Nakumbuka 2016, nlipost picha fb kweny kureply comment Kuna mwana nlimpa contact zangu Kuna mdada akachukua zle contact akanipigia the way anavojieleza nkawa simuelewi lkn yeye akawa anaendelea kunicheki
Kwa wakati huo hali yangu ya afya kidogo ilidorora, sasa ktk kupiga story na yule mdada nkamwambia hali yangu akawa ananiombea kinoma yaan yue mdada hata lisaa Moja na nusu anaomba hachoki na haishiwi maneno, mwanzon nlikuwa simuamini sana lkn nkagundua yupo serious sana, nkamuomba aje kunitembelea, akanambia jpili baada ya ibada nakuja.
Jpili mchana nkaenda stendi kumpokea, nkamchukua chaliangu moja nkampa simu yangu nkamwambia mi ntajificha we wasiliana na huyu mtu then mpokee mimi ntaangalia kama ni mama kalii tumpeleke geto kama haeleweki tumkimbie... mama ilikua ya kawaida sio kalii sana pia sio mbovu ila nkataka.
Nikampanga yule jamaa aliempokea abadilishe uelekeo demu asifike geto tumpeleke sehem tukae nae then tumrudishe la haulaaa jamaa kagoma kbs akampeleka geto kufika demu hata hakatai kaingia ndani nkamwachia jamaa amtafune mi sitaki aisee Dem kagoma anantaka mm 😁nikakaza siingii ndani wakati huo Dem kakaaa kitandan kwangu.
Jion ya siku hyo akanipigia akawa anataka kunipeleka hospital kutokana na hali ya afya kanambia tuende Seliani nkamwambia nshaenda sana, nlikataaa sana offer zake baada ya kama miezi mitatu akapunguza mazoea kbs, siku hyo tulienda ibada usharika wa town nkamkuta ndo walikua kama ya mapokezi, aliniharibia ibada 😁
Nlikwepa sana kudate nae ila yy alikua na tayar alitaka kutoa hata Hela zake.