza kupigiana sm ,tukatumiana picha,tukawa tunaongea mpaka usiku wa manane,akafika napokaa tukaonana face to face, after four months akanitolea posa ikawa engagement,ikawa kitchen party.ikawa pre wedding party!/send off ikawa ndoa kanisani all of this ndani ya miezi nane.God is good we are happy viugomvi vipo vya hapa na pale but vinajadiliwa vinaisha we keep moving n smiling...so it is possible to meet husband or wife via mitandao...
Kulikoni nduguMhhh
MhmhhhhKulikoni ndugu
Love is beautiful thingTuliwasiliana alinitumia friend request nikacheki baadhi ya watu anaowajua nami nawajua nikakubali urafiki wake, tukaanza kuchat kwa msg, akatupia maneno,baadae tukaanza kupigiana sm ,tukatumiana picha,tukawa tunaongea mpaka usiku wa manane,akafika napokaa tukaonana face to face, after four months akanitolea posa ikawa engagement,ikawa kitchen party.ikawa pre wedding party!/send off ikawa ndoa kanisani all of this ndani ya miezi nane.God is good we are happy viugomvi vipo vya hapa na pale but vinajadiliwa vinaisha we keep moving n smiling...so it is possible to meet husband or wife via mitandao...
nilikua nawaza tu asinishinde ufupi![]()
YULE MBUZI WA MASKINI HAZAI...Alikuja nyakati mbaya, ila pia Kwa wakati huo nlikuwa na lishangazi alikua mkorofi, angejuaga angenikata pua
Bhangi za chuga mbaya sanaNakumbuka 2016, nlipost picha fb kweny kureply comment Kuna mwana nlimpa contact zangu Kuna mdada akachukua zle contact akanipigia the way anavojieleza nkawa simuelewi lkn yeye akawa anaendelea kunicheki
Kwa wakati huo hali yangu ya afya kidogo ilidorora, sasa ktk kupiga story na yule mdada nkamwambia hali yangu akawa ananiombea kinoma yaan yue mdada hata lisaa Moja na nusu anaomba hachoki na haishiwi maneno, mwanzon nlikuwa simuamini sana lkn nkagundua yupo serious sana, nkamuomba aje kunitembelea, akanambia jpili baada ya ibada nakuja.
Jpili mchana nkaenda stendi kumpokea, nkamchukua chaliangu moja nkampa simu yangu nkamwambia mi ntajificha we wasiliana na huyu mtu then mpokee mimi ntaangalia kama ni mama kalii tumpeleke geto kama haeleweki tumkimbie... mama ilikua ya kawaida sio kalii sana pia sio mbovu ila nkataka.
Nikampanga yule jamaa aliempokea abadilishe uelekeo demu asifike geto tumpeleke sehem tukae nae then tumrudishe la haulaaa jamaa kagoma kbs akampeleka geto kufika demu hata hakatai kaingia ndani nkamwachia jamaa amtafune mi sitaki aisee Dem kagoma anantaka mm 😁nikakaza siingii ndani wakati huo Dem kakaaa kitandan kwangu.
Jion ya siku hyo akanipigia akawa anataka kunipeleka hospital kutokana na hali ya afya kanambia tuende Seliani nkamwambia nshaenda sana, nlikataaa sana offer zake baada ya kama miezi mitatu akapunguza mazoea kbs, siku hyo tulienda ibada usharika wa town nkamkuta ndo walikua kama ya mapokezi, aliniharibia ibada 😁
Nlikwepa sana kudate nae ila yy alikua na tayar alitaka kutoa hata Hela zake.

Safi sana Mkuu, umejifunza kwa vitendo.. ngoja nije na mimi PM nitupie ndoano ikiwezekana Julai tufunge ndoa baby.!Tulianzana FB, I never imagine kama tungeonanaga, kipindi hicho alikua huko nchi ya watu
Mawasiliano mdogo mdogo inaweza pita mamiezi hatujawasiliana, kisha tukapeana namba
Akanirushia wavu ila sikumuelewa kutokana na kwamba alikua mbali
Ikapita muda bila mawasiliano, siku ya siku napokea simu simu no ngeni kupokea ni yeye ananiambia amerudi bongo. Sahiyo yuko Dom mimi Arusha
Chatting za hapa na pale nikampotezea tena, miezi kadhaa kupita ananiambia amehamia Arusha kikazi
Japo tulikua mkoa mmoja ila miezi miwili baadae ndipo tukaonana kwa mara ya kwanza
Akaingiza ngonjera tena kiasi nikawa nimekubali kama sijakubali hivi
Kaka wawatu alikua mstaarabu na mtu poa sana ila kwa ubwege wangu sikumrudishia upendo alionionyesha nikaishia kutesa hisia zake
Sasa ameoa mimi nipo tu nazurura kama mbuzi aliekosa mchunga
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Wanasema huwezi kujua thamani ya kitu mpaka pale utapokipotezaSafi sana Mkuu, umejifunza kwa vitendo.. ngoja nije na mimi PM nitupie ndoano ikiwezekana Julai tufunge ndoa baby.!
Tulianzana FB, I never imagine kama tungeonanaga, kipindi hicho alikua huko nchi ya watu
Mawasiliano mdogo mdogo inaweza pita mamiezi hatujawasiliana, kisha tukapeana namba
Akanirushia wavu ila sikumuelewa kutokana na kwamba alikua mbali
Ikapita muda bila mawasiliano, siku ya siku napokea simu simu no ngeni kupokea ni yeye ananiambia amerudi bongo. Sahiyo yuko Dom mimi Arusha
Chatting za hapa na pale nikampotezea tena, miezi kadhaa kupita ananiambia amehamia Arusha kikazi
Japo tulikua mkoa mmoja ila miezi miwili baadae ndipo tukaonana kwa mara ya kwanza
Akaingiza ngonjera tena kiasi nikawa nimekubali kama sijakubali hivi
Kaka wawatu alikua mstaarabu na mtu poa sana ila kwa ubwege wangu sikumrudishia upendo alionionyesha nikaishia kutesa hisia zake
Sasa ameoa mimi nipo tu nazurura kama mbuzi aliekosa mchunga
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Mbona kama inafanania hii comment!? Ndio wewe kumbe upo huku.

